Kama tungekuwa tumewachagua kihalali kabisa maana yake kila Mwananchi angekuwa yumo bungeni hivyo Bunge la JMT lingejigeuza kuwa Bunge la Katiba na kutuandikia Katiba mpya
Ila ndio kama...
Hakuna namna nzuri ninayoweza kueleza mapokezi ya Tundu Lissu Mjini Bunda , itoshe tu kusema haya ni mapokezi ya kifalme , watu ni wengi kuliko maneno yangu .
Hakika kwa Chadema ni dhahiri sasa...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ametegua kitendawili cha nini kilimpata baada ya kukamatwa Septemba 10, 2023 huku Polisi wakimtaka kuripoti baada ya...
Mfumo wa Demokrasia unahitaji wananchi kushirikishwa katika maamuzi ya nchi yao kwa kuchagua viongozi na kutoa maoni yao kuhusu sera na sheria.
Ushiriki wa wananchi sio tu msingi wa mfumo huu...
Wananchi wa kata mbili za Sinoni na Lemara wameshikwa na mchangao wa aina yake baada ya halmashauri ya jiji la Arusha kurudisha pesa walizokuwa wametoa kwa ajili ya ujenzi wa madaraja mawili...
Polisi Wilayani Chunya wamezuia magari yote toka Chunya Makongolosi na yote toka vijijini KUSUBIRI MWENGE upite toka saa10 mpaka saa 5 hii.
Mwenge haujulikani uko wapi na utapita saa ngapi...
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hussein Mwinyi anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Siku ya Mwisho ya Mkutano Maalum wa wa Siku 3 wa Vyama vya Siasa na Wadau ambapo wamejadili...
Maisha bora kwa kila mtanzania ilikuwa 2005 hadi 2015.
Tulidanganywa hivyo kipindi hicho, tukadanganyika kwa miaka 10, baada ya hapo jomba akasepa akiwa na kitita cha kutosha kumpa maisha bora...
HATUWEZI KWENDA UCHAGUZI WA 2024 NA 2025 BILA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI
Watawala wamekuja na mbinu ya medani wengi hawaijui katiba iliyopo, vyama vya siasa siyo wamiliki wa Katiba na...
Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.
Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii...
Kwa kuzingatia kichwa cha uzi.
- Kama kweli serikali ya Tanzania ina nia ya kutoa elimu ya katiba na kufanya Watanzania karibia wote wa nchi hii kuijua katiba yao vizuri.
Serikali haina budi...
Baada ya kumtafakari sana Mheshimiwa Tundu Lissu imebidi nikiri kutoka sakafu ya moyo wangu huyu atatusaidia sana kwenye kuainisha matatizo yaliko lakini hana majibu yake na haya ni mapungufu...
Hata Shujaa Magufuli ametuachia Maendeleo makubwa sana lakini sina uhakika kama aliyafanikisha kupitia Katiba au ubunifu Binafsi ikiwemo Plea bargain
Swali: Katiba ya Maendeleo ipo Ilani za nini...
Amjambo?
Nimekua nikifuatilia hali ya kisiasa nimekuja na kitu,siku zote mapinduzi ya kisiasa ufanywa na watu wenye pesa usitegemee common mwananchi kusimamia jukumu ili kwa sababu mbili,kwanza...
Shirika la Reli Tanzania - TRC imefanya hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi mpya ya wakurugenzi iliyoongozwa na mgeni rasmi Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa iliyofanyika katika jengo la...
Ili kutafuta huruma kwenye jamii , Wapinzani wameanza kutafutiana ajali za kiafya na kisiasa ili wasingizie Serikali.
Alianza Dkt Nshala kusema anatafutwa ili auawe eti kwa sababu anapinga DP...
Amani ya Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo iwe nanyi.
Leo naomba kuwauliza wale wapotoshaji na wazandiki fc! Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa sijui Bandari zote kapewa mwarabu zimeishia wapi...
Kumpeleka Ndugu yetu Biteko pale Nishati na kumwondoa Makamba kipindi ambacho Makamba amevurunda siyo picha nzuri kwa mwanetu huyu.
Sisi watu wa kanda ya ziwa tunazungumza na miungu yetu mvua...
Sina Mengi nakuulizeni enyi Wana CCM Mwalimu aliwakosea nini?ebu msomeni hapo chini,alafu mjiulize MTU kama Jerry Silaa waziri kijana kabisa anakiukaje mambo mazito ya Mwalimu Nyerere?
Ajitokeze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.