Asalaam Aleikum,
Kama kichwa kinavyojieleza. In Tanzania currently, sio ruling party wala watu wa opposition parties, wote hao wanatafuta political mileages kupitia kumuongelea MZ. Ni kwamba sera...
Wanabodi,
Kwa mila na desturi za kiasili za Kiafrika, Traditional African tradition, kwenye ngazi ya familia, mume ndie mkuu wa familia, ndie anayechagua mchumba, ndiye anaya posa, adie...
Kwanza ifahamike kuwa, shule bure imeongeza ujinga mkubwa miongoni mwa wanafunzi tangu tu huduma hii ilipoanzishwa na serikali
Lengo na maksudi ya Serikali na nia yake, ilikuwa ni njema na nzuri...
Saturday, July 9, 2011, 13:14
* Says currently Mainland meets most of cost in running Z'bar
By Tobias Nsungwe,
Dodoma
A senior Cabinet minister, Samuel Sitta yesterday said in Parliament here...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba...
Angalieni Jinsi vilivyo bomba , halafu tuipongeze Serikali.
---
Mwonekano wa vichwa vipya vya treni za reli ya kisasa (SGR) vilivyofanyiwa ukaguzi na Shirika la Reli Tanzania (TRC) nchini Korea...
Nadhani ili twende sambamba kwa wale wanachama wa CCM wanaohoji uhalali wa Mh. Mbowe kuendelea kuwa madarakani ni vema kwanza suala hili wakawaachia CHADEMA wenyewe kwa sababu ndio waliomweka...
Naelewa vizuri sana na nakubaliana na mantiki ya kuchukua wanafunzi wa kike wenye ufaulu chini kidogo ya wale wa kiume kuwapeleka kidato cha sita na vyuo vikuu. Naona hilo ni jambo lenye mashiko...
Sisi tanaangalia mzigo ufike panapohusika na sio hali ya punda! Tunakuomba sana mheshimiwa Freeman Mbowe kama unawapenda watanzania na CHADEMA usifanye kosa la kuachia uongozi wa chama kabla ya...
Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mary Chatanda , kupitia Katibu Mkuu Ndugu. Jokate Mwegelo amezindua kundi la SAMIA QUEENS ambalo ni...
Mwanazuoni Richard Mabala awataka TBC wamwombe radhi Katibu mkuu wa UWT kwa kupotosha kile alichosema
Mabala amesema baada ya kumsikiliza Jokate amegundua TBC wamemzushia kuhusu kuwabagua Wanaume...
Mtazamo wa viongozi kwa vijana ni wa kiwango cha chini sana, sasa mnanza kutafuta visingizio ya vijana kutofanya kazi na kuwajibika sawa sawa mnafikiri ni kwa sababu ya betting yaani wote...
Wanabodi,
Hii ni thread ya swali, kuwa kikawaida, wanawake ndio hutongozwa, huongwa na kuongeka kwa mtu mmoja tuu, na kufunga uchumba na kuolewa kuwa mke mwema, japo ataendelea kutongozwa lakini...
Wanabodi,
Nimeona mijadala mbalimbali kumlaumu rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kwa kuteua wabunge wanaume 6 na Wanawake 2, kati nafasi zake 10 za uteuzi.
Naomba kukiri...
Ndugu zangu Watanzania,
Wakati mwingine huwa ni aibu sana,fedheha kubwa sana pale unapoweza ukawa unasikiliza mkutano wa hadhara wa CHADEMA unaohutubiwa na vijana wake huku mitaani.kiukweli...
Komredi Shemsa Mohamed: Heri ya Siku ya Wanawake Duniani, 08 Machi, 2024
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Ndugu Shemsa Mohamed ametoa salama za kuwatakia Wanawake wote...
Ahimiza Wanawake Dar es salaam wenye sifa na uthubutu kujitokeza kwa wingi kuingia katika nafasi ya uwenyekiti Serikali za mitaa 2024.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake (UWT) Mkoa wa Dar es...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema moja ya vyanzo vinavyosababisha tatizo la umeme nchini ni ukosefu wa maji unaochangiwa na uharibifu wa mazingira.
Amebainisha kuwa...
"TUENDELEE kumuunga mkono Mwenyekiti wetu wa CCM na Rais Dkt. Samia katika kuongoza nchi yetu, amekuwa mfano kwa kuwezesha wanawake kisiasa, kiuchumi na alipewa nchi katika kipindi kigumu lakini...
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu aliwahi kusema bila jukwaa la kufanyia siasa kama Kiongozi huwezi kuwa maarufu
Kwaherini Zitto Kabwe na James Mbatia
Ili msikike tena karibuni nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.