Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,331
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo kimefanya mkutano wa hadhara Arusha Mjini, kwenye eneo la soko kuu, mkutano ambao umejaza umati mkubwa mno!
Taarifa zinaeleza kwamba Mkutano huo umehutubiwa na Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema , huku mkutano huo ukiandaliwa na kutangazwa kwa masaa mawili tu, lakini umejaza umati, Je kama ungeandaliwa wiki nzima hali ingekuwaje?
Hii ni Ishara mbaya sana kwa Mbunge wa jimbo hilo, Mrisho Gambo, ambaye alipewa ubunge kwa mkono wa Chuma enzi za Jiwe
Angalia hii
Taarifa zinaeleza kwamba Mkutano huo umehutubiwa na Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila akiwa na Nabii wa Mungu Godbless Lema , huku mkutano huo ukiandaliwa na kutangazwa kwa masaa mawili tu, lakini umejaza umati, Je kama ungeandaliwa wiki nzima hali ingekuwaje?
Hii ni Ishara mbaya sana kwa Mbunge wa jimbo hilo, Mrisho Gambo, ambaye alipewa ubunge kwa mkono wa Chuma enzi za Jiwe
Angalia hii