Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siku ya jana, tarehe 26/2/2024, shirika la reli hapa Tanzania (TRC) lilifanya jaribio la kwanza la treni ya kisasa, umeme na mwendokasi (SGR), na miongoni ya malengo (matarajio ya watu?) ya msingi...
21 Reactions
55 Replies
5K Views
Huu ndio ukweli, tena Dar es Salaam! Mahudhurio hayakulingana na nguvu kubwa iliyotumika. Chama kilianza kampeni na uhamasishaji kwa takriban mwezi mmoja uliopita ukizingatia kwamba, Dar es Salaam...
10 Reactions
87 Replies
6K Views
Kwa Africa Kura ni kitu temporary ndio sababu hata kura zikiibwa Watu hawashughuliki kuzipigania Hata Watu wakijitangaza Kupita Bila Kupingwa hakunaga anayejali na kuhoji Ila huko Duniani kila...
2 Reactions
18 Replies
891 Views
Kesho nitaongea na waandishi wa habari. Na hiyo kesho ndio itakuwa fursa yenu kunijua vizuri. Sitajiunga na chama chochote kile . Siasa njaa na na kuendekeza matumbo vimeniuzi. Labda tu kwa...
12 Reactions
129 Replies
7K Views
Katika suala la maandamano kuna aina mbili maarufu za maandamano. Moja maandamano ya amani haya pia unaweza kuyaita maandamano ya hisani au matembezi ya hisani . Ni aina ya maandamano ambayo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tumechoka kutumiwa kama mtaji wa wanasiasa kujinufaisha. Maisha yamekuwa magumu; hatuna maji, umeme ni kero, bima za afya ni mbovu, elimu imeshuka thamani, hakuna ajira. Tafadhali CHADEMA mje...
5 Reactions
9 Replies
531 Views
Kama hiri jamaa rinaitwa martin karanja kasese sijui ndo jina lake kumtusi Fatma kuwa anajihusisha na mambo ya jinsia moja ni tabia mbaya Chadema ni chama cha matusi na kimejaa vijana malioo huyu...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Msafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti. Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa...
8 Reactions
73 Replies
6K Views
Akifanya mahojiano na Mwanahalisi, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu amejibu maswali kuhusu uraia wa watoto wake na pia kufunga ndoa na Mzungu. Akijibu maswali hayo, Tundu Lissu...
12 Reactions
93 Replies
11K Views
"Matumizi ya mashine za kielekroniki kwa ajili ya kodi na kutoa risiti bado imekuwa ni changamoto kwa wananchi, kwasasa utoaji wa risiti umekuwa kama punguzo la bei manake mtu asipopewa risiti...
5 Reactions
56 Replies
3K Views
Kumekuwepo na mwendelezo mzuri maana waandamanaji wameelewa kuwa kumbe ni ya Amani na ujumbe wa Masahibu yao unafika kunako mfupa. Sasa yale yajayo yawe Dodoma na washiriki wawe; Viongozi wa...
7 Reactions
9 Replies
1K Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) imetumia umeme wa Sh336,000 katika safari ya abiria ya majaribio kutoka jijini Dar es...
18 Reactions
145 Replies
13K Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA kuendelea kufanya maandalizi na hamasa ya magari yao kuwa kesho wanafanya maandamano na kuwataka watu washiriki katika maandamano...
4 Reactions
117 Replies
6K Views
Akiwa mkoani Mara Waziri mkuu mh Majaliwa amesema kuna Wizi mkubwa sana unafanywa na kakikundi ka Watu Wachache pale TAMISEMI wakishirikiana na Watendaji wa kwenye Halmashauri Wezi hao...
10 Reactions
52 Replies
5K Views
Utaratibu wa kutoa majina ya watumishi waliokidhi vigezo vya kuhama kwenye tovuti ya TAMISEMI kila mwezi wa Juni na Desemba umeshakufa. Kwa sasa barua zimerudikana pale idarani kurugenzi ya...
4 Reactions
33 Replies
6K Views
Why huyu Rostam hajifunzi? Why anafanya yaleyale na results zinarudi zile zile na bado haoni "makosa" yake?... Naomba niseme hapa siko hapa kusema Rostam ni mfanyabiashara Safi Sana na wala siko...
9 Reactions
61 Replies
6K Views
MBUNGE MPEMBENWE: JIMBO LA KIBITI LILIPOKEA BILIONI 31 ZA MIRADI YA MAENDELEO KUTOKA KWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN "Katika Jimbo la Kibiti, Rais Samia Suluhu Hassan ametupatia fedha nyingi za...
0 Reactions
0 Replies
457 Views
Vijana wa Chama Cha ACT Wazalendo wamefanya mdahalo mmoja mzuri sana,ambao pia wameutumia kama uwanja wa kampeni. Hoja nyingi zilielekezwa Kwa Mwenyekiti anayetetea nafasi yake katika Ngome hiyo...
2 Reactions
2 Replies
616 Views
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa lengo la maandamano si machafuko bali ni kupeleka ujumbe kwa watawala. Akizungumza Katika mkutano wa hadhara uliofanyika baada ya maandamano...
2 Reactions
3 Replies
633 Views
Back
Top Bottom