Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 449
- 1,009
Ni zaidi ya miaka 15 ishapita tangu uwanja wa Mkapa ujengwe lakini tofauti ni kubwa sana mbali na kwamba Uwanja wa Samia ni nusu ya Uwanja wa Mkapa
Hii inaonesha na ni ushahidi piq kuwa mambo mengi yamebadilika na gharama za maisha zimepanda pia hivyo kuna haja ya watumishi kuangaliwa maslahi yao pia
Ingawa pia inawezekana ubora wa uwanja wa Samia uko juu zaidi lakini si kwa Tofauti hii ni lazima gharama za maisha zimebadilika au kuna harufu ya upigaji .
Hii inaonesha na ni ushahidi piq kuwa mambo mengi yamebadilika na gharama za maisha zimepanda pia hivyo kuna haja ya watumishi kuangaliwa maslahi yao pia
Ingawa pia inawezekana ubora wa uwanja wa Samia uko juu zaidi lakini si kwa Tofauti hii ni lazima gharama za maisha zimebadilika au kuna harufu ya upigaji .