Kuna kila dalili, kutokana na tabia za wafuasi wake ambao zimejidhihirisha humu, kwamba Chadema kikaja kuwa na utawala wa kidikteta.
Nasema hivyo, kwakua, members wengi wenye mtazamo wa...
Mhe. Rais amepanda ndege nje huko akiwa na majalada na documents akiendelea kuteua na kutengua. Ila wapo viongozi ambao wakisafiri na kazi zinisimama hadi arudi. Hii ni salam kwenu.
Aidha ,Kuna...
Ameshangaa sana kusikia hapa Tanzania kuna Watu wanajifananisha na Chawa
Amesema kwao wameibuka Chawa na Kunguni na wanahistoria wamewaambia hiyo ni dalili ya laana kuna Dhambi kama Taifa...
Hii Nchi ni dhahiri sasa kwamba Wananchi wake wamechoka kuwaza , nadhani hali hii inatokana na dhiki zinazowakabili raia ikiwa ni pamoja na umasikini wa kutupwa pamoja na mgawo kabambe wa umeme...
Hili ni lazima liwekwe wazi, kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile, hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM, Hili halikubaliki.
Huyu Asas...
Tulichofundishwa shuleni kuhusu Muungano, ni tofauti na ninayoyasikia Sasa!
Inasemekana, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haikuwa takwa la wananchi, bali la Karume na Nyerere, lakini zaidi...
Baba Mtakatifu Papa Francisco anayeketi Kitini pake Petro Mtume ameagiza Vita ya Israel na Hamas ifike Mwisho hakuna anayefaidika na Vita hiyo
Agizo la Papa Francisco anayeketi Kitini pake Mtume...
Salaam Wakuu,
Uchaguzi wa 2020 ulilkuwa ni Uchafuzi
Watu walikusanyika kumuombea Tundu Lissu apone, wakakamatwa na kufungwa miaka 4 kwa Uchochezi huku Magufuli akisema anatumbua.
Watu wenye...
Ukitembea tembea huko mitaani hasa vijijini, utawahurumia sana wananchi wenzetu wanavyoishi kwenye hali duni kabisa kimaisha. Naam, namaanisha uduni wa kukosa huduma za msingi kama vile barabara...
Na Mwl Udadis, Tarime
Moja ya kosa kubwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanafanya na ndio inayopelekea wao kuendelea kushuka kila siku ni kudhani kuwa kupendwa na watu ni miujiza au kuna njia...
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.
Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.
Nini kilicho bora...
Mdau mmoja kanipigia simu.
Wiki na ushee sasa Chato maji hayapatikani.
Ziwa lipo karibu kabisa kama km 1 tu.
Mbunge na mkuu wa Wilaya hawana msaada .
Huu ni uzembe mkubwa sana.
Salaam! Sisi baadhi ya wakazi wa mtaa wa Kimanilwentemi kata ya Bugogwa WILAYA ya Ilemela Tuna tatizo ambalo tunahisi Kuna harufu ya rushwa. Iko hivi, Kuna shule ya serikali imejengwa hapa mtaani...
Unadhania Watanzania ni wajinga wanafurahia kuishi kwenye umaskini huku Taifa lao ni rasilimali za kutosha kuondoa umasikini?
Unadhania siasa ni kuzuga na kupumbaza watu?
Unadhania siasa ni...
Mzee baba alipoingia madarakani. Ofisi nyingi sana za Chadema zilifungwa huku mitaani .
Ni muda sasa wa kufungua matawi yaliyofungwa ili kukitangaza chama na kupata wanachama wapya
Jumapili njema
Makosa ya nyuma yalitulazimisha kama Taifa tutake kupata mbadala wa chama chawala. Na kama ilishindikana basi walau kutoka humohumo kwenye uozo apatikane mmoja dikteta asiyeangalia uso asiyecheka...
Mwakilishi wa Chadema kwenye Msiba wa Diwani wa Kata ya Nkokwa , amemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo kuchunguza ufisadi unaofanywa na Halmashauri hiyo .
Huku akishangiliwa na waombolezaji , Mwakilishi...
Tumeona Naibu Waziri Mkuu amerejea nyumbani lakini kinyume na matarajio wananchi wamegoma kumpokea kwa kiwango kilichokusudiwa.
Juzi waziri wa fedha na timu ya mawaziri kadhaa imetunga mbeya...
Team!
# Kuchagua kwa siri ni tukio baya sana - kutoichagua CCM ni kuionea kwa sababu hizi:-
* CCM imejenga Miundombinu - "barabara, viwanja vya ndege, meli, reli" kibao kwa ajili ya watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.