Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Mkuu wa mkoa wa DAR anayesubiri barua ni Mtaka ambaye kwa sasa yupo Njombe.
Anakuja DAR kuwaondolea changamoto za Mwendokasi, mpangilio mbovu wa biashara na wafanyabishara huku akitumika kuwaweka pamoja wanasiasa wa chama tawala kwa kuondoa makundi.
Anakuja DAR kuanza kukusanya kura za makundi yote hasa ukizingatia hana skendo na anamarafiki upinzani na ndani ya chama.
Hoja kubwa ni lini mnatamani aje kuripoti kazini? Ni kipindi cha Masika au aingie kiangazi?
Anakuja DAR kuwaondolea changamoto za Mwendokasi, mpangilio mbovu wa biashara na wafanyabishara huku akitumika kuwaweka pamoja wanasiasa wa chama tawala kwa kuondoa makundi.
Anakuja DAR kuanza kukusanya kura za makundi yote hasa ukizingatia hana skendo na anamarafiki upinzani na ndani ya chama.
Hoja kubwa ni lini mnatamani aje kuripoti kazini? Ni kipindi cha Masika au aingie kiangazi?