johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Mwanazuoni Richard Mabala awataka TBC wamwombe radhi Katibu mkuu wa UWT kwa kupotosha kile alichosema
Mabala amesema baada ya kumsikiliza Jokate amegundua TBC wamemzushia kuhusu kuwabagua Wanaume kwahiyo wamuombe radhi
Mabala amesema kilichofanywa na TBC ni kuendekeza Mfumo Dume
Naye Wakili Fatma Karume amemtaka Jokate kutoegemea Jinsia na kuhoji iwapo 2030 mgombea uRais wa JMT atakuwa mwanamme, atasemaje?
Mjadala unaendelea huko X
Pia soma > Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume
Leo ni Njia ya Msalaba
Mabala amesema baada ya kumsikiliza Jokate amegundua TBC wamemzushia kuhusu kuwabagua Wanaume kwahiyo wamuombe radhi
Mabala amesema kilichofanywa na TBC ni kuendekeza Mfumo Dume
Naye Wakili Fatma Karume amemtaka Jokate kutoegemea Jinsia na kuhoji iwapo 2030 mgombea uRais wa JMT atakuwa mwanamme, atasemaje?
Mjadala unaendelea huko X
Pia soma > Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume
Leo ni Njia ya Msalaba