Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Asalaam Aleikum, Kama kichwa kinavyojieleza. In Tanzania currently, sio ruling party wala watu wa opposition parties, wote hao wanatafuta political mileages kupitia kumuongelea MZ. Ni kwamba sera...
3 Reactions
7 Replies
556 Views
Wanabodi, Kwa mila na desturi za kiasili za Kiafrika, Traditional African tradition, kwenye ngazi ya familia, mume ndie mkuu wa familia, ndie anayechagua mchumba, ndiye anaya posa, adie...
9 Reactions
31 Replies
4K Views
Kwanza ifahamike kuwa, shule bure imeongeza ujinga mkubwa miongoni mwa wanafunzi tangu tu huduma hii ilipoanzishwa na serikali Lengo na maksudi ya Serikali na nia yake, ilikuwa ni njema na nzuri...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Saturday, July 9, 2011, 13:14 * Says currently Mainland meets most of cost in running Z'bar By Tobias Nsungwe, Dodoma A senior Cabinet minister, Samuel Sitta yesterday said in Parliament here...
0 Reactions
74 Replies
6K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Angalieni Jinsi vilivyo bomba , halafu tuipongeze Serikali. --- Mwonekano wa vichwa vipya vya treni za reli ya kisasa (SGR) vilivyofanyiwa ukaguzi na Shirika la Reli Tanzania (TRC) nchini Korea...
17 Reactions
92 Replies
9K Views
Nadhani ili twende sambamba kwa wale wanachama wa CCM wanaohoji uhalali wa Mh. Mbowe kuendelea kuwa madarakani ni vema kwanza suala hili wakawaachia CHADEMA wenyewe kwa sababu ndio waliomweka...
4 Reactions
11 Replies
604 Views
Naelewa vizuri sana na nakubaliana na mantiki ya kuchukua wanafunzi wa kike wenye ufaulu chini kidogo ya wale wa kiume kuwapeleka kidato cha sita na vyuo vikuu. Naona hilo ni jambo lenye mashiko...
3 Reactions
5 Replies
935 Views
Sisi tanaangalia mzigo ufike panapohusika na sio hali ya punda! Tunakuomba sana mheshimiwa Freeman Mbowe kama unawapenda watanzania na CHADEMA usifanye kosa la kuachia uongozi wa chama kabla ya...
21 Reactions
80 Replies
4K Views
Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mary Chatanda , kupitia Katibu Mkuu Ndugu. Jokate Mwegelo amezindua kundi la SAMIA QUEENS ambalo ni...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Mwanazuoni Richard Mabala awataka TBC wamwombe radhi Katibu mkuu wa UWT kwa kupotosha kile alichosema Mabala amesema baada ya kumsikiliza Jokate amegundua TBC wamemzushia kuhusu kuwabagua Wanaume...
3 Reactions
2 Replies
879 Views
Mtazamo wa viongozi kwa vijana ni wa kiwango cha chini sana, sasa mnanza kutafuta visingizio ya vijana kutofanya kazi na kuwajibika sawa sawa mnafikiri ni kwa sababu ya betting yaani wote...
4 Reactions
3 Replies
597 Views
Wanabodi, Hii ni thread ya swali, kuwa kikawaida, wanawake ndio hutongozwa, huongwa na kuongeka kwa mtu mmoja tuu, na kufunga uchumba na kuolewa kuwa mke mwema, japo ataendelea kutongozwa lakini...
43 Reactions
137 Replies
22K Views
Wanabodi, Nimeona mijadala mbalimbali kumlaumu rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kwa kuteua wabunge wanaume 6 na Wanawake 2, kati nafasi zake 10 za uteuzi. Naomba kukiri...
25 Reactions
301 Replies
30K Views
Ndugu zangu Watanzania, Wakati mwingine huwa ni aibu sana,fedheha kubwa sana pale unapoweza ukawa unasikiliza mkutano wa hadhara wa CHADEMA unaohutubiwa na vijana wake huku mitaani.kiukweli...
4 Reactions
108 Replies
5K Views
Komredi Shemsa Mohamed: Heri ya Siku ya Wanawake Duniani, 08 Machi, 2024 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Ndugu Shemsa Mohamed ametoa salama za kuwatakia Wanawake wote...
0 Reactions
0 Replies
430 Views
Ahimiza Wanawake Dar es salaam wenye sifa na uthubutu kujitokeza kwa wingi kuingia katika nafasi ya uwenyekiti Serikali za mitaa 2024. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake (UWT) Mkoa wa Dar es...
0 Reactions
3 Replies
507 Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema moja ya vyanzo vinavyosababisha tatizo la umeme nchini ni ukosefu wa maji unaochangiwa na uharibifu wa mazingira. Amebainisha kuwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
"TUENDELEE kumuunga mkono Mwenyekiti wetu wa CCM na Rais Dkt. Samia katika kuongoza nchi yetu, amekuwa mfano kwa kuwezesha wanawake kisiasa, kiuchumi na alipewa nchi katika kipindi kigumu lakini...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu aliwahi kusema bila jukwaa la kufanyia siasa kama Kiongozi huwezi kuwa maarufu Kwaherini Zitto Kabwe na James Mbatia Ili msikike tena karibuni nyumbani...
2 Reactions
15 Replies
851 Views
Back
Top Bottom