DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,606
- 17,784
Kwanza Kabisa natoa Shukrani kwa Rais Dkt Samia Hassan Suluhu Kufanya ReShuffling ya Mawaziri mbalimbali amefanya kitu ambacho Tanzania wengi walikuwa wanahitaji.
Moja ya Watu walioguswa na hii Reshuffling yumo Mheshimiwa Dr Damas Ndumbaro.
Tujikumbushe Mwaka 2014 akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba na mjumbe wa Bodi ya Ligi ya Tanzania..,Alikula chuma cha kufungiwa Miaka saba kwa kukiuka Kanuni na sheria za TFF....
KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ilimfungia kwa miaka saba, Dk Damas Ndumbaro kujihusisha na masuala ya soka ndani na nje ya nchi kwa kukutwa na makosa mawili.
Kosa la kwanza Lilikuwa kutoa taarifa zisizo sahihi kiasi cha kupotosha maamuzi ya TFF kinyume cha kanuni nambari 41 kifungu kidogo cha sita cha kanuni za Ligi toleo la mwaka 2014.
Akiwa kama Wakili pia alifungiwa miaka saba kwa kosa la pili, ambalo lilikuwa ni kushawishi au kupotosha na kuzuia maamuzi ya TFF kupitia bodi ya Ligi kinyume cha kanuni ya nne kifungu kidogo cha 16 toleo la mwaka 2014.
Wakili Ndumbaro (enzi hizo) a akiwa mwanafamilia wa TFF kwa vyeo vyake vya Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya klabu ya Simba na Mjumbe wa Bodi ya Ligi, alikubali kuziwakilisha klabu dhidi ya TFF.
Ambavyo anajua kufanya hivyo ni makosa kwa sababu yeye alikuwa ndani ya TFF na maana yake anajua siri za shirikisho, kwa hivyo alichotakiwa ni kukataa.
huyu huyu Ndumbaro aliyekula chuma Na TFF Kwa kufungiwa Miaka 7 leo ndo Boss wa TFF...
Hii naifananisha na nyimbo ya Alikiba Kuwa sisi kama Pipo Tutakutana Na sisi Kama pipo zitaumanaa...Siku zote usikate Tamaa mpaka uwe Boss wa Wabaya Wako
KARIBU TFF DR DAMAS NDUMBARO (WSNM)
Moja ya Watu walioguswa na hii Reshuffling yumo Mheshimiwa Dr Damas Ndumbaro.
Tujikumbushe Mwaka 2014 akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba na mjumbe wa Bodi ya Ligi ya Tanzania..,Alikula chuma cha kufungiwa Miaka saba kwa kukiuka Kanuni na sheria za TFF....
KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ilimfungia kwa miaka saba, Dk Damas Ndumbaro kujihusisha na masuala ya soka ndani na nje ya nchi kwa kukutwa na makosa mawili.
Kosa la kwanza Lilikuwa kutoa taarifa zisizo sahihi kiasi cha kupotosha maamuzi ya TFF kinyume cha kanuni nambari 41 kifungu kidogo cha sita cha kanuni za Ligi toleo la mwaka 2014.
Akiwa kama Wakili pia alifungiwa miaka saba kwa kosa la pili, ambalo lilikuwa ni kushawishi au kupotosha na kuzuia maamuzi ya TFF kupitia bodi ya Ligi kinyume cha kanuni ya nne kifungu kidogo cha 16 toleo la mwaka 2014.
Wakili Ndumbaro (enzi hizo) a akiwa mwanafamilia wa TFF kwa vyeo vyake vya Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya klabu ya Simba na Mjumbe wa Bodi ya Ligi, alikubali kuziwakilisha klabu dhidi ya TFF.
Ambavyo anajua kufanya hivyo ni makosa kwa sababu yeye alikuwa ndani ya TFF na maana yake anajua siri za shirikisho, kwa hivyo alichotakiwa ni kukataa.
huyu huyu Ndumbaro aliyekula chuma Na TFF Kwa kufungiwa Miaka 7 leo ndo Boss wa TFF...
Hii naifananisha na nyimbo ya Alikiba Kuwa sisi kama Pipo Tutakutana Na sisi Kama pipo zitaumanaa...Siku zote usikate Tamaa mpaka uwe Boss wa Wabaya Wako
KARIBU TFF DR DAMAS NDUMBARO (WSNM)