Pengine inaweza chukuliwa ni kejeli lakini ukweli ni kwamba ni CCM pekee ambayo ni Taasisi Imara, sio kwa sababu wameunda Serikali lakini namna wanvyotengeneza safu za uongozi.
1. CCM ndio Chama...
Kundi hilo dogo limekuwa mwiba mkubwa kwa nchi yetu kitu pekee wanachojuwa NI WIZI na kuunda mikataba mibovu ambayo inanufaisha wao na familia zao, nasema hayo kwa sababu kundi Hilo linajiita...
1. Nani aliyewajibishwa na ile ripoti ya CAG 2022/2023?
Hii ni kero kubwa sana kwangu, kwa sababu haiwezekani kuwepo na ofsi ya mkaguzi wa mahesabu ya serikali, anayelipwa...
Nje ya CHADEMA, Zitto Kabwe hajawahi kufanya maajabu yoyote, hata Bungeni hajafanikiwa kupeleka Mbunge yoyote ukiondoa wale Wapemba ambao hata wangekuwa Chauma wangeshinda huko Pemba.
Ila akiwa...
Nitoe salamu za pole Kwa wote walioguswa na msiba wa Mzee Wetu Hayati Mwinyi Maarufu kama Mzee ruksa mtu wa watu kisima Cha hekima.
Mada : Akitoa salamu mh. Rais Samia amenukuliwa akisema...
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa anastahili pongezi kwa kutafsiri kwa vitendo maelekezo ya Ibara ya 74 ilani ya uchaguzi ya CCM ya maaka 2020 - 2025 inayosimamiwa na...
Mjukuu wa baba wa Taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema Walikuwa na Haki ya kulalamikia Urais wa Mzee Mwinyi kwa sababu Katiba ya Nchi ya Zanzibar inasema Rais lazima awe Mzawa
Lakini hawana...
Kwanza tuanze na takwimu za kijiografia.
Rwanda ni ndogo kuliko mko wa Tabora. Rwanda ina ukubwa wa Kilomita za mraba elfu 26, Tabora ina ukubwa wa mraba kilomita elfu 29.
Rwanda ina watu...
Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.
Serikali ambayo...
Mwenyekiti wa Chama cha ACT – Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu kama Babu Duni amejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha uenyekiti ACT – Wazalendo na kumuunga mkono makamu wake, Othman Masoud Othman...
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa...
Mwigulu, katika hotuba ya Bajeti kuu ya serikali, ukurasa wa 44, ulisema serikali imeanza mchakato wa kutafuta mkandarasi wa kujenga kipande cha SGR (Tabora-Kigoma) 514km kwa US$2.1 bilioni...
Kitendo kilichofanyika 2019 na 2020 kilinifanya Mimi niione CHADEMA kama chama chenye viongozi matapeli wa kisiasa.
Ni kikundi cha upigaji tu chenye kuangalia maslahi ya viongozi kwanza kisha...
Ndugu zangu ikumbukwe kuwa taarifa ya CAG iliibua madudu makubwa serikalini hadi kupelekea mbunge wa kisesa luhaga mpina kufikia kuwataja hadharani mawaziri wanaohusika katika wizara zao pamoja na...
Ni Emmanuel Ole Shangai na Joseph Ole Shangai.
Wamasai wamkataa Mbunge wa Ngorongoro Emmanuel Ole Shangai kutaka kujiapisha kuwa Leigwanan.
Bonyeza link chini kusikiliza
SAUTI ZA WAMAASAI...
Leo hii kumekuwa na mgomo mkubwa wa wafanyabiashara wa maduka Iringa. Sababu iliyopelekea kuwa na mgomo mkubwa, ni maamuzi ya kijinga sana ya Mkuu wetu wa Mkoa kutaka kila duka livunjwe vibaraza...
Ujio wa Othman Masoud kwenye Uongozi wa ACT Wazalendo na kuimarika kwa Chadema upande wa Tanganyika kutabadili kabisa mwelekeo wa Siasa nchini.
Japokuwa Masoud hatakuwa KC lakini kutokuwepo Zitto...
Ningependa kujua kama kuna nchi nyingine ambayo inawajengea/inawapa nyumba viongozi wake wakuu wakitoka madarakani?
Na inawapa magari mapya ambayo kila baada ya miaka mitano wanapewa mengine...
Juzi tumetangaziwa na Waziri kwamba Megawatt 235 tayari zimeingizwa kwa grid ya Taifa, sasa mbona umeme ndiyo unazidi kukatika?
Naomba ufafanizi wa kina na wa kiufundi tatizo lipo wapi? yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.