Wanabodi,
https://www.youtube.com/live/FKV_bbjQpg4?si=zxr9EcF4YASpj6Fo
Niko hapa ukumbi, JNICC, kwenye Mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia...
Mwezi uliopita nilishuhudia Mwenge unakimbizwa katika mkoa wa Kigoma. Ajabu niliyoiona ni mwenge kutembea na wasanii wa Bongo!
Zamani mwenge ulijitangaza wenyewe kwa kiwa ulionekana wenye maana...
Taarifa za uhakika ni kuwa Ujenzi wa Reli ya SGR hasa vipande vinavyohusu kampani ya waturuki umesimama na kazi zinazoendelea ni chini ya asilimia kumi, yaani ni kama wanaweka watu wachache kwenye...
Janeth Joel Rithe: Wizara ya Maendeleo ya Jamii Haipewi Kipaumbele.
Utangulizi
Leo Alhamisi Mei 18, 2023 Waziri Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake na makundi maalum amewasilisha bungeni Mpango...
Kwa sababu Samia hajiamini ndani ya CCM.kuelekea 2025!
CCM-Samia wanatumia nguvu kubwa Sana ili kuhakikisha kwamba. Hakuna mwana CCM ambaye anaweza kupata ushawishi wa kisiasa ndani na nje ya...
Ungemuona kijana Kulwa Makasi kwa mbali ungeweza kudhani ni kijana mwenye furaha.
Hujitahidi kumkaribisha mteja kwa bashasha japokuwa, tofauti na wenzake, angekuwa amekaa ndani ya kijibanda chake...
Inasemekana pendekezo la Kutoa Elimu ya Katiba mpya kwa wananchi kwa miaka 3 lilitolewa na Kikosi Kazi cha Prof Mkandala na Zitto Kabwe
Inadaiwa vyama Vya Siasa na NGOs ndio wamependemezwa...
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema Tanzania Ina mengi ya kujifunza kutoka nchini Algeria katika Sekta ya Michezo kutokana na nchi hiyo kupiga hatua kubwa...
Madai ya uwepo wa KATIBA MPYA imekuwepo toka mwaka 1995 mfumo wa vyama vingi vya siasa ulipo anzishwa. Zimeundwa tume nyingi mno na marais tofauti ili kuona namna bora ya kuwa na KATIBA MPYA...
Wasalaam Bazzukulu,
Mkubali au mkatae ila ukweli usemwe Tunda Lissu ana asili ya umuch know na udictator, pia ni lopolopo sana, na ni mjuajj anaependa kuabudiwa na kusifiwa.
Kwa sifa hizo mbovu...
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Kuhusu Katiba Mpya tunaanza na Elimu Watanzania waijue, unaanzaje kumwambia Mtu akupe maoni yake kitu hakijui. Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza...
Leo nimemsikia mwenyekiti akisisitiza kwamba watu waelimishwe kwanza kuhusu katiba ndipo tuzungumzie katiba mpya. Kisha akasema mchakato wa katiba sio wa wanasiasa kana kwamba hata yeye haumuhusu...
Ki ukweli nimesikiliza hotuba ya Mh Rais Samia leo kwenye mkutano na wadau wa Demokrasia nimekosa jibu la moja kwa moja kuwa licha ya kuwa Rais Samia aliwahi kuwa makamu mwenyekiti wa Bunge la...
Suala Katiba mpya limekuwa agenda ya muda mrefu la lakini pamoja na umuhimu wake kwa taifa, kwa kiasi kikubwa limebebwa na Chadema pamoja na wanaharakati wanaokiunga mkono chama hicho cha kisiasa...
CCM hawapo tayari kuachia dola kwa kuwa wanajua wanayowafanyia wananchi yaliyo mengi ni ubadhilifu wa hali ya juu wa fedha za umma. Wanaamini chama kipo watu wake watatawala milele na pia kuna...
Tunatenga miaka mitatu ya kufundisha katiba, hii ni katiba inayokuja au iliyopo?
Je, waliopendekeza hii elimu ya miaka mitatu ni vyama vya siasa au ni chama cha mapinduzi?
Kama ni katiba ya...
Hili la Samia kurukaruka kama maharage ya Mbeya kuhusu kuandika katiba mpya, kinyume kabisa na dhamira yake ya awali, siyo jambo geni kutokea. Likitokea pia chini ya utawala wa Kikwete mwaka 2014...
Nimemfuatilia sana na aina ya siasa zake kwakweli kuwa kiongozi hafai. Anachoweza ni kuwapandisha midadi ya kisiasa wafuasi wa CHADEMA kwa ile style yake ya kuongea kiswahili cha kinyaturu na...
Godbless Lema akiwa Mwanza amesema “Ukiona dereva bodaboda ameongezeka ujue ni umasikini umeongezeka, hakuna kazi ya mateso, ufukara na umasikini.
"Vijana mnaoendesha bodaboda hivi sasa, miaka 20...
Napata wakati mgumu kuwalinganisha Rais Samia Suluhu na Tundu Lissu ktk masuala ya kiuongozi.
# Lissu kashitakiwa mara 10 wkt Rais Samia kbl ya kuwa Rais hakuwa ameshitakiwa;
# Lissu kaishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.