Mbunge Zubeida Shaib atembelea Miradi ya Elimu ya Jimbo la Mfenesini

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,898
942

MBUNGE ZUBEIDA SHAIB Atembelea Miradi ya Elimu ya Jimbo la Mfenesini

Mbunge wa Jimbo la Mfenesini, Mhe. Zubeida Khamis Shaib amefanya ziara katika kukagua miradi ya elimu ya madarasa yanayokarabatiwa fedha za mfuko wa Jimbo katika Skuli ya Msingi Kihinani

Pia, Mhe. Zubeida Khamis Shaib ametimiza ahadi ya kukabidhi mitungi ya Nishati ya gesi kwa vikundi vya wajasiriamali wa Shehia ya Kikaangoni wanaojishughulisha na shughuli za upishi ili kuweka mkazo kwenye matumizi ya Nishati safi ya kupikia

Aidha, Mhe. Zubeida pamoja na kuwapa wajasiriamali mitungi ya gesi ya Nishati ya safi ya kupikia amewapa fedha kila kikundi Shilingi 50,000 kusaidia kukuza mtaji wa biashara ambao nao wamemshukuru sana Mhe. Zubeida Khamis Shaib kwa mchango wake kwa wajasiriamali hao
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-02-29 at 06.46.54.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-29 at 06.46.54.jpeg
    466 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-29 at 06.46.55.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-29 at 06.46.55.jpeg
    385.5 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-28 at 23.57.26.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-28 at 23.57.26.jpeg
    72.5 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-28 at 23.57.29.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-28 at 23.57.29.jpeg
    65.4 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-28 at 23.57.26(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-28 at 23.57.26(1).jpeg
    74.4 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-28 at 23.57.25.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-28 at 23.57.25.jpeg
    63.7 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-28 at 23.57.29(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-28 at 23.57.29(1).jpeg
    65.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom