Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,930
- 31,172
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.
Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.
Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.
Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.
Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.
Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.