Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 891
- 4,154
Kuna tuhuma za mteule wa Rais kuiba mafuta; nadhani tunapaswa kumfahamu vyema huyu DAS kabla ya kumuhukumu.
Yawezekana hii ndiyo kazi yake ya kwanza, yawezekana anauguza au may be alipata madhila ya kifamilia yaliyopelekea aende kuchukua fedha za mafuta ya serikali akikataa hata hoja ya muhudumu kuhusu umuhimu wa risiti.
Mnaomfahamu tusaidieni picha na CV yake wakati akisubiri kupangiwa kazi nyingine
Yawezekana hii ndiyo kazi yake ya kwanza, yawezekana anauguza au may be alipata madhila ya kifamilia yaliyopelekea aende kuchukua fedha za mafuta ya serikali akikataa hata hoja ya muhudumu kuhusu umuhimu wa risiti.
Mnaomfahamu tusaidieni picha na CV yake wakati akisubiri kupangiwa kazi nyingine