Prof. Mkumbo aweka wazi muingiliano wa kimajukumu kati ya TAMISEMI na Wizara ya Elimu. Apanga kukaa vikao kutatua changamoto

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
1711127046375.png

Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imebainisha leo Jumanne Mei 16, 2023, kwamba kuna mgongano na mwingiliano wa majukumu katika uendeshaji wa elimu na uendeshaji wa shule kwa ngazi ya elimu ya awali, msingi na sekondari.

Kulingana na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Profesa Kitila Mkumbo, ambaye alikuwa akitoa maoni ya kamati kuhusu mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2023/24, anasema

"Mgongano na mwingiliano unajidhihirisha katika maeneo ya utawala wa elimu, ujenzi wa miundombinu, na utoaji wa miongozo mbalimbali ya uendeshaji wa elimu."

Profesa Mkumbo amehimiza Serikali kufanya tathmini ya kina kuhusu utekelezaji wa sera ya ugatuaji katika sekta ya elimu ili kubaini changamoto na mafanikio yake.

Aidha, kamati yake pamoja na ile ya TAMISEMI zimepanga kufanya kikao cha pamoja ili kutafakari changamoto hizo na kutoa ushauri wa pamoja ili kuleta ufanisi katika elimu.
 
Waziri TAMISEMI mara awe kwenye tahasusi kwenye wizara ya elimu,mara DART,mara ajira za watumishi kwenye idara kibao elimu afya TAKUKURU nk.

Wenyewe mawaziri ona sasa wanachanganyikiwa
 

Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imebainisha leo Jumanne Mei 16, 2023, kwamba kuna mgongano na mwingiliano wa majukumu katika uendeshaji wa elimu na uendeshaji wa shule kwa ngazi ya elimu ya awali, msingi na sekondari.

Kulingana na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Profesa Kitila Mkumbo, ambaye alikuwa akitoa maoni ya kamati kuhusu mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2023/24, anasema

"Mgongano na mwingiliano unajidhihirisha katika maeneo ya utawala wa elimu, ujenzi wa miundombinu, na utoaji wa miongozo mbalimbali ya uendeshaji wa elimu."

Profesa Mkumbo amehimiza Serikali kufanya tathmini ya kina kuhusu utekelezaji wa sera ya ugatuaji katika sekta ya elimu ili kubaini changamoto na mafanikio yake.

Aidha, kamati yake pamoja na ile ya TAMISEMI zimepanga kufanya kikao cha pamoja ili kutafakari changamoto hizo na kutoa ushauri wa pamoja ili kuleta ufanisi katika elimu.
Mbona hili suala ni karibia Wizara zote? Hasa Mifugo,Kilimo,Ujenzi nk?
Hata hivyo hilo ni gumu sana kwake.
 
Kitila anakaa nao akiwa kama Bosi mkuu wa hizo wizara? sioni kama zinahusianana mambo ya wizara yake ya uwekezaji sasa anakaa nao akiwa kama nani?

Nchi ya kijinga sana hii kila daily nawaambia nchi ina ujinga wa kupindukia
 

Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imebainisha leo Jumanne Mei 16, 2023, kwamba kuna mgongano na mwingiliano wa majukumu katika uendeshaji wa elimu na uendeshaji wa shule kwa ngazi ya elimu ya awali, msingi na sekondari.

Kulingana na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Profesa Kitila Mkumbo, ambaye alikuwa akitoa maoni ya kamati kuhusu mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2023/24, anasema

"Mgongano na mwingiliano unajidhihirisha katika maeneo ya utawala wa elimu, ujenzi wa miundombinu, na utoaji wa miongozo mbalimbali ya uendeshaji wa elimu."

Profesa Mkumbo amehimiza Serikali kufanya tathmini ya kina kuhusu utekelezaji wa sera ya ugatuaji katika sekta ya elimu ili kubaini changamoto na mafanikio yake.

Aidha, kamati yake pamoja na ile ya TAMISEMI zimepanga kufanya kikao cha pamoja ili kutafakari changamoto hizo na kutoa ushauri wa pamoja ili kuleta ufanisi katika elimu.
TARURA iondolewe TAMISEMI ihamie TanRoads.
 
Waziri TAMISEMI mara awe kwenye tahasusi kwenye wizara ya elimu,mara DART,mara ajira za watumishi kwenye idara kibao elimu afya TAKUKURU nk.

Wenyewe mawaziri ona sasa wanachanganyikiwa
Tamisemi ni Wizara mama au Wizara ratibu ndio inabebeshwa zigo la Wizara zingine
 

Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imebainisha leo Jumanne Mei 16, 2023, kwamba kuna mgongano na mwingiliano wa majukumu katika uendeshaji wa elimu na uendeshaji wa shule kwa ngazi ya elimu ya awali, msingi na sekondari.

Kulingana na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Profesa Kitila Mkumbo, ambaye alikuwa akitoa maoni ya kamati kuhusu mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2023/24, anasema

"Mgongano na mwingiliano unajidhihirisha katika maeneo ya utawala wa elimu, ujenzi wa miundombinu, na utoaji wa miongozo mbalimbali ya uendeshaji wa elimu."

Profesa Mkumbo amehimiza Serikali kufanya tathmini ya kina kuhusu utekelezaji wa sera ya ugatuaji katika sekta ya elimu ili kubaini changamoto na mafanikio yake.

Aidha, kamati yake pamoja na ile ya TAMISEMI zimepanga kufanya kikao cha pamoja ili kutafakari changamoto hizo na kutoa ushauri wa pamoja ili kuleta ufanisi katika elimu.
Muulize sahivi kama anakumbuka hiki kitu
 
Kitila anakaa nao akiwa kama Bosi mkuu wa hizo wizara? sioni kama zinahusianana mambo ya wizara yake ya uwekezaji sasa anakaa nao akiwa kama nani?

Nchi ya kijinga sana hii kila daily nawaambia nchi ina ujinga wa kupindukia
Tulia wewe tulambe asali sisi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
TAMISEMI ingebaki na utawala tu.

Masuala yote ya kiutendaji yangeenda kwenye wizara husika.

Kutokana na muundo na utendaji wake ndio maana wizara inakuwa Easy Target kutoka wizara nyingine pia wanasiasa.
 
Back
Top Bottom