Viongozi wa Tanzania wanakiburi sana, wanakamatwa kwa rushwa na tuhuma nyingine za maadili lakini uwezi kusikia wamejiuzulu. Wanasubiri hadi Mh. Rais awatumbue jambo ambalo ni dharau kwa mamlaka...
Mimi, viongozi na wanachama kadhaa Jimbo la Kigoma Mjini ambao ni mgombea wetu udiwani kata ya Kasingirima ndug. Alumbula Khalidi, Alhaji Mzee Selemani Simba, Ntakije Ntanena na Khamis Mzungu...
HAKIKA ukitaja jina la Mustafa Jaffer Sabodo, siyo geni masikioni mwa Watazania wengi.
Hii ni kutokana na mchango wake kwa jamii katika kuliondoa taifa kutoka sehemu moja ya chini kwenda juu...
Benki ya Dunia imeikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 126 au Dola Milioni 50 eti za Kuimarisha Makusanyo na mfumo wa Manunuzi wa Umma.
==
Katika taarifa hii, Benki ya Dunia imeidhinisha Dola za...
Kuna jambo linampasa Rais aangalie kwa makini kuhusu hii timu yake inayomsaidia yaani mawaziri.
Sasa hivi Waziri akisimama kuzungumza au kuandika makala, robo tatu ya maelezo yake ni kumsifu Rais...
Wanaendelea kupotosha kwamba mkataba huu hauna ukumo, sio kweli! Mkataba huu una ukomo; ibara ya 23 ibara ndogo ya 1 inasema wazi ukomo wa mkataba huu; itakapotokea moja katika haya mambo mawili...
Endapo Chadema wataacha Njaa zao basi Wana nafasi ya kuongoza nchi hii Tanzania kunako 2030
Nasisitiza endapo wataacha Njaa zao za Fedha na Madaraka
Kutikisika kwa Israel, Marekani, Russia na UK...
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ameiandikia barua Ofisi ya Bunge kuiomba isimamishe kumlipa posho zake zinazotokana na vikao vya Bunge kuanzia juzi. Zitto ametoa ombi hilo kwa barua rasmi...
Mchungaji anahoji wanaposema wanakupa kidogo kingine wanakutunzia, wanatunza kama kina nani? Kama mstaafu akitumia vibaya pesa wao inawauma nini? Mbona mishahara hawakuwa wananipa kidogokidogo...
Patrobas Katambi, Naibu Waziri, Mbunge wa Shinyanga mjini anaweza kuwa mwanasiasa anayeongoza Kwa kutetea formula mpya ya kikokotoo cha mafao ya Wastaafu kilichoanza miaka 2 iliyopita. Watumishi...
Wanabodi,
Nimepokea tetesi kuwa chama kimoja cha siasa hapa nchini Tanzania, kimepokea ushahidi usio tia shaka juu ya tuhuma za usaliti zinazomhusisha mmoja wa viongozi wake wa juu, hivyo...
Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Dkt Hamis Kigwangala Aliyewahi kuwa waziri wa utalii na maliasili pamoja na kuwa naibu waziri wa Afya chini ya Mheshimiwa Ummy Mwalimu kama waziri wake,kupitia...
Nimelisikia hili likilalamikiwa na ACT WAZALENDO maeneo mbali mbali kulikofanyika Uchaguzi mdogo wa udiwani Jana March 20, 2024. Nimesikia Kata ya Kasingirima Kigoma, imesemwa Kwa uwazi Kata ya...
Bila shaka serikali imefanya jitihada kuhakikisha wananchi wake tunapata huduma ya umeme yenye uhakika!🫣🫣
Tumezika msamiati wa Mgao wa Umeme ila bado tunaendelea kutumia Misamiati ya Kuzima...
Hili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi, hawana posho, ila wao ndio wako mstari wa mbele eti...
Bado Miradi ilioanzishwa wakati tumepata Uhuru na kuendelea ni mingi sana nchi hii ukilinganisha na sasa hivi. Ila chakushangaza wakati huo wa utawala wa Baba wa Taifa hakuna hata project moja...
Moja ya ahadi ya Mhe. Chege tulipomchagua alituahidi kuwa katika miaka yake mitano atahakikisha barabara hii inakamilika kwa asilimia mia moja. Ujenzi wa barabara ulianza mwaka 2005 na mpaka sasa...
Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.
Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.