johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,000
- 142,027
Rais Mstaafu Kikwete amesema mabadiliko ya Kiuchumi na Kisiasa nchini yameletwa na mzee Mwinyi
Kikwete amesema Mwinyi ndio alishauri yafanyike mabadiliko Wakati 80% ya Watanzania bado Wana Imani na CCM
Busara hizo ndio zimeisaidia CCM kuendelea kushinda 2025, 2030 na kuendelea
Source: TBC
Kikwete amesema Mwinyi ndio alishauri yafanyike mabadiliko Wakati 80% ya Watanzania bado Wana Imani na CCM
Busara hizo ndio zimeisaidia CCM kuendelea kushinda 2025, 2030 na kuendelea
Source: TBC