Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,495
- 51,089
Kufeli kwa serikali ya CCM sasa kumegonga pentagoni. Jiji la Dar es laam sasa limegeuka jiji la uhaba wa maji na umeme.
Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.
Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji
Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu
Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.
Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana
CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?
Umeme uko wapi?
Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.
Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji
Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu
Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.
Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana
CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?
Umeme uko wapi?