Wadau nawasalimu.Mimi nimekuwa nikitumia DALADALA kusafiri sehemu mbalimbali za Jiji la Dar kwa miaka mingi. Na Usumbufu wa DALADALA naujua sana.
Serikali ilipoanzisha Usafiri wa Mabus ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishudia Utiaji Saini wa Mikataba ya Utekelezaji wa Miradi Mahsusi ya Umeme leo tarehe 14 Februari, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam...
Na Mwl Udadis, Tarime
Gharama za kusafirisha mizigo kwa meli hadi Bandari ya DSM zinazidi dola za Kimarekani 1,000 kwa kasha moja, tofauti na gharama za chini katika Bandari kama Mombasa. Hii...
Safi sana mama Kwa kuwa unaheshimika na wenzako na wanaithamini Tanzania tunashukuru Kwa hayo mabilioni waliyotoa hao marafiki wa Tanzania.
Nimeona hapo mnasema mtawajengea makazi na mambo...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia suluhu Hasssan ameamua kukatisha shughuli za mkutano unaoendelea Dubai ili kurejea kwa dharura nchini ,kwa ajili ya...
Hakika nimeshangazwa na UTENDAJI KAZI wa Viongozi wetu Kuanzia RAIS WAZIRI MKUU MAWAZIRI WAKUU WA MAJESHI NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA NA WATENDAJI Mbalimbali Walivyoizingira Wilaya ya HANANG...
Mheshimiwa Dkt. Suleiman Jaffo,
Waziri wa Mazingira,
Mkutano wa kuweka mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi unafanyika huko Dubai, kwa siku 14, tangu tarehe 30 Novemba hadi 12...
Ukiwa kiongozi wa nchi unapaswa kuwa vipi? Huyu hapa Waziri mkuu wa mwanzo wa Singapore Lee Kuan Yew akitoa somo kuhusu Singapore yake kwa ukali.
Hapa akiizungumzia SIA (Singapore Airlines na...
Moja ya jimbo linalotabiriwa kwenda upinzani ni jimbo la Kawe, hata hivyo tunayo miaka miwili mbele. Naamini yapo maoni yanayoweza kumwonyesha Mbunge husika alipokosea then aboreshe.
Mchungaji...
https://youtu.be/FHNY4s5ekxk
"Mnamo saa kumi na mbili asubuhi, nilikuwa nimelala ndipo mume wangu aliponiamsha, akiuliza, 'hilo si tetemeko la ardhi?' Mimi na watoto wetu tulianza kukimbia nje...
Kufuatia utafutaji wa uungwaji mkono ndani ya Chama cha Walimu Tanzania, Katibu Mkuu wa Chama hicho Ndugu Japhet Maganga analaumiwa kwa matumizi mabaya ya fedha za wanachama wa chama hicho katika...
Mfumo sahihi wa kusikiliza na kutatua kero za raia ni kupitia madiwani na wabunge, sio katibu mwenezi wa chama cha siasa.
Madiwani wanatakiwa wafanye mikutano ya kusikiliza kero za raia kisha...
Huu mpango wa Bima ya Afya kwa wote ni kitanzi kwa wananchi na CCM kuliko hata Pembejeo zilivyo.
Jinsi mpango huu ulivyotengenezwa naona kabisa dhahir shahir unaenda kuwa kama mikopo ya elimu ya...
Katibu Mkuu wa TEC, Padri Dkt. Kitima akiwa kwenye mahojiano na The Chanzo amesema kuwa ule uwezo wa kuchambua masuala ya kitaifa umeshuka.
' Ule uchambuzi, kuchambua masuala, kupembua wa watu wa...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Naibu Mkurugenzi Mkuu Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Martin Seychell na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe...
● Serikali Imewaokoa Watanzania 117 na waliopewa huduma bure za matibabu kupitia gharama iliyobebwa na Rais Samia.
● Serikali imegharamia mazishi ya Watanzania 79 waliofariki kwenye maafa ya...
Salaam Wakuu,
Japheth Maganga aliyetuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, mkoani Kagera akataa uteuzi wa Ukuu wa Wilaya alioteuliwa na Rais Samia hivi karibuni.
Japhet kasema, baada ya...
Ukweli ni lazima tuuseme kuna Watu hapa Jf wanaonekana ni Wakosoaji wakubwa wa Serikali na CCM kiasi cha kuitwa Pingapinga lakini leo nawaambieni Mchango wao ni mkubwa kuliko Ule wa Chawa wa CCM...
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata, Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba, Nanukuu, "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.