Wengi wanakimbilia ACT Wazalendo kwa sababu ni chama huru baada ya Zitto Kabwe kustaafu. Mwabukusi na Mbatia watajwa kuhamia!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,039
Kama alivyosema Ismael Jussa kwamba mabadiliko kamili nchini Tanzania yataanzia Zanzibar kupitia ACT wazalendo " mpya"

Sasa nimeanza kumuelewa nawaona Watu wanagombea Kadi

Kustaafu kwa Zitto Kabwe kumewapa mtaji mkubwa ACT wazalendo

Ramadan Mubarak 😀
 
Kama alivyosema Ismael Jussa kwamba mabadiliko kamili nchini Tanzania yataanzia Zanzibar kupitia ACT wazalendo " mpya"

Sasa nimeanza kumuelewa nawaona Watu wanagombea Kadi

Kustaafu kwa Zitto Kabwe kumewapa mtaji mkubwa ACT wazalendo

Ramadan Mubarak 😀
Hata Nyerere alijifanya kujiweka kando ccm ila akawa anamnanga Mwinyi kiaina. Zito bado anazodoc za usajili za ACT kazificha Mwandiga. Subiri siku kutokee mpambano utaona rangi yake halisi
 
Back
Top Bottom