Summary
Danadana zimeendelea kutawala juu ya kukamilika kwa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Dar – Morogoro, baada ya kuahirishwa mara kadhaa kwa majaribio yaliyopangwa kufanyika mwaka...
Na hapa nazungumzia Power endelevu miaka nenda rudi, na angalau idadi iwe inaridhisha sio mtu anakuwa moja tu akiondoka panakuwa kimya.
Mara nyingi utaisikia kanda ya pwani, kanda ya ziwa na...
Pita yote usiachie nusu tafadhali
100. Kutoa motisha kwa vijana kwa kila namna inayowezekana kupenda mambo ya msingi. Hii itawezesha kuwafanya wapende kujihusisha na ubunifu, uzalendo...
Usiku mzima wa leo nimeendesha gari kutoka mpaka wa Namanga hapo Kati ya Tanzania na Kenya Kwa shughuli binafsi.
Mpaka sasa ninavyoandika nipo mkoani Mwanza, nimefanikiwa kupitia vituo vyote vya...
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi...
Na Mwandishi wetu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ametekeleza ahadi ya Shilingi milioni 500 aliyotoa kwa Timu ya Taifa Stars ikifuzu kucheza Fainali za Kombe...
Hii habari ya wabunge wa Bunge la Ulaya (EU) kuzuiwa kuingia Ngorongoro saa 24 kabla ya ziara yao ya kukagua Haki za kibinadamu za jamii ya Wamaasai hakika haitatuacha salama.
Sijui akili za...
Mbowe ni kati ya viongozi muhimu katika siasa za upinzani hapa nchini na nje ya Tanzania [emoji1241].
Tangu siasa za vyama vingi zimeanza ameonyeha kuwa yeye ndiye kiongozi bora kwenye siasa za...
1. Wakati mwingine kabla hatujasaini hii mikataba tupate muda wa kutosha kusoma na kuhoji kabla ya kukimbilia kusaini ili tuwahi shopping.
2. Tukumbuke baada ya kusaini ni utekelezaji, hakuna...
Hakika wakati ni mwalimu mzuri sana. Nyerere anasema huwezi kutatua matatizo kwa kujidanganya kuwa hayapo. Naaam moto wa CHADEMA umewaka.
Hakuna kubebana kwenye malori.
Hakuna matangazo ya radio...
Habari. Nasikia zamani Dar watu binafsi hawakuruhusiwa kumiliki daladala za abiria. Usafiri ilikuwa shida sana. Baadaye serikali ikaja kuruhusu na ahueni ya usafiri ikapatikana. Serikali kuruhusu...
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Agosti 30, 2023 amefanya mabadiliko Baraza la Mawaziri ambapo Waziri mmoja na Manaibu wawili wameachwa na nafasi zao zimechukuliwa na wengine.
Aliyekuwa...
Wanabodi,
Mjadala wa IGA ya DPW kupewa Bandari yetu ya Dar es Salaam, unazidi kushika kasi.
Jana asubuhi nilipandisha bandiko hili Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza...
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa amesema kuwa kwa kasi ya maendeleo inayofanywa na Mhe. Dr. Hussen Ali Mwinyi na Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassani CCM lazima ishinde kwa kishido katika uchaguzi ujao...
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Najua upo kwenye kipindi cha kusoma mchezo wa DP world na reactions za watanzania. Hilo sitaliongelea kwa sababu limepata wadau wengi sana wa kujadili na mimi...
Tunahitaji watu aina ya Magufuli kwa miaka 100 japo watanzania akili zitukae sawa.
Kuna Mtu yuko Mahali yeye Kaamua kukaa Kimya anategemea mambo yatafanyika automatic.
Ni nyara za Serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe...
Leo usku sikupata usingizi baada kupata taarifa kutoka U tube zikimuonesha Mh Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwa mkoani Geita kwenye Moja ya Mikutano yake ya hadhara alidai yakuwa kuna mkataba...
Habari wana jukwaa najua humu ndani kuna wazee wa mjini karibu na viunga vya mahakama na wengineo ni wanasheria wanaofuatilia mienendo ya kesi mbalimbali.
Narejea kesi ya mtuhumiwa wa wizi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.