Pamoja na kuondokewa na mwenyekiti wetu kwa ajaLi yenye utata, sisi tulio baki tutaendeleza harakati za Rev Mtikila pamoja na itikadi yake ya uwepo wa taifa la Tanganyika.
Tunaamini ndio njia...
Akiongea kwenye kikao cha wadau wa masuala ya siasa nchini.
Amesema kuwa hoja za serikali za kutaka watanzania wapewe elimu kwanza ndo tuanze kujadili habari za katiba ni chenga ya kutotaka...
Habari wana jamvi wa JF,
Sisi kama binadamu, tumeumbwa kufuata miongozo.
Miongozo hiyo imo katika vitabu vitakatifu kama vile Biblia na Msahafu kwa upande wa dini na Katiba kwa upande wa...
Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa...
Yes, kama kichwa cha uzi kinavyosema" Chama cha siasa kisicho tofautiana mitazamo baina ya wanachama ni chama kilicho kufa".
Chama chochote cha siasa hapa duniani ambacho wanachama wake wote...
Rais aliruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ili vikatangaze sera za vyama vyao kwa wananchi ili kuwavutia kuwaunga mkono kwenye harakati za kushika dola kwenye chaguzi zijazo.
Chama cha...
Kauli ya Rais kuhusiana na umuhimu wa katiba, imethibitisha yafuatayo:
1) Rais wetu hajui maana wala kuelewa uzito wa Katiba ya Nchi
2) Rais wetu haelewi kuwa kinachowekwa kwenye kitabu...
Ni wazi kuwa CCM haitaki katiba mpya. Magufuli alipoingia madarakani alisema katiba sio kipaumbele cha CCM. Rais SSMIA kaja na kikosi kazi na kutoa elimu ya katiba kwa wananchi kwa miaka 3, muda...
Kuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni
Makamu Mwenyekiti...
Demokrasia ni utekelezaji wa demokrasia kwa kutumia vifaa na teknolojia za kidijitali. Tunaweza kutofautisha kati ya ufafanuzi wa demokrasia ya kidijitali. Kwanza unazingatia kuwapa wananchi...
leo siku ya tarehe 13.09.2023 Dkt. Stephen Munga ameamka na ujumbe huo kwa taifa letu Tanzania, taifa ambalo tunaliharibu sisi wenyewe kwa mikono yetu! Tanzania nchi yangu nakupenda kwa moyo wote...
Mambo 10 kuhusu hotuba ya Rais Samia leo;
1. Ametumia muda mwingi kuzungumzia Chadema kuliko kilichompeleka kwenye mkutano. As the result Chadema imekua agenda kubwa kuliko mkutano wenyewe. Hapa...
Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA...
Hii ni ajabu sana. Hivi majuzi eti Dkt Mwigulu aliamua kuzindua ujenzi wa barabara kutoka Sepuka hadi Ndago ili kuunganisha na Kizaga - pale junction ya barabara Kuu iendayo Magaharibi - Tabora na...
Tukiwa na watu wenye mtazamo huu tulionao wa uzembe, kusukumwa na uvivu basi tusitegemee mabadiliko yoyote chanya kwa kubadili katiba maana watekelezaji wakubwa wa katiba ni watu.
Kwa mfano...
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Kampuni ya Mobi Lottol Tanzania Ltd inayojishughulisha na michezo na michezo ya...
Mbunge wa Geita vijijini Dkt. Joseph Kasheku(Musukuma) amesema ni Haki ya Wamasai kuishi Ngorongoro kwani wamekuwepo hapo miaka yote na hakuna athari zozote walizosababisha
Kuwaondoa Wamasai...
Akizungumza na Clouds Media, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo, Abdul Nondo amesema wao kama chama hawakubaliani na sheria TAMISEMI kuendelea kusimamia uchaguzi Serikali za Mitaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.