“Watanzania wanaopiga kelele mitandaoni wako asilimia 16 tu na kati ya hao, asilimia 40 wako nje, na wala hawana mpango wa kurudi nchini”.
Baada ya mfalme Solomon kufariki na Rehoboam kumrithi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua kiwanda cha uzalishaji vioo vya ujenzi cha Saphire Float Glass - Mkuranga Mkoa wa Pwani leo tarehe 20 Septemba, 2023...
Ninachofahamu ni kwamba kupitia Mitandao ya Kijamii ndio Wagombea Ubunge walipata hofu na kucheza michezo waliyocheza Ili Wapite bila kupigiwa kura
2025 hiyo mbereko haipo tena
Niishie hapo!
Katika hali ya kushangaza, Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona...
Rais samia akiwasalimia Wananchi wa Somanga akiwa njiani kuelekea Jijini Dar es Salaam
https://www.youtube.com/watch?v=3F82U8xtIb4
MBUNGE: UMEME UMEKATIKA MARA 21 NDANI YA SIKU MBILI
Mbunge wa...
Kama kusema uwongo lingekuwa ni kosa, na kosa hilo adhabu yake ingekuwa ni kufungwa jela, basi ingelazimu kuwa na jela maalum kwaajili ya viongozi wa Serikali.
"Wakati wa awamu iliyopita, mitambo...
Habari JF, katika pita pita zangu nimekutana na hii clip, mzee anaongea kwa uchungu katika mkusanyiko wa kijiji.
Kaenda mbali mpaka kuuliza kwamba Tanzania hii wanaojua kusoma na kuandika ni CCM...
Mara nyingi, vijana wengi wamekuwa wakiwalaumu wazee kuwa ndio wamekuwa chanzo cha maendeleo duni ya nchi yetu, upendeleo na ubaguzi, rushwa na uduni wa fikra mpya za kuweza kuistawisha nchi...
"Tupo kwenye harakati za kuhakikisha watumishi wetu, Makatibu wa UWT Wilaya, Jumuiya iwe inamiliki nyumba zake kila Wilaya ili Makatibu wetu wawe wanaishi katika mazingira mazuri na rafiki" - Mhe...
Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo na Mbunge wa JImbo la Songea Mjini, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameambatana na Komredi Alhaji Mwinyi Msolomi, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Songea...
Maandiko matakatifu kwenye vitabu vyote vya Mungu yameandika kwa msisitizo kwamba SHETANI HAJAWAHI NA WALA HATOKUJA KUWA NA RAFIKI .
Hata hivyo kutokana na maslahi binafsi , tamaa na njaa ...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ameibua mjadala kwenye mtandao wa X baada ya kusema kuwa amefanya kazi makao makuu ya CCM kwa takriban miaka 20, na mtanzania...
Hali si hali. Sauti za kudai haki na usawa hizi siyo za kupuuza tena:
Kwa hakika tumedhamiria mno.
"Hamna uchaguzi mkuu bila tume huru." Ikawaingie vyema akilini.
Ipo tofauti kubwa baina ya...
Asiyesikia la mkuu daima uvujika guu.
Wapinzani tulimwambia sana Gambo kuwa siasa anazofanya za kufitinia watu ni mbaya sana maishani.
Kipindi kile Jiwe yupo madarakani Gambo alituona...
Kuna kilio kikubwa sana sana kwa wachombaji wadogo maeneo ya songwe na chunya.
Kilio hiki kinasababishwa na watumishi wa tume ya madini kuomba maombi ya leseni ndogo za wachimbaji wadogo ndani ya...
Kiukweli Tanzania kama nchi bado tuna safari ndefu sana hawa ni watu wa mkoa wa Mtwara wakighalaghala eti kwasababu Rais ameenda mkoani kwao.
Chawa wa mama basi wanafurahi wakiamini mama...
Nimekuwa natafakari tambo na uongo wa viongozi wajuu wa CCM dhidi ya CHADEMA. Mpaka wachambuzi nguli kama Pascal Mayalla wamediriki kutamka kuwa CDM haijawa tayari kukabidhiwa nchi.
Nimejiuliza...
Nape Nnauye amemweleza Rais Samia kwamba watu wengi wanaopiga kelele mitandaoni wengi wao hawako Nchini Tanzania na hawapigi kura hivyo asiwe na wasiwasi maana wapiga kura wengi hawako mitandaoni...
Wanamudu na kustahimili uzito wa matumaini na matarajio ya wa Tanzania?
Wanathamini na kuheshimu thamani wanayopewa na wananchi?
Unaaminika kwa kiasi gani kubeba jukumu kubwa na zito la...
Rais Samia Suluhu amesema amekuta Ruangwa hali ni tofauti na maeneo mengine ambapo kote alikopita amepokea changamoto nyingi za kwenda kufanyia kazi, lakini Ruangwa wamemwambia hawana changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.