Je, CHADEMA wanafaa kukabidhiwa nchi?

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,003
20,679
Tundu Anti-Pass Lissu, akihojiwa na Star TV, alieleza kwamba kwa upande wa chadema, wao ufisadi wala sio issue kwao, si ya kwanza, ya pili au ya tatu ,ya tisa huko.

Je, wakiingia madarakani, wana nguvu ya kisiasa ya kupambana na ufisadi? Wameshauona kama sehemu ya maisha yao, au maisha yao yamekuwa sehemu ya ufisadi, kwa hiyo wanaogopa kuukata mkono unaowalisha?
 
Tundu Anti-Pass Lissu, akihojiwa na Star Tv, alieleza kwamba kwa upande wa chadema, wao ufisadi wala sio issue kwao, si ya kwanza, ya pili au ya tatu ,ya tisa huko.

Je wakiingia madarakani, wana nguvu ya kisiasa ya kupambana na ufisadi? Wameshauona kama sehemu ya maisha yao, au maisha yao yamekuwa sehemu ya ufisadi, kwa hiyo wanaogopa kuukata mkono unaowalisha?
chiembe zinakutosha kweli?
 
Tundu Anti-Pass Lissu, akihojiwa na Star Tv, alieleza kwamba kwa upande wa chadema, wao ufisadi wala sio issue kwao, si ya kwanza, ya pili au ya tatu ,ya tisa huko.

Je wakiingia madarakani, wana nguvu ya kisiasa ya kupambana na ufisadi? Wameshauona kama sehem Huu ya maisha yao, au maisha yao yamekuwa sehemu ya ufisadi, kwa hiyo wanaogopa kuukata mkono unaowalisha?
Tueleze agenda yao namba 1 mpaka namba 8 tuelewe.
 
Tundu Anti-Pass Lissu, akihojiwa na Star Tv, alieleza kwamba kwa upande wa chadema, wao ufisadi wala sio issue kwao, si ya kwanza, ya pili au ya tatu ,ya tisa huko.

Je wakiingia madarakani, wana nguvu ya kisiasa ya kupambana na ufisadi? Wameshauona kama sehemu ya maisha yao, au maisha yao yamekuwa sehemu ya ufisadi, kwa hiyo wanaogopa kuukata mkono unaowalisha?


Kwa nini unafarijika kuwa mwongo? Wewe hakika utakuwa umebeba roho ya shetani.

Nina uhakika hata ungepewa mwaka mzima ulete ushahidi kuwa Lisu aliwahi kusema hayo, hutaleta.

Kwa wasiofahamu, huyu mleta mada mwongo, ameamua kubadili majibu ya Lisu alipoulizwa kuhusiana na CHADEMA kumteua Lowasa (RIP) kuwa mgombea kupitia CHADEMA.

Lisu katika kufafanua alisema kuwa kabla ya kumteua Lowasa walii-contract kampuni ya nje kufanya tathmini juu ya mambo muhimu kadhaa. Baadhi yakiwa ni mambo ambayo wananchi wanayaona ni muhimu sana kwao. Utafiti huo ulionesha kuwa agenda ya ufisadi, katika umuhimu kwa wananchi, lilikuwa ya 9. Kwa hiyo siyo Lisu aliyesema kuwa ufisadi ni ajenda namba 9, bali ni wananchi. Na hiyo ni kwa kadiri ya utafiti wa hiyo kampuni.

Pia kwa watu wenye influence ilionekana Lowasa ndiye mwanasiasa pekee aliyekuwa maarufu kuliko wengine wote, licha ya CHADEMA kumweka kwenye orodha ya mafisadi.

Na Lisu alikiri kuwa jina la Lowasa aliliingiza kwenye orodha hiyo ya mafisadi kutokana na taarifa ya Bunge ambapo Lowasa alitajwa kushindwa kuwasimamia watu wa chini yake waliotajwa kwenye sakata la Richmond, na taarifa hiyo ya Bunge haikusema kuwa Lowasa alihusika moja kwa moja. Uwajibikaji wake ulikuwa wa kisiasa. Taarifa ya kamati ya Bunge iliwataja waliohusika moja kwa moja na ambao kamati ilisema wagikishwe mahakamani, lakini Serikali haikufanya hivyo.
 
Tundu Anti-Pass Lissu, akihojiwa na Star Tv, alieleza kwamba kwa upande wa chadema, wao ufisadi wala sio issue kwao, si ya kwanza, ya pili au ya tatu ,ya tisa huko.

Je wakiingia madarakani, wana nguvu ya kisiasa ya kupambana na ufisadi? Wameshauona kama sehemu ya maisha yao, au maisha yao yamekuwa sehemu ya ufisadi, kwa hiyo wanaogopa kuukata mkono unaowalisha?
Misinformation, propaganda.
Mbona mafisadi papa wote ni ccm na hukemei?!
 
Tundu Anti-Pass Lissu, akihojiwa na Star Tv, alieleza kwamba kwa upande wa chadema, wao ufisadi wala sio issue kwao, si ya kwanza, ya pili au ya tatu ,ya tisa huko.

Je wakiingia madarakani, wana nguvu ya kisiasa ya kupambana na ufisadi? Wameshauona kama sehemu ya maisha yao, au maisha yao yamekuwa sehemu ya ufisadi, kwa hiyo wanaogopa kuukata mkono unaowalisha?
Kwani Waliiweka Namba moja mbona Wameifunga hata MAHAKAMA YA MAFISADI? AJENDA YA CHADEMA NI KUWA NA KATIBA ITAKAYOPAMBANA YENYEWE NA MAFISADI
 
Kwa nini unafarijika kuwa mwongo? Wewe hakika utakuwa umebeba roho ya shetani.

Nina uhakika hata ungepewa mwaka mzima ulete ushahidi kuwa Lisu aliwahi kusema hayo, hutaleta.

Kwa wasiofahamu, huyu mleta mada mwongo, ameamua kubadili majibu ya Lisu alipoulizwa kuhusiana na CHADEMA kumteua Lowasa (RIP) kuwa mgombea kupitia CHADEMA.

Lisu katika kufafanua alisema kuwa kabla ya kumteua Lowasa walii-contract kampuni ya nje kufanya tathmini juu ya mambo muhimu kadhaa. Baadhi yakiwa ni mambo ambayo wananchi wanayaona ni muhimu sana kwao. Utafiti huo ulionesha kuwa agenda ya ufisadi, katika umuhimu kwa wananchi, lilikuwa ya 9. Kwa hiyo siyo Lisu aliyesema kuwa ufisadi ni ajenda namba 9, bali ni wananchi. Na hiyo ni kwa kadiri ya utafiti wa hiyo kampuni.

Pia kwa watu wenye influence ilionekana Lowasa ndiye mwanasiasa pekee aliyekuwa maarufu kuliko wengine wote, licha ya CHADEMA kumweka kwenye orodha ya mafisadi. Na Lisu alikiri kuwa jina la Lowasa aliliingiza kwenye orodha hiyo ya mafisadi kutokana na taarifa ya Bunge ambapo Lowasa alitajwa kushindwa kuwasimamia watu wa chini yake waliotajwa kwenye sakata la Richmond, na taarifa hiyo ya Bunge haikusema kuwa Lowasa alihusika moja kwa moja. Uwajibikaji wake ulikuwa wa kisiasa. Taarifa ya kamati ya Bunge iliwataja waliohusika moja kwa moja na ambao kamati ilisema wagikishwe mahakamani, lakini Serikali haikufanya hivyo.
wewe chiembe una miaka mingapi, sitaki jibu lako ila nimekutag usome hapo juu

Baada ya hapo uache uongo
 
Huyu ni mental case, siyo swala la elimu, hata huo uandishi unaweza kuona ni mtu wa hovyo kiasi gani.
Wewe ni dokta wa kutibu binadamu au ni wale ma dokta wa SUA, wanatibu hata mbwa, panya na nguruwe?
 
Tundu Anti-Pass Lissu, akihojiwa na Star TV, alieleza kwamba kwa upande wa chadema, wao ufisadi wala sio issue kwao, si ya kwanza, ya pili au ya tatu ,ya tisa huko.

Je, wakiingia madarakani, wana nguvu ya kisiasa ya kupambana na ufisadi? Wameshauona kama sehemu ya maisha yao, au maisha yao yamekuwa sehemu ya ufisadi, kwa hiyo wanaogopa kuukata mkono unaowalisha?
Kwani wao wanaongoza nchi?
 
wenig Lands hawafahamu tundu lisu ni pandikizi na yupo kwa ajili ya kumlinda raisi wake asiondolewe 2025 lkn hawataweza imeshapangwa hivyo.

2025 tuna raiej mpya …
 
Kwa nini unafarijika kuwa mwongo? Wewe hakika utakuwa umebeba roho ya shetani.

Nina uhakika hata ungepewa mwaka mzima ulete ushahidi kuwa Lisu aliwahi kusema hayo, hutaleta.

Kwa wasiofahamu, huyu mleta mada mwongo, ameamua kubadili majibu ya Lisu alipoulizwa kuhusiana na CHADEMA kumteua Lowasa (RIP) kuwa mgombea kupitia CHADEMA.

Lisu katika kufafanua alisema kuwa kabla ya kumteua Lowasa walii-contract kampuni ya nje kufanya tathmini juu ya mambo muhimu kadhaa. Baadhi yakiwa ni mambo ambayo wananchi wanayaona ni muhimu sana kwao. Utafiti huo ulionesha kuwa agenda ya ufisadi, katika umuhimu kwa wananchi, lilikuwa ya 9. Kwa hiyo siyo Lisu aliyesema kuwa ufisadi ni ajenda namba 9, bali ni wananchi. Na hiyo ni kwa kadiri ya utafiti wa hiyo kampuni.

Pia kwa watu wenye influence ilionekana Lowasa ndiye mwanasiasa pekee aliyekuwa maarufu kuliko wengine wote, licha ya CHADEMA kumweka kwenye orodha ya mafisadi.

Na Lisu alikiri kuwa jina la Lowasa aliliingiza kwenye orodha hiyo ya mafisadi kutokana na taarifa ya Bunge ambapo Lowasa alitajwa kushindwa kuwasimamia watu wa chini yake waliotajwa kwenye sakata la Richmond, na taarifa hiyo ya Bunge haikusema kuwa Lowasa alihusika moja kwa moja. Uwajibikaji wake ulikuwa wa kisiasa. Taarifa ya kamati ya Bunge iliwataja waliohusika moja kwa moja na ambao kamati ilisema wagikishwe mahakamani, lakini Serikali haikufanya hivyo.
Asante kwa ufafanuzi. Hayo mahojiano niliyasikiliza hata mimi. Huyo Chiembe anayapindisha kukidhi maslahi binafsi
 
Tundu Anti-Pass Lissu, akihojiwa na Star TV, alieleza kwamba kwa upande wa chadema, wao ufisadi wala sio issue kwao, si ya kwanza, ya pili au ya tatu ,ya tisa huko.

Je, wakiingia madarakani, wana nguvu ya kisiasa ya kupambana na ufisadi? Wameshauona kama sehemu ya maisha yao, au maisha yao yamekuwa sehemu ya ufisadi, kwa hiyo wanaogopa kuukata mkono unaowalisha?
kilaza ktk ubora wako
 
Tundu Anti-Pass Lissu, akihojiwa na Star TV, alieleza kwamba kwa upande wa chadema, wao ufisadi wala sio issue kwao, si ya kwanza, ya pili au ya tatu ,ya tisa huko.

Je, wakiingia madarakani, wana nguvu ya kisiasa ya kupambana na ufisadi? Wameshauona kama sehemu ya maisha yao, au maisha yao yamekuwa sehemu ya ufisadi, kwa hiyo wanaogopa kuukata mkono unaowalisha?
Mbona CCM wanapewagwa wakati wao ndo wanafanya ufisadi?. In short, ufisadi siyo tatizo kwa watanzania vingivevyo wangeshajikomboa siku nyingi.
 
Back
Top Bottom