Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais Samia amesema baada ya Rais Mwinyi kuingia madarakani Gazeti la Economist la UK liliandika " Rais Mwinyi hawezi kuleta nafuu yoyote kwenye Uchumi dhaifu sana wa Tanzania kwa sababu Mwinyi ni...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Rais Samia amesema hayati Mwinyi alikuwa baba wa Demokrasia aliyeamini katika Uwajibikaji na Uzalendo Mzee Mwinyi alisisitiza sana katika Uwajibikaji kila mmoja Eneo alipo badala ya kila Siku...
0 Reactions
1 Replies
310 Views
Zipo baadhi ya hospitali binafsi ambazo ziliwahi kubebwa sana na Serikali na hatimaye zikapata faida kubwa na kujiimarisha. Zipo baadhi ya hospitali zilianza kama hospitali za kujitolea yaani...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
Nimejitahidi kutafuta katika vyanzo mbalimbali sijazipata. Nimesikiliza radio na kuangalia TV mbalimbali katika kipindi hiki cha maombolezo yake lakini pia sijabahatika kuona hotuba yake akiwa...
2 Reactions
5 Replies
728 Views
Addis Ababa, Ethiopia July 8, 1990. Rais Mwinyi akiwa na Rais mstaafu Mwalimu Nyerere na waziri wa mabo ya nchi za nje Mkapa. Hoja ya Mbowe na CHADEMA kweney maandamano Arusha inakosa nguvu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mlengo wowote ambao nchi inataka kwenda, ifanikiwe ni lazima kuwepo na sheria ya kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa. Bila ya sheria, jambo hilo haliwezi kufika popote. Baadhi watalifanyia...
1 Reactions
1 Replies
332 Views
Naomba kujulishwa hili Ni Rais wa nchi gani aliehudhuria msiba wa hayati mwinyi kwa ukanda huu Km hawakuhudhuria je ile dhana ya miaka ya 90 mwanzon na 80 mwishoni ilikuwa ni kweli kuhusu mwinyi?
0 Reactions
10 Replies
810 Views
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni anatarajia kuwasili Zanzibar kwa ajili ya Maziko ya rafiki yake Hayati Mwinyi. Ikumbukwe Museveni na Mwinyi walipata madaraka ya Rais miaka ya 1985/86 Ila mmoja...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amerejea Zanzibar baada ya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
1 Reactions
5 Replies
891 Views
Habari zenu wana JF wenzangu. Ama baada ya salamu, ningependa nijielekeze kwenye mada husika. Ndugu zangu watanzania, baba yetu wa Taifa mwl Julius K Nyerere aliiongoza nchi yetu kwa muda wa...
11 Reactions
110 Replies
7K Views
WANANCHI na Viongozi mbalimbali wanaendelea kujitokeza kwa wingi katika hafla ya Mazishi, Dua na Sala ya mwisho kumwombea Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi katika uwanja...
1 Reactions
4 Replies
950 Views
Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 83 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka Zanzibar anaitwa mzee Natepe kushika Uwaziri wa Mambo ya ndani ya nchi. Natepe...
82 Reactions
149 Replies
28K Views
Mimi nafikiri maendeleo hayaletwi na chama au serikali bali na wananchi wenyewe kwa kufanya kazi kwa bidii na kwa kulipa kodi na kwa kuchagua viongozi sahihi ambao siyo mafisadi bali wacha mungu...
1 Reactions
0 Replies
403 Views
Ni kuhusu umoja wa kitaifa katika Matukio kama haya ya kitaifa. Niliona limetokea kwa Lowassa nature ikalirekebisha ila nashangaa tena kwa Mwinyi limejitokeza tena. Naona Mama anapambana sana...
11 Reactions
49 Replies
4K Views
Bongo : Ukichagua upinzani hatuleti maendeleo. Ila kodi kila Mtanzania anakatwa bila kuulizwa chama chake. Nje Kiongozi akifanya kosa dogo tu huomba msamaha na ikiwezekana kuachia nafasi haraka.
1 Reactions
2 Replies
278 Views
Katika karne hii Huwa nasikia wanasiasa na viongozi wa serikali wakizungumzia ujenzi wa "matundu" ya vyoo katika shule kama mojawapo ya mafanikio yao nashangaa sana! Matundu ya vyoo mara nyingi...
2 Reactions
4 Replies
595 Views
Mwenyekiti wa Vijana CCM (UVCCM), Kata ya Bwilingu (Chalinze-round about) Ndugu Abdul Nasa ameendelea kukitumia vibaya cheo cha baba yake (Diwani Kata ya Bwilingu Jimbo la Chalinze). Inadaiwa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Tarehe 25 November 2023 Niliandika barua kwenda kwa wafadhili wa serikali ya Tanzania wakiwemo USA, bunge la Ulaya na wengine nikilalamikia ufadhili wao kuuwa demokrasia na mfumo wa utoaji haki...
19 Reactions
83 Replies
5K Views
Baada ya kuzindua kitabu chake Jioni ya leo Rais Samia amesema anamshukuru Mungu kwa kumpa Mwinyi miaka 96 na sasa anamwombea afike 100 Pia amesema anaona Mzee Mwinyi akipata shida ya kupanda...
31 Reactions
447 Replies
130K Views
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha...
9 Reactions
84 Replies
8K Views
Back
Top Bottom