Hii nchi imekua ya mateso kwa miaka mingi hasa kwa watu wanyonge na maskini. Wanasiasa na wenye mamlaka wamekua wakionea sana watu wadogo, wamekua wakichukua uhai wa watu wanyonge mfano ditopile...
1. Unda timu ya kijasusi kwa ajili ya ukusanyaji wa data, uchambuzi, na mapendekezo mbadala kwa maeneo yote yenye matatizo
2. Wawezeshe wakuu wote wa vitengo kuanzia Watendaji Wakuu hadi viongozi...
Nchi hii inahitaji marekebisho makubwa sana ya katiba kuhusu ukiukwaji wa maadili wa viongozi wa umma, hasa eneo la wabunge inapobainika wamevunja maadili ya utumishi wa umma.
Paulina Gekuli...
Huyu jamaa anayeitwa Jenerali Ulimwengu (sijui hata huo ujenerali alivishwa na nani), nimeona anawafokea wanavyuo kuwa ati hawafanyi midahalo!
Kwanza aelewe, hizi sio zama za TANU na ASP, zama za...
Serikali ya awamu ya sita imeendelea kufungua Nchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo Mkoani Songwe ikiwemo ujenzi wa barabara ya kimkakati ya TANZAM inayojengwa kwa njia nne kutoka...
Inawezekana kweli? Yani asubuhi unakuta vyombo vya habari vimepambwa na habari 5 Nyingi "Atuhumiwa Kubaka, Aliyebakwa Asimulia Kilicho tokea"
Halafu eti habari hiyo iwe ya uongo yani waitunge...
Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Simiyu chini ya Mwenyekiti wake Ndg Shemsa Seif Mohammed leo tarehe 25/11/2023 imeendelea na ziara yake ya kukagua Utekelezaji wa Ilani ya...
Wakili Msomi Boniface Anyisile Kajunjumele Mwabukusi ameitwa kwenye kamati ya kinidhamu kujibu tuhuma za kinidhamu dhidi yake alizotuhumiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Wafuatao ni wajumbe...
Ngurdoto ilikua/ipo chini ya The Impala Group of Hotels (IGH) ambayo ilikua ina jumuisha Impala Hotel (Arusha), Impala Hotel (Moshi), Ngurdoto Mountain Lodge (Arusha), Naira Springs Hotel...
Kwa mujibu wa kifungu cha 20(2) cha mswada mpiga kura aliyejiandikisha kupiga kura kwa madhumuni ya mswada huu, endapo kadi yake ya kupigi kura itapotea, kufutika au kuharibika atalazimika kufanya...
Kama swali linavyo uliza hapo juu.
Ningependa kufahamishwa taifa letu lina washauri wangapi wa kimataifa katika uchumi na kutoka nchi gani?
Mwenye kujua anijuze tafadhari.
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa masikitiko na huzuni imetangaza kifo cha Clemence Felix Mtenga, Kijana Mtanzania ambaye ni miongoni mwa...
Serikali imepanga kutumia zaidi ya shilingi trilioni 1.33 kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya lami, njia nne yenye urefu wa kilomita 218 kutoka Igawa Mkoani Mbeya hadi Tunduma Mkoani Songwe lengo...
Mobhare Matinyi | Washington DC | Raia Mwema Toleo la 266 | 31 Oct 2012
NI kweli kwamba rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, si mtu rahisi...
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
On October 14, 12 years ago, the Tanzanian nation lost its founding president, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, at Saint Thomas Hospital in London.
The then...
Kutegemeana na ukweli wa mambo, huyu mwanamama anaweza kushindwa kuhimili aibu na fedheha itayomkuta na hivyo anaweza kujiondoa wakati wowote ule kuanzia sasa.
Ushauri:
Ndugu na jamaa zake, hasa...
Viongozi wa africa mashariki wamefanya kosa kubwa sana kuharakisha somalia kukaribishwa East Africa community
Nchi ya somalia imevurugika,imeharibika ugaidi umekita hatamu
Wasomali watatumia huu...
Mheshimiwa waziri agizo lako la kumtuma naibu waziri kutembelea Halmashauri ambazo wakurugenzi hawajawalipa hela za kujikimu waajiriwa wapya halistahili Tu pongezi Bali na kuungwa mkono pia.
Ila...
Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Simiyu chini ya Mwenyekiti wake Ndg Shemsa Seif Mohammed leo tarehe 24/11/2023 imeendelea na ziara yake ya kukagua Utekelezaji wa Ilani ya...
Alionekana akipanda malori ya mchanga, bajaj, baiskeli, punda na hata ngamia huko kanda ya ziwa. Alichoacha kupanda ni fisi tu, je Makonda yupo wapi?
Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.