Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,033
Nadhani ili twende sambamba kwa wale wanachama wa CCM wanaohoji uhalali wa Mh. Mbowe kuendelea kuwa madarakani ni vema kwanza suala hili wakawaachia CHADEMA wenyewe kwa sababu ndio waliomweka uongozini ni ndio wenye uwezo wa kumtoa madarakani.
Nadhani hawa CCM kama kweli wanauthubutu wa kuhoji nataka wahoji "Kwa nini CCM mpaka leo ina miaka 62 madarakani bado haijakamilisha nini?”
Yangepatikana majibu hayo naamini hao wangejua pia kwanini Mh. Mbowe yupo madarakani kwa ajili ya kukamilisha nini. Wanachama wa CCM Kamanda Mbowe yupo uongozini kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA na sio ya CCM.
Hvyo ni vema wakaachwa waendeshe masuala yao kwa mujibu wa Katiba yao kuwaingilia ni aina fulani ya ujinga mkubwa.
Nadhani hawa CCM kama kweli wanauthubutu wa kuhoji nataka wahoji "Kwa nini CCM mpaka leo ina miaka 62 madarakani bado haijakamilisha nini?”
Yangepatikana majibu hayo naamini hao wangejua pia kwanini Mh. Mbowe yupo madarakani kwa ajili ya kukamilisha nini. Wanachama wa CCM Kamanda Mbowe yupo uongozini kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA na sio ya CCM.
Hvyo ni vema wakaachwa waendeshe masuala yao kwa mujibu wa Katiba yao kuwaingilia ni aina fulani ya ujinga mkubwa.