Nchi ya Nambara ilikuwa na historia ya kipekee. Iliyokuwa mara moja nchi yenye changamoto nyingi za kiuchumi, sasa ilikuwa nchi inayojulikana kwa maendeleo na ustawi wa kijamii. Kauli mbiu ya nchi...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba (Mb.) amekutana na kuzungumza na Waziri wa Viwanda na Tekinolojia ya Juu wa Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu, Sultan...
Mungu wa mbinguni akanena na Mussa akampa Amri 10.
Amri ya 2 inasema Usijifanyie Sanamu ya Kuchonga Ukaiabudu.
Kiukweli pale Lumumba Amri ya 2 inavunjwa zaidi na wale Chawa.
Nawatakia Dominica...
WAKILI MWABUKUSI ANATAKA MKUU WA MAJESHI AZUIE UVUNJIFU WA KATIBA.
"Nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria na katiba. Kazi ya kukamata wa halifu ni ya Jeshi la Polisi. Jeshi la wananchi halina...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameshiriki katika mbio za Ruangwa Marathon ambazo ziliongozwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa...
Kuna Kitabu cha Hayati Mwl. Nyerere kinaitwa UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA, 1994.
Inasemekana baada ya Mwl kutokuridhika na Uongozi wa CCM miaka ya 90 wakati wa Rais Mstaafu Ali Hassan...
Mwezi Juni 2023 mafuta kwenye soko la dunia yalikuwa 70 USD, mwanzo wa mwezi Septemba yamefika 90 USD.
Inakadiriwa kufikia mwisho wa mwaka huu pipa litakuwa 120 USD bei iliyokuwepo kabla ya janga...
Habari za mwisho tokea eneo la tukio kumhusu mwamba huyu nguli wa siasa:
"Yeye na wenziwe walikuwa wamefunga njia. Hapiti mtu kwani hata hao wamezuiwa isivyo halali."
Sasa kitengo chetu cha...
Wakuu,
Lissu ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kufuatia kuzuiliwa kwake na timu yake kufanya mikutano Ngorongoro, amesema kwamba kisa cha Wabunge wa Ulaya kuzuiliwa kuingia...
Katibu Mkuu,Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi,Vijana,Ajira na Wenye ulemavu,Mhandisi Cyprian Luhemeja,amesema gharama za fidia zimeongezeka kutoka Sh13.19 bilioni kwa kipindi kilichoishia Juni 2021 hadi...
Napendekeza TAMISEMI wangeanzisha mfumo wa kubadilishana vituo vya kazi yaan kuwe na mfumo ambao unawatambua watumish wote na vituo vyao vya kazi kwa kila idara halafu watumushi waweze kuutumia...
Serikali siku zote imekuwa ikiwambia wananchi maneno matamu kuhusu treni ya umeme lakini hadi sasa utekelezaji wake umekuwa haueleweki, serikali imesubiri wananchi wapige kelele na msigwa aje...
Kinacho endelea Loliondo sina hakika kama kabila la Wamasai wanapewa heshima yao Loliondo ni ardhu ya babu zao ni malalo ya babu zao katika kuondolewa kwao nilitegemea itumike diplomasia zaidi na...
Nina mwamini sana Warioba na nilidhani angefikiria kuhamia Chadema , lakini kupanga mipango ya kuhamia ACT naona atakua anapoteza muda.
Siwaelewi chadame lakini kwa significance ya kuhamia...
Huu mtiti wa Wamasai ndio sababu kubwa ya kuzuia Tundu Lissu kuingia tarafa ya Ngorongoro
Hii ni Kata ya Enduleni kabla ya kuelekea Ngorongoro .
Kilichofuata ni kukusanywa kwa haya majani ya...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili...
Mheshimu sana kiongozi anayeongea bila kusoma mahali...
Baba wa Taifa alikuwa na maono ya Mbali sana.
Nafikiri tutazidi kujifunza kutoka kwake for years. Utafakiri alikuwa analijua hili la DPW...
Nikifuatilia jinsi watanzania wanavyozidi kuichukia ccm basi naamini kuwa ipo siku ccm itashindwa jinsi ya kuiba kura.
Ilianza kule Mtwara juzi juzi wananchi wakarudisha kadi zao za ccm na...
It’s 2023 , we have not progress kabisa In infrastructures . Leo kutoka Dodoma Dar ni shida. No buses no nothing .
Yani natumia 12 hrs kwa bus . Kweli ? When. Will people work . Serikali hii vipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.