Asalaam Aleikum,
Kama kichwa kinavyojieleza. In Tanzania currently, sio ruling party wala watu wa opposition parties, wote hao wanatafuta political mileages kupitia kumuongelea MZ. Ni kwamba sera za kuongelea na hoja za kisiasa zimeisha au ndo mvuto wa kisiasa wa hao wagombea wenu hakuna kabisa?
Its very absurd, stupid and unbelievable kwamba our foreign minister anaenda nje ya nchi kwa kodi zetu kuongelea a deceased individual badala ya kuuza sera zetu za kimataifa. You cant convice me kabisa kwamba huyo mtu ana akili timamu. That's very stupid.
Me nadhani, kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani, wanasiasa wajue kwamba, we need to hear them addressing matatizo yaliyopo kwenye localities zetu, Umeme wa shida, sukari hakuna, dollar hazipo, maji hayatoki, hoja za CAG are not tended at all, mazingira yetu yanaharibiwa bila kuona serikali ikikazia matumizi mbadala ya nyanzo za nishati, haki mahakamani hakuna, migogoro ya ardhi inazidi kuongezeka kila siku etc etc. We dont need to hear what a deceased man did in his ruling. Hizo history tuwaachie wajukuu wetu watakuja kuzisoma badae.
I am very disappointed na JM, mbaya zaidi anaongea haya mbele ya Mh Rais. Kule Dodoma aliongea baba yake maneno mabovu kabisa, leo anaongea yeye tena. This is absurd.
Kama kichwa kinavyojieleza. In Tanzania currently, sio ruling party wala watu wa opposition parties, wote hao wanatafuta political mileages kupitia kumuongelea MZ. Ni kwamba sera za kuongelea na hoja za kisiasa zimeisha au ndo mvuto wa kisiasa wa hao wagombea wenu hakuna kabisa?
Its very absurd, stupid and unbelievable kwamba our foreign minister anaenda nje ya nchi kwa kodi zetu kuongelea a deceased individual badala ya kuuza sera zetu za kimataifa. You cant convice me kabisa kwamba huyo mtu ana akili timamu. That's very stupid.
Me nadhani, kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani, wanasiasa wajue kwamba, we need to hear them addressing matatizo yaliyopo kwenye localities zetu, Umeme wa shida, sukari hakuna, dollar hazipo, maji hayatoki, hoja za CAG are not tended at all, mazingira yetu yanaharibiwa bila kuona serikali ikikazia matumizi mbadala ya nyanzo za nishati, haki mahakamani hakuna, migogoro ya ardhi inazidi kuongezeka kila siku etc etc. We dont need to hear what a deceased man did in his ruling. Hizo history tuwaachie wajukuu wetu watakuja kuzisoma badae.
I am very disappointed na JM, mbaya zaidi anaongea haya mbele ya Mh Rais. Kule Dodoma aliongea baba yake maneno mabovu kabisa, leo anaongea yeye tena. This is absurd.