Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

"Wakati ule tunaanza kuagiza bidhaa nje ikiwemo magari, kwa mwaka 2010 dola tulikuwa tunanunua kwa shilingi 1530 mara ya kwanza kabisa wakati naanza kuagiza bidhaa nje ya nchi, baadaye ikapanda...
7 Reactions
37 Replies
4K Views
Mimi kama Mtanzania wa kawaida, ninayo haki na wajibu wa kukutana na kiongozi wangu yeyote na kubadilishana naye mawazo ili kujenge nchi yetu kwa pamoja. Mimi nimebehetika kukaa katika biashara...
1 Reactions
1 Replies
482 Views
"Picha na Video ziko chini ya Bandiko." Kitendo cha Spika Tulia Akson kumkalisha Chini na kuukataa mchango wa Mbunge wa Sengerema CCM Mheshimiwa Tabasamu wakati akitoa hoja yake kuhusu hujuma ya...
6 Reactions
47 Replies
3K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 9, leo Septemba 8, 2023. https://www.youtube.com/live/LESXSKjjWGg?si=4iBgpLPzLXEouZLk https://www.youtube.com/watch?v=-LGuLfNhFWE...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, Nafikiri wengi tunakubaliana kwamba kukuza uchumi ni njia rahisi ya kuepuka tatizo la uhaba wa dollar na mfumuko wa bei unaoambatana nao. Hapa nitaeleza eneo moja la kisiasa kiutendaji...
2 Reactions
2 Replies
508 Views
Vigogo wako juu ya serikali awamu hii, wanatamba na kufanya wapendavyo. Na hakuna wa kufanya fyoko. Hakuna kigogo yeyote wa serikali, hata waliotajwa na CAG kuwa wamefuja mali za umma ambaye...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Nimeshangaa sana kusikia hilo maana huko Zanzibar watanganyika tunajulikama kama raia wa nchi nyingine. Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka hao...
11 Reactions
81 Replies
7K Views
Kwa upande wa Kimungu tunasema tumebarikiwa kwa upande mwengine tumenona nchi inarasilimali kila Kona,kwa vitu tulivyonavyo ni aibu kutuletea vichwa vya mitumba!. Kwa staili hii lazima tuwashike...
6 Reactions
8 Replies
625 Views
Tayari tumeingia kwenye tatizo kubwa la kiuchumi kama Nchi na tusipokuwa na maono makubwa ya jinsi ya kutoka hapo kwa kuwa na mipango ya muda mrefu na muda mfupi basi tumekwisha. Wataalam wetu...
0 Reactions
5 Replies
530 Views
Waziri wa Nishati January Makamba amemshukuru Rais Samia kwa kuwapa tsh 500bil kwa ajili ya ukarabati wa Miundombinu ya Umeme, jumla ya Fedha inayohitajika ni zaidi ya tsh trillion 1. Makamba...
9 Reactions
131 Replies
11K Views
Uelewa mdogo wa watu unachangia kwa hili kupotoshwa. Upinzani Tanzania unakuwa sana lakini sio kitu kibaya kwa nchi wala chama tawala. Kukuwa kwa vyama vya upinzani ni kukuwa kwa demokrasia na...
5 Reactions
9 Replies
654 Views
Natoa ushauri kwa Raisi judge Francis Mutungi hataweza kukubaliwa na wadau hasa wa upinzani na anaonekana kama chawa kuzidi hata Judge. Kwenye kutengeneza katiba ni lazima uanze na team mpya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KWENYE UZINDUZI RASMI WA BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 18 NOVEMBA, 2010...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ule ujasiri wa wanaCCM mtaani kuitetea Serikali na mamlaka zake kwa mbwebwe na majigambo kwasasa unaonekana umepungua na ni dhaifu na wa kiwango cha chini sana. Ni kama vile haupo kabisa. Hii ni...
2 Reactions
4 Replies
569 Views
Hii alisema Freeman Mbowe mwenyewe kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015 kwamba Lowassa atashinda kiti cha Rais na yeye atateuliwa kuwa Waziri mkuu. Kilichotokea sote tunakijua!
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Sheria ya Makosa ya Adhabu namba 16 na Kanuni zake haimzuii mtu kumiliki wala kuvaa mavazi rasmi ya Jeshi ikiwa vazi hilo rasmi litavaliwa kwaajili ya matamasha au maigizo yanayowakilisha Jeshi...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa sasa pale CCM kuwa chawa wa Kiongozi mashuhuri ni Sifa na wewe unapata " vichawa" vidogo vidogo Kimsingi Chawa wote wanatoka kwenye Jumuiya za CCM au kwa mfano Chadema wao Chawa hutoka...
11 Reactions
40 Replies
2K Views
Tamko hilo la EWURA linalofafanua kuhusu taarifa yao ya Septemba 4, 2023 linakuja muda mfupi tangu Waziri Mkuu akiri Bungeni kuwa kuna changamoto ya upatikanaji wa Nishati hiyo katika baadhi ya...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi. Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya...
28 Reactions
171 Replies
9K Views
SPIKA wa Bunge, Dk Tulia Ackson ametaka ifanyike tathmini ya mfumo mpya wa uagizaji mafuta nchini. Ametoa kauli hiyo bungeni muda mfupi kabla ya kusitisha shughuli za bunge mchana leo Septemba 7...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom