"TUENDELEE kumuunga mkono Mwenyekiti wetu wa CCM na Rais Dkt. Samia katika kuongoza nchi yetu, amekuwa mfano kwa kuwezesha wanawake kisiasa, kiuchumi na alipewa nchi katika kipindi kigumu lakini alionesha ujasiri na uwezo wa uongozi mkubwa na kupita kwenye mapito tukiwa wamoja na kupelekea kuwa salama."
"Bila Mama yetu Rais Samia kuwa na falsafa ya 4R basi kuna watu wasingekuwa hata na jeuri ya kuandamana huko barabarani wanaipata jeuri hiyo kutoakana na ustahimilivu wa Mama yetu, Rais Samia anajiamin ndio maana chokochoko zao na maneno yao hayamsumbui na jeuri inakuja sababu wanawake wote manamuunga mkono pamoja na Wanaume wote nchini"
"Tunaomba sana wanawake wote tuendelee kumuunga mkono Rais Samia, Viongozi wa Chama na UWT tuendelee kusema kazi njema ambayo Rais Samia anainfanya kwaajili ya watanzania,tusichoke kuwasikiliza, kuwaelemisha na kuwaonesha Wananchi kazi kubwa inayofanywa na Rais wetu nasi UWT tunaendelea kuwasisitiza wanawake kumuunga mkono wakati wote.
Ndugu. Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu wa UWT - Taifa
📍Lumumba - DSM
🗓️ 7 Machi, 2024
Pia soma:
"Bila Mama yetu Rais Samia kuwa na falsafa ya 4R basi kuna watu wasingekuwa hata na jeuri ya kuandamana huko barabarani wanaipata jeuri hiyo kutoakana na ustahimilivu wa Mama yetu, Rais Samia anajiamin ndio maana chokochoko zao na maneno yao hayamsumbui na jeuri inakuja sababu wanawake wote manamuunga mkono pamoja na Wanaume wote nchini"
"Tunaomba sana wanawake wote tuendelee kumuunga mkono Rais Samia, Viongozi wa Chama na UWT tuendelee kusema kazi njema ambayo Rais Samia anainfanya kwaajili ya watanzania,tusichoke kuwasikiliza, kuwaelemisha na kuwaonesha Wananchi kazi kubwa inayofanywa na Rais wetu nasi UWT tunaendelea kuwasisitiza wanawake kumuunga mkono wakati wote.
Ndugu. Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu wa UWT - Taifa
📍Lumumba - DSM
🗓️ 7 Machi, 2024