Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna kila dalili, kutokana na tabia za wafuasi wake ambao zimejidhihirisha humu, kwamba Chadema kikaja kuwa na utawala wa kidikteta. Nasema hivyo, kwakua, members wengi wenye mtazamo wa...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Mhe. Rais amepanda ndege nje huko akiwa na majalada na documents akiendelea kuteua na kutengua. Ila wapo viongozi ambao wakisafiri na kazi zinisimama hadi arudi. Hii ni salam kwenu. Aidha ,Kuna...
2 Reactions
9 Replies
920 Views
Ameshangaa sana kusikia hapa Tanzania kuna Watu wanajifananisha na Chawa Amesema kwao wameibuka Chawa na Kunguni na wanahistoria wamewaambia hiyo ni dalili ya laana kuna Dhambi kama Taifa...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii Nchi ni dhahiri sasa kwamba Wananchi wake wamechoka kuwaza , nadhani hali hii inatokana na dhiki zinazowakabili raia ikiwa ni pamoja na umasikini wa kutupwa pamoja na mgawo kabambe wa umeme...
15 Reactions
29 Replies
2K Views
Hili ni lazima liwekwe wazi, kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile, hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM, Hili halikubaliki. Huyu Asas...
28 Reactions
127 Replies
10K Views
Tulichofundishwa shuleni kuhusu Muungano, ni tofauti na ninayoyasikia Sasa! Inasemekana, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haikuwa takwa la wananchi, bali la Karume na Nyerere, lakini zaidi...
14 Reactions
184 Replies
9K Views
Baba Mtakatifu Papa Francisco anayeketi Kitini pake Petro Mtume ameagiza Vita ya Israel na Hamas ifike Mwisho hakuna anayefaidika na Vita hiyo Agizo la Papa Francisco anayeketi Kitini pake Mtume...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Salaam Wakuu, Uchaguzi wa 2020 ulilkuwa ni Uchafuzi Watu walikusanyika kumuombea Tundu Lissu apone, wakakamatwa na kufungwa miaka 4 kwa Uchochezi huku Magufuli akisema anatumbua. Watu wenye...
29 Reactions
226 Replies
11K Views
Ukitembea tembea huko mitaani hasa vijijini, utawahurumia sana wananchi wenzetu wanavyoishi kwenye hali duni kabisa kimaisha. Naam, namaanisha uduni wa kukosa huduma za msingi kama vile barabara...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Na Mwl Udadis, Tarime Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia...
5 Reactions
44 Replies
3K Views
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo. Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi. Nini kilicho bora...
14 Reactions
139 Replies
6K Views
Mdau mmoja kanipigia simu. Wiki na ushee sasa Chato maji hayapatikani. Ziwa lipo karibu kabisa kama km 1 tu. Mbunge na mkuu wa Wilaya hawana msaada . Huu ni uzembe mkubwa sana.
3 Reactions
36 Replies
1K Views
Salaam! Sisi baadhi ya wakazi wa mtaa wa Kimanilwentemi kata ya Bugogwa WILAYA ya Ilemela Tuna tatizo ambalo tunahisi Kuna harufu ya rushwa. Iko hivi, Kuna shule ya serikali imejengwa hapa mtaani...
0 Reactions
5 Replies
814 Views
Unadhania Watanzania ni wajinga wanafurahia kuishi kwenye umaskini huku Taifa lao ni rasilimali za kutosha kuondoa umasikini? Unadhania siasa ni kuzuga na kupumbaza watu? Unadhania siasa ni...
9 Reactions
44 Replies
2K Views
Mzee baba alipoingia madarakani. Ofisi nyingi sana za Chadema zilifungwa huku mitaani . Ni muda sasa wa kufungua matawi yaliyofungwa ili kukitangaza chama na kupata wanachama wapya Jumapili njema
5 Reactions
11 Replies
640 Views
Makosa ya nyuma yalitulazimisha kama Taifa tutake kupata mbadala wa chama chawala. Na kama ilishindikana basi walau kutoka humohumo kwenye uozo apatikane mmoja dikteta asiyeangalia uso asiyecheka...
92 Reactions
303 Replies
21K Views
Mwakilishi wa Chadema kwenye Msiba wa Diwani wa Kata ya Nkokwa , amemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo kuchunguza ufisadi unaofanywa na Halmashauri hiyo . Huku akishangiliwa na waombolezaji , Mwakilishi...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Tumeona Naibu Waziri Mkuu amerejea nyumbani lakini kinyume na matarajio wananchi wamegoma kumpokea kwa kiwango kilichokusudiwa. Juzi waziri wa fedha na timu ya mawaziri kadhaa imetunga mbeya...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Team! # Kuchagua kwa siri ni tukio baya sana - kutoichagua CCM ni kuionea kwa sababu hizi:- * CCM imejenga Miundombinu - "barabara, viwanja vya ndege, meli, reli" kibao kwa ajili ya watanzania...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom