Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

“Watanzania wanaopiga kelele mitandaoni wako asilimia 16 tu na kati ya hao, asilimia 40 wako nje, na wala hawana mpango wa kurudi nchini”. Baada ya mfalme Solomon kufariki na Rehoboam kumrithi...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua kiwanda cha uzalishaji vioo vya ujenzi cha Saphire Float Glass - Mkuranga Mkoa wa Pwani leo tarehe 20 Septemba, 2023...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninachofahamu ni kwamba kupitia Mitandao ya Kijamii ndio Wagombea Ubunge walipata hofu na kucheza michezo waliyocheza Ili Wapite bila kupigiwa kura 2025 hiyo mbereko haipo tena Niishie hapo!
4 Reactions
11 Replies
840 Views
Katika hali ya kushangaza, Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona...
9 Reactions
51 Replies
4K Views
Rais samia akiwasalimia Wananchi wa Somanga akiwa njiani kuelekea Jijini Dar es Salaam https://www.youtube.com/watch?v=3F82U8xtIb4 MBUNGE: UMEME UMEKATIKA MARA 21 NDANI YA SIKU MBILI Mbunge wa...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Kama kusema uwongo lingekuwa ni kosa, na kosa hilo adhabu yake ingekuwa ni kufungwa jela, basi ingelazimu kuwa na jela maalum kwaajili ya viongozi wa Serikali. "Wakati wa awamu iliyopita, mitambo...
1 Reactions
1 Replies
465 Views
Habari JF, katika pita pita zangu nimekutana na hii clip, mzee anaongea kwa uchungu katika mkusanyiko wa kijiji. Kaenda mbali mpaka kuuliza kwamba Tanzania hii wanaojua kusoma na kuandika ni CCM...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Mara nyingi, vijana wengi wamekuwa wakiwalaumu wazee kuwa ndio wamekuwa chanzo cha maendeleo duni ya nchi yetu, upendeleo na ubaguzi, rushwa na uduni wa fikra mpya za kuweza kuistawisha nchi...
8 Reactions
12 Replies
845 Views
"Tupo kwenye harakati za kuhakikisha watumishi wetu, Makatibu wa UWT Wilaya, Jumuiya iwe inamiliki nyumba zake kila Wilaya ili Makatibu wetu wawe wanaishi katika mazingira mazuri na rafiki" - Mhe...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo na Mbunge wa JImbo la Songea Mjini, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameambatana na Komredi Alhaji Mwinyi Msolomi, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Songea...
1 Reactions
4 Replies
700 Views
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI . Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa ...
14 Reactions
60 Replies
8K Views
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ameibua mjadala kwenye mtandao wa X baada ya kusema kuwa amefanya kazi makao makuu ya CCM kwa takriban miaka 20, na mtanzania...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hali si hali. Sauti za kudai haki na usawa hizi siyo za kupuuza tena: Kwa hakika tumedhamiria mno. "Hamna uchaguzi mkuu bila tume huru." Ikawaingie vyema akilini. Ipo tofauti kubwa baina ya...
0 Reactions
0 Replies
436 Views
Asiyesikia la mkuu daima uvujika guu. Wapinzani tulimwambia sana Gambo kuwa siasa anazofanya za kufitinia watu ni mbaya sana maishani. Kipindi kile Jiwe yupo madarakani Gambo alituona...
6 Reactions
37 Replies
4K Views
Kuna kilio kikubwa sana sana kwa wachombaji wadogo maeneo ya songwe na chunya. Kilio hiki kinasababishwa na watumishi wa tume ya madini kuomba maombi ya leseni ndogo za wachimbaji wadogo ndani ya...
0 Reactions
1 Replies
640 Views
Kiukweli Tanzania kama nchi bado tuna safari ndefu sana hawa ni watu wa mkoa wa Mtwara wakighalaghala eti kwasababu Rais ameenda mkoani kwao. Chawa wa mama basi wanafurahi wakiamini mama...
8 Reactions
66 Replies
4K Views
Nimekuwa natafakari tambo na uongo wa viongozi wajuu wa CCM dhidi ya CHADEMA. Mpaka wachambuzi nguli kama Pascal Mayalla wamediriki kutamka kuwa CDM haijawa tayari kukabidhiwa nchi. Nimejiuliza...
1 Reactions
4 Replies
677 Views
Nape Nnauye amemweleza Rais Samia kwamba watu wengi wanaopiga kelele mitandaoni wengi wao hawako Nchini Tanzania na hawapigi kura hivyo asiwe na wasiwasi maana wapiga kura wengi hawako mitandaoni...
0 Reactions
6 Replies
962 Views
Wanamudu na kustahimili uzito wa matumaini na matarajio ya wa Tanzania? Wanathamini na kuheshimu thamani wanayopewa na wananchi? Unaaminika kwa kiasi gani kubeba jukumu kubwa na zito la...
0 Reactions
11 Replies
483 Views
Rais Samia Suluhu amesema amekuta Ruangwa hali ni tofauti na maeneo mengine ambapo kote alikopita amepokea changamoto nyingi za kwenda kufanyia kazi, lakini Ruangwa wamemwambia hawana changamoto...
5 Reactions
62 Replies
9K Views
Back
Top Bottom