Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Msanii Steve Nyerere amefanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu kwa kipindi cha miaka mitatu na kumpongeza kwa kufanya mambo makubwa ikiwemo kuondoa tatizo la upatikanaji wa umeme, kuleta...
2 Reactions
51 Replies
3K Views
Katibu mkuu wa zamani wa CHADEMA Dkt. Slaa amesema hana Mpango wa kurejea CHADEMA na Kwamba ataendelea kufanya siasa kama Mtu Huru Dkt. Slaa amesema hajaacha Mayai Chadema Ramadan Kareem 😄...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Mazungumzo ya Wanasiasa wakongwe na Chipukizi yanafanyika UDSM, leo Jumatatu Machi 11, 2024. https://www.youtube.com/watch?v=0bf-4hr44BI Majadiliano Rika (Intergenerational Dialogues) ndani ya...
7 Reactions
19 Replies
4K Views
Nikifikiri Taifa lilivyo na issues complex kwa huu utawala wa sasa TCD wanakuja na dialogue ya kuwabebea ma bag mabwanyenye ili kupata uongozi ndani ya nchi ni dhahri kuwa tuna jamii iliyokuwa na...
0 Reactions
4 Replies
574 Views
Toka kampeni ya kumchangia Rais Samia pesa za kuchukua fomu makundi mbalimbali yameendelea kujitokeza kumchangia. Hivi toka walipoanza wakuu wa shule mpaka sasa PM naye kaenda kuchangisha wanawake...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari wadau. Nimekuwa nikitafakari utendaji wa rais wa tz .kila siku ni kufanya uteuzi kwa masirahi ya nani??Unakuta mtu amekaa kituo cha kazi miezi 4 Alafu anahamishwa kwenda kituo kingine je...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Joseph Mbilinyi aka Sugu alikuwa EFM Leo Lema ilikuwa awe Clouds TV lakini akapatwa na dharura Kesho John Heche atakuwa yuko Power Breakfast Clouds FM Je, ni Matunda ya Maridhiano au ni Swaga...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Jana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais. Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda...
40 Reactions
69 Replies
4K Views
Mara kadhaa nimeandika kuilalamikia hii Taasisi. Hii Taasisi kwa sehemu kubwa imeonesha kutoweza fanya kazi yake ya msingi ambayo kulinda maslahi ya Tanzania. Muundo wa TISS hauna malengo mapana...
10 Reactions
42 Replies
4K Views
Magheto na uharibifu wa mji wa Dar ulianzishwa na Rais wa awamu ya pili Ali Mwinyi. Rais Mwinyi ndiye aliyeruhusu fukwe zetu kuvamiwa kwa kuruhusu hoteli kujengwa beach kinyume na sheria zetu za...
9 Reactions
15 Replies
1K Views
Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya? Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na...
9 Reactions
140 Replies
7K Views
Kulipa kodi ni kigezo muhimu cha kupima uzalendo wa mtu kwa nchi yake kuhakikisha inapata mapato ya kujiendesha Asiyelipa kodi ya mapato sio mzalendo hatakiwi kugombea ubunge wala cheo chochote...
1 Reactions
6 Replies
546 Views
Hivi mnataka tuamini kuwa Uchaguzi Tanzania miaka yote ulikuwa unafanyika vizuri, kwa Amani, na bila makadokado ya Chama tawala na wapambe wake? Kwamba kufika 2020 mambo yakaharibika? Yaani...
65 Reactions
267 Replies
11K Views
Dhahiri shahiri bila kupepesa macho nanyoosha malalamiko yangu Ofisi ya halmashauri Njombe mjini Kuwa Cheo ni Dhamana sio sifa na lawama hizi ziende moja kwa moja kwenye kitengo cha NIDA, Mjue...
0 Reactions
0 Replies
464 Views
Huyu hapa ni miongoni mwa Wasimamizi wa Uchaguzi wa Tanzania , sasa hata kama wewe ni kipofu wa Ubongo unadhani huyu anaweza kutenda haki yoyote ? Ndio maana Chadema na Wapenda haki wengine...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Hii mikutano kama ya Kituo cha demokrasia Tanzania(TCD), ya vyama vya siasa, sijui ya kamati za amani na maridhiano ni upotezaji muda tu, ni matumizi mabaya ya rasilimali fedha na muda na pia ni...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar Albert Chalamila amesema ameshangazwa na watu ambao wameamua Kupeleka kesi Mahakamani kupinga Kuvunjiwa nyumba zao na TanRoads ambao wanataka kujenga Barabara ya...
9 Reactions
46 Replies
4K Views
Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa. Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo...
4 Reactions
49 Replies
4K Views
Kutoka kitabu Cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi. :::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::: Mauaji ya Sheikh Abeid Karume. (Misheni ya Tatu) Baada ya kuona namna...
10 Reactions
47 Replies
12K Views
Kila siku utasikia,"Rais kajenga barabara hapa:Rais katujengea zahanati." Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu. Kwa ajili Uchaguzi...
17 Reactions
75 Replies
3K Views
Back
Top Bottom