Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuuliza sio ujinga ni kutaka pia kujifunza.Hukumu ya Mahakama kuu iliyotolewa Desemba 2023 juu ya Kesi ya kupinga Kufukuzwa Uanachama wa Chadema ilitamka wazi kuwa Halima na Genge lake Walifukuzwa...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Hali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235...
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Chadema Mbowe ametangaza kuwa sasa Maandamano yatakuwa Utamaduni wa maisha ndani ya Chama chao. Source: Chadema Tz
2 Reactions
7 Replies
969 Views
Wakati tuko mashuleni na vyuoni tulikuwa tunaandama kwa sababu maalumu na tunaandama mpaka kieleweki . Maandamo ya CHADEMA ya sasa hayana madhara yoyote kwa serikali ,hayana msimamo wowote na...
3 Reactions
13 Replies
644 Views
Kama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha...
32 Reactions
349 Replies
24K Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama ametoa wito viongozi kuhakikisha wanawapatia wenyeviti wa Mashina wa Chama cha Mapinduzi taarifa muhimu za utekelezaji...
0 Reactions
0 Replies
498 Views
wakati kwetu tanzania hata hicho tu max 2000 MW watu waligoma na kupiga makelele sijui mazingira mara miti milioni moja imekatwa, Congo (DRC) ina plan kujenga up 50 Gigawatt (1 GW= 1000MW) hydro...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Wadau nawasabahi. Chama kikuu cha upinzania Tanzania Chadema kimetangaza kufanya maandamano ya amani tarehe 24 Januari 2024 ili kufikisha hoja zake kwa serikali na CCM ili ziweze kutekelezwa kwa...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Kitendo cha Waziri mkuu kutoa amri ya kuchukuliwa hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za halmashauri, kinatia moyo ingawa bado tungefurahi zaidi tutakapopata mwendelezo wa hatua hiyo...
1 Reactions
7 Replies
769 Views
Tanzania kama taifa licha ya ukongwe wake toka tupate uhuru ni dhahiri kwamba mifumo ya utawala imekuwa ikibidi kuwa mibovu kila kukicha. Hii hali imekuwa ikichangiwa sana sana na uchu wa viongozi...
11 Reactions
12 Replies
981 Views
Akizungumza bungeni leo Mheshimiwa Msukuma kadai hakuna Rais aliyedhubutu Kama Magufuli tangu tupate uhuru. Akiitolea mfano China yenye maendeleo makubwa huku mihula ya Urais haizingatiwi, kasema...
9 Reactions
164 Replies
14K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri YA Muungano wa Tanzania.. Nitaenda moja kwa moja kwenye hoja. Katika hali ya kawaida serikali inayoongozwa na chama tawala inapofanya vibaya kwenye septa au nyanja...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Matukio mawili yametokea jijini Arusha ambayo yalitosha kusambaratisha maandamano ya Chadema. Mosi ni ajali iliyoua watu 25 wakiwemo watoto sita (6). Ni simannzi nzito sana. Pili ni mvua kubwa...
21 Reactions
58 Replies
4K Views
Yes
0 Reactions
4 Replies
934 Views
Pamoja na mapungufu ya Godbless Lema Lakini angalizo kwa ndugu zake Waislamu limebeba Uzito wake Utakuta Wanazuoni wa Kiislam walioko magerezani kwa kesi za ugaidi watetezi wao huwa ni Wakristo...
43 Reactions
131 Replies
7K Views
Leo nilifika kituo cha afya Kimara baada ya ndugu yangu kuniita nikalipie gharama ili mtoto wake apatiwe matibabu baada ya kuanguka na kuumia mguu. Picha linaanza kuingia kwa daktari, mama wa...
8 Reactions
47 Replies
3K Views
Naomba nende kwenye mada moja kwa moja. Leo Tarehe 27 febr Mh.Khasim Majaliwa, (Mb)na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya ziara wilaya ya Serengeti. Katika ziara hiyo, Mh...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Tarehe 28 August 1963 yalifanyika maandamano makubwa jijini Washington DC yenye kauli isiyofutika ya Mpigania haki maarufu duniani Martin Luher King Jr isemayo "I have a dream". Maandamano yale...
2 Reactions
7 Replies
883 Views
Anaandika Almaliki Mokiwa Februari 28, 2024. Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga ni eneo lenye 6,534 km² lililopakana na Wilaya ya Kilindi upande wa Magharibi, Wilaya ya Korogwe na mkoa wa Kilimanjaro...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Makampuni kutoka Canada na Australia yamekuwa kwenye Mgogoro mzito wa Kugombea umiliki wa mgodi Mpya wa Nyanzaga huko Sengerema Mwanza ambapo Kila kampuni inadai umiliki halali. Hali hii...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom