Akichangia katika mpango wa maendeleo wa Serikali bungeni amesema anashangaa watu wanavyohangaika na umeme wa maji na huku dunia ya sasa ni umeme wa gesi
Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi...
TANESCO katika mpango mkakati wake wa miaka mitano imesema pamoja na kupungua utegemezi wa matumizi ya mafuta mazito kuzalishia umeme, gesi nayo majanga. Gharama ya kufikisha gesi kwenye vituo vya...
Kumbe sio kila Polisi ana roho mbaya wala katili. Wapo Polisi baadhi wema.
Yupo Rasha mmoja kwa Polisi 1,000. Sema watu kama hawa wanakomolewa kwa kupelekwa Vijiji vya ndani ili wasionekane...
Labda kwa wale ambao hawaelewi ni hivi , Chadema sasa imeamua kuchukua wananchi wote na kubakisha viongozi pekee , yaani wananchi wote wanakuwa wanachadema halafu ccm inabaki na Viongozi tu .
DED...
Wadau nawasabahi.
Nimekuwa nawafuatilia Wabunge wengi kuona ni Maendeleo gani wamewapelekea Wapiga kura wao katika Majimbo yao. Ukweli sijaona Maendeleo yote ktk Majimbo yote yaliyoletwa na...
Tuliwaona ni makamanda walioiva mno, waliokuwa tayari kufa kwa ajili ya kutetea, haki za binadamu, demokrasia, katiba na n.k
Lakini mmoja baada ya mwingine wakaanza kusaliti kambi ya mapambano...
Matukio mbalimbali katika Mkutano wa Ndani Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Ngurdoto Mkoani Arusha, tarehe 24 Novemba, 2023.
Akizungumza kwenye kipindi cha Meza ya Busara WAPO TV Askofu Ngonyani anasema imeandikwa kwenye Katiba ya Israel ni Marufuku Nguruwe kukanyaga Ardhi ya Nchi hiyo
Ndio najiuliza mbona wala...
Ipo habari msisimko isiyofahamika na wengi kumhusu Aliyewahi kuwa W NJ ndugu Benard Membe aliyetangulia mbele za haki na ndugu Paul Makonda aliyepata kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Nyuma ya...
Hivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano...
Masa 24 unalala kwenye sakafu.
Dhamana za polisi ni ngumu kupata.
Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.
Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.
Waziri yupo...
Hivi ndivyo mkoloni alivyofanya,aliiba maliasili za Tanzania na kuzipeleka kwao Ulaya,sasa hivi Watanzania tunafanya wenyewe,tunaiibia Tanzania tunapeleka Ulaya,mambo kidigitally mzungu katulia tu...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa kupanua wigo wa katika Mikoa mingine ikiwemo Kampasi za Mwanza na Mbeya...
Nasikitika mno kiwanda cha viwatilifu vya kuulia mbu hakifanyi kazi, licha ya kufunguliwa na kutolewa maelezo kwa mbwembwe na wanasiasa wa VYEO vya juu nchini.
Juzi Kati katika bunge hili la...
Rais wa awamu tatu Benjamin William Mkapa alipoingia madarakani aliunda tume iliyoongozwa na Jaji Warioba, kuchunguza rushwa na udhibiti wake.
Kila mmoja aliunga mkono dhamira ya dhati ya Ben...
Nakumbuka zamani miaka ya mwishoni mwa 90's na hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000's jamii ya watanzania walikuwa wanaheshimu sana wimbo wa Taifa hasa hasa panapokuwa na tukio la kitaifa.
Wimbo wa...
CDE. RIZIKI KINGWANDE AKAGUA MRADI WA UJENZI WA VYUMBA 4 VYA MADARASA NA OFISI 3 KATIKA S/MSINGI MWAIKISABE - CHEMBA
Asema UWT Yaridhishwa na Utekelezaji wa Mradi huo.
Pia, Ametembelea na...
KOMREDI. KAWAIDA KUZUNGUMZA KUSIKILIZA KERO ZA VIJANA KATIKA OFISI NDOGO YA MAKAO MAKUU UPANGA-DAR ES SALAAM TAREHE 25
🗓 Novemba 24, 2023.
📍Upanga-Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12 zitafanyika katika uwanja wa Amaan...
ELIMU ILIFIA CHUO KIKUU au ILIZIKWA CHUO KIKUU?
Imeandikwa na ASKOFU BAGONZA
Mzee Jenerali Ulimwengu kasema vyuo vikuu vyetu ni kama Extended High School. Anayebishi anitafute. Sababu ni nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.