Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,903
- 945
Komredi Shemsa Mohamed: Heri ya Siku ya Wanawake Duniani, 08 Machi, 2024
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Ndugu Shemsa Mohamed ametoa salama za kuwatakia Wanawake wote Watumishi nchini Heri katika kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani.
"Nawapongeza Watumishi wote wa Umma Wanawake Tanzania kwa Kuendelea Kutimiza Majukumu yao ipasavyo na Kuchangia kwa kiasi kikubwa mchakato wa Maendeleo nchini" - Ndugu Shemsa Mohamed, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu
KAULI MBIU: Wekeza kwa Wanawake Kuharakisha Maendeleo ya Taifa na Ustawi wa Jamii