Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Summary Danadana zimeendelea kutawala juu ya kukamilika kwa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Dar – Morogoro, baada ya kuahirishwa mara kadhaa kwa majaribio yaliyopangwa kufanyika mwaka...
10 Reactions
62 Replies
8K Views
Na hapa nazungumzia Power endelevu miaka nenda rudi, na angalau idadi iwe inaridhisha sio mtu anakuwa moja tu akiondoka panakuwa kimya. Mara nyingi utaisikia kanda ya pwani, kanda ya ziwa na...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Pita yote usiachie nusu tafadhali 100. Kutoa motisha kwa vijana kwa kila namna inayowezekana kupenda mambo ya msingi. Hii itawezesha kuwafanya wapende kujihusisha na ubunifu, uzalendo...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Usiku mzima wa leo nimeendesha gari kutoka mpaka wa Namanga hapo Kati ya Tanzania na Kenya Kwa shughuli binafsi. Mpaka sasa ninavyoandika nipo mkoani Mwanza, nimefanikiwa kupitia vituo vyote vya...
9 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho. Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi...
26 Reactions
124 Replies
6K Views
Mfano, kura halali pekee; CCM wakapata 51% CHADEMA wakapata 32% ACT wazalendo wakapata 5% CUF wakapata 3% NCCR-Mageuzi wakapata 2% vyama vingine vyote vilivyobaki wakapata 7% Nilihisi...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Na Mwandishi wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ametekeleza ahadi ya Shilingi milioni 500 aliyotoa kwa Timu ya Taifa Stars ikifuzu kucheza Fainali za Kombe...
7 Reactions
44 Replies
5K Views
Hii habari ya wabunge wa Bunge la Ulaya (EU) kuzuiwa kuingia Ngorongoro saa 24 kabla ya ziara yao ya kukagua Haki za kibinadamu za jamii ya Wamaasai hakika haitatuacha salama. Sijui akili za...
37 Reactions
185 Replies
13K Views
Mbowe ni kati ya viongozi muhimu katika siasa za upinzani hapa nchini na nje ya Tanzania [emoji1241]. Tangu siasa za vyama vingi zimeanza ameonyeha kuwa yeye ndiye kiongozi bora kwenye siasa za...
16 Reactions
87 Replies
5K Views
1. Wakati mwingine kabla hatujasaini hii mikataba tupate muda wa kutosha kusoma na kuhoji kabla ya kukimbilia kusaini ili tuwahi shopping. 2. Tukumbuke baada ya kusaini ni utekelezaji, hakuna...
0 Reactions
5 Replies
963 Views
Hakika wakati ni mwalimu mzuri sana. Nyerere anasema huwezi kutatua matatizo kwa kujidanganya kuwa hayapo. Naaam moto wa CHADEMA umewaka. Hakuna kubebana kwenye malori. Hakuna matangazo ya radio...
26 Reactions
49 Replies
4K Views
Habari. Nasikia zamani Dar watu binafsi hawakuruhusiwa kumiliki daladala za abiria. Usafiri ilikuwa shida sana. Baadaye serikali ikaja kuruhusu na ahueni ya usafiri ikapatikana. Serikali kuruhusu...
13 Reactions
52 Replies
3K Views
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Agosti 30, 2023 amefanya mabadiliko Baraza la Mawaziri ambapo Waziri mmoja na Manaibu wawili wameachwa na nafasi zao zimechukuliwa na wengine. Aliyekuwa...
12 Reactions
143 Replies
23K Views
Wanabodi, Mjadala wa IGA ya DPW kupewa Bandari yetu ya Dar es Salaam, unazidi kushika kasi. Jana asubuhi nilipandisha bandiko hili Bunge, Serikali na Mahakama, Sio Mungu, Sio Malaika, Zinaweza...
19 Reactions
55 Replies
5K Views
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa amesema kuwa kwa kasi ya maendeleo inayofanywa na Mhe. Dr. Hussen Ali Mwinyi na Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassani CCM lazima ishinde kwa kishido katika uchaguzi ujao...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Najua upo kwenye kipindi cha kusoma mchezo wa DP world na reactions za watanzania. Hilo sitaliongelea kwa sababu limepata wadau wengi sana wa kujadili na mimi...
9 Reactions
53 Replies
3K Views
Tunahitaji watu aina ya Magufuli kwa miaka 100 japo watanzania akili zitukae sawa. Kuna Mtu yuko Mahali yeye Kaamua kukaa Kimya anategemea mambo yatafanyika automatic.
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Ni nyara za Serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe...
27 Reactions
255 Replies
23K Views
Leo usku sikupata usingizi baada kupata taarifa kutoka U tube zikimuonesha Mh Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwa mkoani Geita kwenye Moja ya Mikutano yake ya hadhara alidai yakuwa kuna mkataba...
22 Reactions
81 Replies
8K Views
Habari wana jukwaa najua humu ndani kuna wazee wa mjini karibu na viunga vya mahakama na wengineo ni wanasheria wanaofuatilia mienendo ya kesi mbalimbali. Narejea kesi ya mtuhumiwa wa wizi wa...
14 Reactions
49 Replies
5K Views
Back
Top Bottom