ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,779
Rais Samia ameendelea kuibeba na kuipeperusha ajenda ya Ukombozi wa Wanawake.
Akizungumza kwenye sherehe za kiximkazi Day amezitaka taasisi zote za Umma kuhakikisha wanawake wapewa nafasi za maamuzi na kusikilizwa.
My Take
Wanawake msipoungana na Rais Samia kujikomboa awamu hii ambayo Rais ni Mwanamke basi hamtakuja kupata fursa tena.
Mama Ruto anawapa ujumbe wenu hapa 👇
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1768548893044707743?t=Zx-pXC0koZ6OwB1pXq_qHw&s=19
Akizungumza kwenye sherehe za kiximkazi Day amezitaka taasisi zote za Umma kuhakikisha wanawake wapewa nafasi za maamuzi na kusikilizwa.
My Take
Wanawake msipoungana na Rais Samia kujikomboa awamu hii ambayo Rais ni Mwanamke basi hamtakuja kupata fursa tena.
Mama Ruto anawapa ujumbe wenu hapa 👇
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1768548893044707743?t=Zx-pXC0koZ6OwB1pXq_qHw&s=19