ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,060
- 49,744
KUELEKEA miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan madarakani, akiwa mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo wa juu hapa nchini, mkazi wa Dar es Salaam, Lucas Emmanuel amesema kuna haja akaandaliwa mwanamke mwingine, ili atakapomaliza muda wake Rais Samia nchi iendelee kuongozwa na mwanamke.
My Take
Naunga mkono hoja,Dk.Tulia Ackson Atatufaa baada ya Dk.Samia kuondoka Madarakani 2030.
Wanawake wameshaona mfano Kwa Samia wajitoeze Haina haja tena ya mbeleko.
My Take
Naunga mkono hoja,Dk.Tulia Ackson Atatufaa baada ya Dk.Samia kuondoka Madarakani 2030.
Wanawake wameshaona mfano Kwa Samia wajitoeze Haina haja tena ya mbeleko.