Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Pamoja na kuondokewa na mwenyekiti wetu kwa ajaLi yenye utata, sisi tulio baki tutaendeleza harakati za Rev Mtikila pamoja na itikadi yake ya uwepo wa taifa la Tanganyika. Tunaamini ndio njia...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Akiongea kwenye kikao cha wadau wa masuala ya siasa nchini. Amesema kuwa hoja za serikali za kutaka watanzania wapewe elimu kwanza ndo tuanze kujadili habari za katiba ni chenga ya kutotaka...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wana jamvi wa JF, Sisi kama binadamu, tumeumbwa kufuata miongozo. Miongozo hiyo imo katika vitabu vitakatifu kama vile Biblia na Msahafu kwa upande wa dini na Katiba kwa upande wa...
0 Reactions
3 Replies
883 Views
Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa...
21 Reactions
104 Replies
10K Views
Yes, kama kichwa cha uzi kinavyosema" Chama cha siasa kisicho tofautiana mitazamo baina ya wanachama ni chama kilicho kufa". Chama chochote cha siasa hapa duniani ambacho wanachama wake wote...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Hali hii ni tete: Kwa mwendo huu endeleeni kukaza ubongo.
10 Reactions
40 Replies
3K Views
Rais aliruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ili vikatangaze sera za vyama vyao kwa wananchi ili kuwavutia kuwaunga mkono kwenye harakati za kushika dola kwenye chaguzi zijazo. Chama cha...
2 Reactions
65 Replies
5K Views
Kauli ya Rais kuhusiana na umuhimu wa katiba, imethibitisha yafuatayo: 1) Rais wetu hajui maana wala kuelewa uzito wa Katiba ya Nchi 2) Rais wetu haelewi kuwa kinachowekwa kwenye kitabu...
30 Reactions
82 Replies
7K Views
Ni wazi kuwa CCM haitaki katiba mpya. Magufuli alipoingia madarakani alisema katiba sio kipaumbele cha CCM. Rais SSMIA kaja na kikosi kazi na kutoa elimu ya katiba kwa wananchi kwa miaka 3, muda...
2 Reactions
13 Replies
731 Views
Kuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu. Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani. UPDATE: Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni Makamu Mwenyekiti...
47 Reactions
447 Replies
39K Views
Demokrasia ni utekelezaji wa demokrasia kwa kutumia vifaa na teknolojia za kidijitali. Tunaweza kutofautisha kati ya ufafanuzi wa demokrasia ya kidijitali. Kwanza unazingatia kuwapa wananchi...
1 Reactions
1 Replies
508 Views
leo siku ya tarehe 13.09.2023 Dkt. Stephen Munga ameamka na ujumbe huo kwa taifa letu Tanzania, taifa ambalo tunaliharibu sisi wenyewe kwa mikono yetu! Tanzania nchi yangu nakupenda kwa moyo wote...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo 10 kuhusu hotuba ya Rais Samia leo; 1. Ametumia muda mwingi kuzungumzia Chadema kuliko kilichompeleka kwenye mkutano. As the result Chadema imekua agenda kubwa kuliko mkutano wenyewe. Hapa...
6 Reactions
14 Replies
4K Views
Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA...
32 Reactions
109 Replies
10K Views
Hii ni ajabu sana. Hivi majuzi eti Dkt Mwigulu aliamua kuzindua ujenzi wa barabara kutoka Sepuka hadi Ndago ili kuunganisha na Kizaga - pale junction ya barabara Kuu iendayo Magaharibi - Tabora na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Tukiwa na watu wenye mtazamo huu tulionao wa uzembe, kusukumwa na uvivu basi tusitegemee mabadiliko yoyote chanya kwa kubadili katiba maana watekelezaji wakubwa wa katiba ni watu. Kwa mfano...
0 Reactions
9 Replies
931 Views
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Kampuni ya Mobi Lottol Tanzania Ltd inayojishughulisha na michezo na michezo ya...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Mbunge wa Geita vijijini Dkt. Joseph Kasheku(Musukuma) amesema ni Haki ya Wamasai kuishi Ngorongoro kwani wamekuwepo hapo miaka yote na hakuna athari zozote walizosababisha Kuwaondoa Wamasai...
7 Reactions
40 Replies
4K Views
Akizungumza na Clouds Media, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo, Abdul Nondo amesema wao kama chama hawakubaliani na sheria TAMISEMI kuendelea kusimamia uchaguzi Serikali za Mitaa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom