johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,990
- 142,007
Waziri wa mambo ya Nje mh January Makamba amewaambia diaspora nchini Italy Kwamba tuna kila sababu ya kumchagua tena Rais Samia katika Uchaguzi wa 2025
January amesema Rais Samia alichukua Madaraka katika Kipindi kigumu sana katikati ya msiba ambapo Watanzania walifiwa na Rais wao Kipenzi John Magufuli
Lakini pamoja na Mazingira yale magumu sana Rais Samia ameweza kutuongoza vema na tunazidi kusonga mbele kimaendeleo
Mlale Unono
Ramadan Mubarak 😄
Kwako manka Erythrocyte 😂🔥
January amesema Rais Samia alichukua Madaraka katika Kipindi kigumu sana katikati ya msiba ambapo Watanzania walifiwa na Rais wao Kipenzi John Magufuli
Lakini pamoja na Mazingira yale magumu sana Rais Samia ameweza kutuongoza vema na tunazidi kusonga mbele kimaendeleo
Mlale Unono
Ramadan Mubarak 😄
Kwako manka Erythrocyte 😂🔥