Rais wa awamu ya tatu, Rais Msomi kuliko Rais yeyote nchini, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, alichemsha kwa Tundu Lissu, akabambikiwa kesi nyingi sana, akazipangua zote. Sababu ilikuwa Tundu...
Baada ya kauli ya aliyekuwa waziri wa Katiba, Dkt Ndumbalo kusema kuwa watatoa elimu ya Katiba Kwa miaka 3, nilidhani kuwa huo ulikuwa ni mtazamo wake na siyo wa chama chake.
Hata kuondolewa...
Na mwingine kaumbwa hivyo roho yake basi tu, raha zake aone ugomvi mabishano hivyo, na huyo amua leo mwambie mimi nakupa serikali na wenzio hao, ataunda chama chengine awapinge wale wenzie...
Haya maneno alishasema Balozi Polepole kwenye Shule ya Uongozi
Hivyo miaka 3 ya Elimu mwa Umma, miaka 2 ya mchakato va kukusanya maoni ya Wananchi na mwaka 1 wa Bunge la Katiba basi tutegemee...
CHADEMA wanasema Rais jana kawananga wao lakini ukweli ni kwamba CHADEMA ndio chama ambacho Rais Samia amekipa upendeleo sana.
CHADEMA walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi, walikuwa na...
Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhandisi Zena A. Said amesema kuwa APRM Tanzania ni chombo muhimu sana kukitumia kwa wananchi lakini pia...
Waliomwambia JPM kuwa Katiba haileti maendeleo, huenda ni haohao wanaomwambia Samia kuwa Katiba inaweza kuwepo na isifuatwe. Ni aibu kwa viongozi wa CCM walioapa kwa Katiba kutamka maneno haya...
Maridhiano yalitaka kuwatoa kwenye reli ila kwa sasa naona mmerudi kwenye mstari wenu ulionyooka, tunaiona Chadema tuliyoizoea.
Hotuba ya jana imedhihirisha hilo, ni hotuba iliyojaa hofu...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amezindua Bodi ya Hakimiliki Tanzania (COSOSTA) na Bodi ya Bodi ya Filamu Tanzania na kuwataka Wajumbe wa Bodi hizo kuhakikisha sekta...
Wadau habarini
(1). aridhiano yanaendelea, Rais Samia ni mwelewa na msikivu huo ndio ukweli.
Tume huru ya uchaguzi itapatikana kabla ya 2025 na upinzani tutapata wabunge wengi na madiwani wengi...
Inaonekana CCM haijui kuwa SIASA ni Mfululizo Wa MATUKIO ya KILA SIKU.
Huwezi kusema Eti VYAMA vya UPINZANI leo vinapozungumzia KATIBA MPYA kesho BANDARI na Kesho kutwa UFISADI ni KOSA Vyama vya...
Ufanisi huu umetokana na kukamilika Kwa Maboresho yaliyogharimu mabilioni ya Shilingi.
Aidha Bandari ya Mtwara imeanza kupokea Shehena ya mafuta yanayotumika Mikoa ya Kusini mwa Nchi.
---
Mamlaka...
Bila matukio hakuna Siasa na huo ndio ukweli mchungu
Ndio sababu Viongozi wengi wa Afrika huteua Mawaziri wa habari wenye akili za wastani Ili wawatumie kuficha habari na kupunguza matukio kwenye...
Kuna Gari jipya limeingia kwenye msafara kwenye Barabara maarufu ya
"DipuWolidi" iliyotengenezwa hivi karibuni na familia ya "Sero-Kali."
Tatizo hasa ni Mwanga wa "Full Light" unaotolewa na hili...
Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema.
Je naye TL mikito yake si mnaijua?
Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti...
Tasnia mbili bado zipo nyuma na madhara ya hatua za taratibu za kusogea kwa maendeleo ya tasnia hizo yanaonekana dhahiri kabisa.
Tasnia ya polisi na tasnia ya bahari. Polisi wetu mpaka kesho...
Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa...
Dkt Slaa kapokwa hadhi ya ubalozi
Askofu Niwemugizi alipokwa hadhi ya uraia
Askofu Zachary Kakobe akapokwa hadhi ya uraia wake
Generali Ulimwengu akapokwa hadhi ya uraia wa nchi yake
Sasa hizi...
Kuna watu wamekulia na kulelewa mazingira ambayo wamezoea kuwaona wazaxlzi wao wakiamka na kushinda kwenye bao na kupiga porojo, wakicheka wakati wote na kufurahi. Wakitoka hapo wanaenda kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.