Nawalaumu Mwl. Nyerere na viongozi 20 walioiandaa katiba iliyopo inayotutesa wananchi na kuwafaidisha viongozi na wabunge

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,272
2,037
Nimekuwa nikiuliza mara kwa mara kwanini wananchi tunaishi kwa shida sana huku viongozi wakiishi maisha ya raha?

Tanzania ni nchi iliyobarikiwa sana na Muumba wetu kwa kutupa raslimali karibu kila wilaya. Tuna mabonde mazuri kwa kilimo, milima, maziwa yenye kila aina ya samaki, mbuga za wanyama zenye aina zote za wanyama, madini mbalimbali ambayo hayapatikani popote duniani zaidi ya Tanzania.

Watalii wanamiminika, bahari tunayo, lakini vyote hivi wanafaidika ni viongozi na wabunge. Yote haya ni ubovu wa Katiba, Katiba aliyoiandaa Hayati Nyerere na viongozi wenzake 20 wakiongozwa na Mzee Msekwa na Mzee Thabiti Kombo wakati wa utawala wake bila kuwashirikisha wananchi. Viongozi waliopo madarakani wanatumia ubovu wa Katiba iliyopo kujipatia faida wao na familia zao, ndio sababu ya wao kukataa kuwapatia wananchi Katiba waitakayo, Katiba ambayo wananchi watashiriki kuandaa na kutoa maoni yao na mapendekezo yao. Viongozi waliopo hawataki Katiba mpya, kwani kutokana na wananchi kutofaidika na Katiba iliyopo, wananchi wameamua kudai Katiba mpya, Katiba ambayo itakuwa na manufaa kwa wananchi wote na sio viongozi tu.

Ukweli Hayati Nyerere na viongozi 20 walioshiriki kuandaa Katiba iliyopo, hamkutendea haki wananchi.
 
Walioshiriki kuandaa mateso kwa wengine, pasipokua na shaka Mungu atawashuhulikia. Huo ndio ukweli
 
Duh! Ngoja waje wachambue ubaya wa Katiba nzuri inayompa nyani mamlaka ya kumtangaza tumbili kuwa mshindi wa uchaguzi mkuu unaoshirikisha fisi, simba, tembo, nyati na twiga!

Moja ya mambo yanayoitambulisha nchi kuwa iko nyuma kiakili na ki civilization ni Katiba yake! Shame on those who do not like to see it changed!

Yani mkurugenzi mteule wa bosi eti ndo pilato wa kura, anaetangaza washindi kutoka chama chake!! ni aibu sana kuongozwa na katiba hii ya mazuzu ambao wengine washarudi kuwa mavumbi!
 
Nimekuwa najiuliza mara kwa mara kwanini WANANCHI tunaishi kwa shida sana huku VIONGOZI Wakiishi MAISHA ya RAHA ?
TANZANIA ni NCHI iliyobarikiwa sana na MUUMBA wetu kwa Kutupa RASLIMALI Karibu kila Wilaya.Tuna Mabonde mazuri kwa KILIMO Milima Maziwa yenye kila aina ya samaki Mbuga za Wanyama zenye Aina zote za Wanyama MADINI mbalimbali mengine hayapatikani popote Dunia zaidi ya TANZANIA
WATALII wanamiminika Bahari tunayo lakini VYOTE hivi WANAOFAIDIKA ni VIONGOZI na WABUNGE.Yote haya ni UBOVU wa KATIBA,KATIBA aliyoiandaa HAYATI NYERERE na VIONGOZI wenzake 20 Wakiongoza na MZEE MSEKWA na MZEE THABITI KOMBO wakati wa UTAWALA wake BILA KUWASHIRIKISHA WANANCHI. VIONGOZI waliopo MADARAKANI wanatumia UBOVU wa KATIBA iliyopo KUJIFAIDISHA wao na FAMILIA zao na ndio Sababu ya wao KUKATAA kuwapatia WANANCHI KATIBA Waitakayo KATIBA ambayo WANANCHI watashiriki KUIANDAA na kutoa MAONI yao na MAPENDEKEZO yao. VIONGOZI waliopo HAWAITAKI KATIBA MPYA kwani kutokana na Wananchi KUTOFAIDIKA na KATIBA iliyopo WANANCHI Wameamua KUDAI KATIBA MPYA KATIBA ambayo itakuwa na MANUFAA kwa WANANCHI wote na SIO VIONGOZI TU.
Ukweli HAYATI NYERERE na VIONGOZI 20 walioshiriki KUIANDAA KATIBA ILIYOPO
Hamkutendea HAKI WANANCHI .
Nyerere aliendelea kuitumia katiba ya mkoloni.

Kimsingi, katiba ni ile ya kikoloni. Hapo imeongezeka ccm tu.
 
Nimeishi zama za Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Suluhu LAKINI...
Binafsi sijawahi kuona awamu yenye watu/vijana dhaifu kufikiri kama hii.

Imagine mtu leo anawalaumu wazee wetu ambao walipambana katika zama zilee za giza nasasa wengine waliaga Dunia kisa katiba ambayo yeye na wenzie wanapaswa kuipambania kubadili ili iendane na maisha Yao yasasa!

Vijana wasasa wengi wao ni wajinga, wavivu, wazembe, wapenda shortcut, wapenda starehe, wakujipendekeza, wapenda misaada kuliko kazi nk. KINYUME na vijana wazamani...
 
Nimekuwa najiuliza mara kwa mara kwanini WANANCHI tunaishi kwa shida sana huku VIONGOZI Wakiishi MAISHA ya RAHA ?
TANZANIA ni NCHI iliyobarikiwa sana na MUUMBA wetu kwa Kutupa RASLIMALI Karibu kila Wilaya.Tuna Mabonde mazuri kwa KILIMO Milima Maziwa yenye kila aina ya samaki Mbuga za Wanyama zenye Aina zote za Wanyama MADINI mbalimbali mengine hayapatikani popote Dunia zaidi ya TANZANIA
WATALII wanamiminika Bahari tunayo lakini VYOTE hivi WANAOFAIDIKA ni VIONGOZI na WABUNGE.Yote haya ni UBOVU wa KATIBA,KATIBA aliyoiandaa HAYATI NYERERE na VIONGOZI wenzake 20 Wakiongoza na MZEE MSEKWA na MZEE THABITI KOMBO wakati wa UTAWALA wake BILA KUWASHIRIKISHA WANANCHI. VIONGOZI waliopo MADARAKANI wanatumia UBOVU wa KATIBA iliyopo KUJIFAIDISHA wao na FAMILIA zao na ndio Sababu ya wao KUKATAA kuwapatia WANANCHI KATIBA Waitakayo KATIBA ambayo WANANCHI watashiriki KUIANDAA na kutoa MAONI yao na MAPENDEKEZO yao. VIONGOZI waliopo HAWAITAKI KATIBA MPYA kwani kutokana na Wananchi KUTOFAIDIKA na KATIBA iliyopo WANANCHI Wameamua KUDAI KATIBA MPYA KATIBA ambayo itakuwa na MANUFAA kwa WANANCHI wote na SIO VIONGOZI TU.
Ukweli HAYATI NYERERE na VIONGOZI 20 walioshiriki KUIANDAA KATIBA ILIYOPO
Hamkutendea HAKI WANANCHI .
Andiko hili ni la aibu...lawatu waoga,wajinga,wapenda lawama nk.
Ninani kazuia katiba kubadilishwa? Mbona wenzenu wakenya nk. hawalaumu wazee bali wameibadili katiba Yao?
Huyo prezdaa mnaosema anaupigia mwingi alikuwa makamu Baraza la katiba na alifeli kuipa nchi katiba licha ya mshauri wake mkuu kuwasifu majina Yao yataandikwa Kwa rangi ya dhahabu!!! Yakaishia kuandikwa kwa mkaa
 
Back
Top Bottom