Zitto Kabwe kwanini anakwepa kuchambua uzembe, ubadhirifu na upigaji mkubwa uliofanywa kwenye Wizara ya Nishati, Wizara ya Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji.
Ripoti ya CAG imeibua...
Waziri wa Kilimo mh Bashe amesema kwa msimu wa 2022/23 uzalishaji wa mahindi ulikuwa Tani million 8.1 na mahitaji ya ndani hayazidi Tani million 6
Business partners wetu kwa mahindi ni Kenya...
Umofia kwenu wakuu.
Juzi kati kuna uhamisho mkubwa sana umefanyika kwa hasa wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halimashauri na pia kwa wakuu wa Mikoa.
Kama mjuavyo report ya CAG iko ukingoni na...
Huwa najiuliza sana kuhusu nini hasa kimesababisha neno Mapinduzi kutamalaki bara na visiwani.Historia ya bara hakuna tukio lolote la kisiasa lililohusisha Mapinduzi tangu wakati wa TAA,TANU na...
Waziri wa TAMISEMI huyu mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru akishirikiana na personal secretary(PS) wake wanawanyanyasa sana watumishi hasa walimu.
Huyu PS anaficha barua ya mtumishi...
Thomas Nkola maarufu kama Mkulima afungua kesi 5 ambazo zimesikilizwa jana tar 29/5/2023 katika mahakam ya hakimu Mkazi Kisutu, dhidi ya viongozi mbalimbali ikiwemo Mwigulu, Mkurugenzi PCCB...
Kipenga cha UCHAGUZI MKUU kitakuwa kimepulizwa kimya kimya dalili za kuchukuliana FOMU tumeziona.
TAHADHALI kwa VIJANA wataka UBUNGE
Kuna aina 2 za wataka Ubunge ambao watawatesa Vijana Wasomi...
Na Mwl Udadis, Nyamagana
Kitendo cha serikali chini ya uongozi wa Rais Samia kutenga kiasi cha zaidi ya bilioni 11 kwa ajili ya kuboresha mazingira ya wavuvi moja kwa moja ni kitu cha kihistoria...
Wakuu kwema?
Ndio nimeingia sasa kutoka safari mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania.
Nilivyofika pale mto Wami imebidi nishuke kwenye gari na kupiga magoti chini kumshukuru Mungu kwa maisha ya Rais...
Mnatuaminisha kuwa anaupiga mwingi, anakubalika sana na ameleta maendeleo na hali bora ya maisha.
Lakini mbona wakubwa wenu wanatumia nguvu kubwa kuwashawishi wananchi kwa makongamano, makicheni...
Mti wenye Matunda ndio hutupiwa mawe
Walioalikwa ni wengi lakini wateule wachache
Wewe ndiwe Petro na Juu ya Mwamba huu nitalijenga Kanisa langu
Ramadan Kareem 😄🔥
Tatizo kubwa makamanda wenzangu huwa wanawaza pesa tu.
Mahesabu sasa ni kurudi mjengoni. Kisa tu ukiwa mbunge kuna pesa lukuki za bure.
Badala ya kuwekeza kwa kuanza kujenga imani kwa wanannchi...
Nabii wa Mungu , ambaye pia ndio mbunge ajaye wa Arusha Mjini , Godbless Lema atakuwepo Clouds FM kwenye kile kipindi chao kinachoitwa Power Breakfast .
Nabii Lema ambaye hakuna unabii wake ambao...
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri ardhini(LATRA), imefanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi na daradara siku chache zilizopita, huku ikiwa ni miezi kazaa tangu wafanye hivyo, kitendo kinacho onesha ni...
Suala la ukosefu wa ajira Tanzania ni matokeo ya kazi nzuri iliyofanywa na chama cha mapinduzi ya kuboresha elimu ili vijana wengi wapate elimu” FAKII LULANDALA – KATIBU MKUU UVCCM TAIFA.
Kuhusu...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika wana Mbeya hawakukosea wala kufanya makosa katika kumpa kura za ndio Mheshimiwa spika na Rais wa IPU na msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu...
Anaandika Sam Ruhuza kukosoa mfumo wa Teuzi kuwatenga Wananchi wa Wilaya ya Ngara.
Ndugu zangu Wanangara!
Nimetafakari sana hizi teuzi serikalini, kuna sehemu sizielewi, mnisaidie!
Ngara...
Nawasalimu Kwa Jina la mwenyezimungu mwingi wa kusamehe, najaribu kutafakali kuhusu tabia za watanzania najaribu kulinganisha na mataifa mengi ya wazungu au wachina au wajapani kuhusu uzalendo...
Ni kweli suala la mchakato wa ujenzi wa jengo la abiria uwanja wa ndege Mwanza limechukua muda mrefu na sasa wananchi waliahidiwa Mwezi February 2024 mkataba ungesainiwa hapahapa Mwanza. Tuliamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.