Rais Samia kama unavyopenda kutumia mtandao wa X kuelezea mambo yanayohusu nchi na Watanzania ikiwemo kutoa taarifa mbalimbali za Serikali yako, nakushauri utumie mtandao huo kupata maoni ya...
Mabadiliko yaliyofanywa na Rais Samia kwenye baraza la Mawaziri.Ni kiini macho.
Uhalisia ni kwamba Rais Samia alikusudia na anaendelea kujisimika na kujiimarisha kwa mbinu zozote zile ili...
Leo ni mwaka wa 6 toka Tundu Lissu apigwe risasi mchana kweupe jiji dodoma.
Upelelezi wa tukio hilo bado haujulikani licha ya Tundu Lissu kurejea nchi kama jeshi la polisi lilivyosema...
Helkopta, magari jumlisha matamasha yaliyopewa majina kibao. Hiyo mwisho wa siku ni janja ya viongozi kuwafunika wanachama wao katika mfereji wa kutafuna pesa za chama.
Wanatafuta pa kujifichia...
Mbatia ametoa rai kwa Rais samia /serikali kuwa isiwekeze shiling 125 billioni kuimarisha uovu, badala yake iziweke kwenye kuendeleza maisha ya watanzania. Ametoa mfano, zikiwekezwa Muhimbili...
Professor wa Uchumi Haji Semboja amekemea tabia ya kutosema ukweli Kwa watu wa Serikali Kwa kimdanganya Rais kuhusu Haki halisi ya uhaba wa Dola na upataiknaji wa mafuta Nchini.
Swali;
Waliosema...
Huyu kumbe niwakumpuuza. Inaonekana hayupo huru kwenye kazi yake maana Habari kubwa kama za mkutano wa ngorongoro Leo wa tundu lissu huwez kuacha kuripoti. Sio yeye tu ni asilimia tisini na tisa...
George Michael Uledi.
September 5, 2023.
Miaka mitatu pekee ya kufanya active politics Nchini imetosha kumuibua mashine ya Mufindi Kusini Mhe. David Mwakiposa Kihenzile kwenye kundi la Vijana...
Wamasai ni wavamizi katika maeneo ya Eneo la crater.
Msiwatumie kisiasa ,asili yao ni Ethiopia kama walivyo waTz wengine wana asili ya uhindini na wengine uarabuni na walio wengi ni kutoka misitu...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema nchi imeandika historia mpya kwa kuwakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319...
Hii nimeiona ITV habari. Mama kakasirika mkuu wa wilaya kufanya uzembe kwa wananchi kurudisha kadi za chama kisa Mtwara wengi ni upinzani.
My Take: Tuendelee kupambana!
=========
Rais Samia...
Idara ya Uhamiaji, imemfikisha mahakamani Kada maarufu wa wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Iringa, Michael Mlowe kwa tuhuma za kuishi nchini bila kibali na kutoa taarifa za uongo kuhusu uraia...
Mkutano wa 18 wa Nchi wanachama wa Mkataba wa CITES (CITES COP 18) umeanza tarehe 17 Agosti 2019, Geneva, nchini Uswisi. Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaongozwa na Mhe. Dkt. Hamisi...
Flashback...1977
Mwaka 1977 iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ilivunjika na mali zilizokuwa za Jumuiya hiyo pamoja na stahiki za nchi zote tatu (Tanzania, Kenya na Uganda)...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amepongezwa na kundi la Vijana nchini ambao ni Wadau katika Sekta ya Kilimo kwa Uthubutu wake wa kufanikisha kufanyika kwa mkutano...
Nimekatishwa tamaa, nimefadhaishwa!
Mbunge wetu kijana, Freddy Mwakibete, mbunge wa Busokelo, Rungwe ameachwa kwenye mabadiliko ya mawaziri ya juzi.
Sisi wakazi wa Rungwe tumesononeshwa, maana...
Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi kwenye mkutano Mkubwa wa hadhara , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , amesema kwamba , Tangu aliposhambuliwa kwa Risasi hakuna yeyote aliyekamatwa wala hakuna...
Ni ukweli mchungu lakini Ndivyo walivyokuwa wapigania Uhuru wa Afrika kusini ya Sahara
Ukimsikiliza Mdude anavyoongea utagundua ana kitu ambacho 99.9% ya Vijana wa leo wa Tanzania hawana Labda...
Huyu ndugu tulikuwa naye kwenye mapambano. Asitelekezwe.
CHADEMA kama chama kilicho dhamiria kuikomboa nchi hii kinapaswa kuwa na sera ya wazi kuwahusu wahanga wake.
Kuwa na mfuko kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.