Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Vifo vya Watanzania wenzetu Joshua na Clemence vya acha maswali mengi yenye kuhitaji ufafanuzi toka pande zote nne:- 1. Serikali ya Tanzania 2. Serikali ya Israel 3. Serikali ya Palestine 4. Chama...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
CHADEMA kama mnalenga kushika madaraka kwa kura kuna mambo viongozi wenu hawapaswi kuyaongelea kabisa katika umma kwa sababu yanawagawa raia. Suala kama vita vya Ukraine na Urusi viongozi wa...
12 Reactions
82 Replies
3K Views
Mhe. Ummy naona kama umepanic sana, au wasaidizi wako wamepanic sana. Waambie barua zinatosha . Issue ya ubovu wa miundombinu ya vituo vya Afya kwa ulimwengu na hali ya uchumi wa Tanzania haina...
1 Reactions
5 Replies
664 Views
Barua ya kwazi kwako Ndugu JK rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . Nchi tajiri sana Duniani ina mbunga kibaoo, maziwa yenye kutoa samaki hadi Sauper akaja kupatia jina huko,Nchi yenye...
1 Reactions
71 Replies
10K Views
Inawezekana yasemwayo ni ya ukweli kuwa Maharage aliondolewa Tanesco na Siasa za wafanyakazi wa ndani, ambapo mifumo ya Maharage ilirahisisha kupata huduma na kupunguza bureaucracy hivyo kufanya...
0 Reactions
1 Replies
731 Views
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuwa, mradi wa maporomoko ya umeme wa Rusumo wa megawati 80 unaotekelezwa kwa pamoja na nchi za Tanzania, Rwanda na Burundi umefikia...
2 Reactions
4 Replies
923 Views
Watanzania wameombwa kupaza sauti zao kulaani mashambulizi yanayofanywa na Taifa la Israel kwenye Ukanda wa Gaza eneo la Palestina. Rai hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam na Balozi wa Palestina...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Ingekua ni zile nchi za ustaarab basi Nape, Makamba na Maharage sahivi wangekua jela au kunyongwa kabisa Hatuwezi kuishi na wasaliti nchini hata kidogo Kitendo cha kufungulia bwawa la Mtera maji...
23 Reactions
54 Replies
3K Views
Japo niliaga wiki kadhaa na hiyo bado ni nia yangu hila dunia imesogea sana. Binafsi sina shida ya kukosolewa, but also nimechoka kusoma ujinga. Asilimia kubwa ya watu awawezi kuandika hoja; it...
2 Reactions
45 Replies
2K Views
ZIARA ITAGUSA MIRADI IFUATAYO KATA YA MAVANGA: MRADI WA MAJI KIJIJI CHA MAVANGA • Gharama za mkataba (Mkandarasi): Tsh. 1,340,809,578. • Mradi utahudumia wakazi: 5,249 • Mradi umetekelezwa kwa...
0 Reactions
2 Replies
429 Views
Hivi ule Uzi wangu GENTAMYCINE niliouandika hapa JamiiForums mapema mwaka huu hamkuuelewa au ni Jeuri na Dharau zenu tu? Nilisema kuwa CHADEMA na Watu wengine acheni Kuhangaika na hii Kesi ya...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Waziri mwenye dhamana Nape Nauye hili jukumu lipo mikononi mwako kama unaweza kuwakamata watu waliozusha/kurusha maudhui ya uongo kwa kusema kuwa Makamo wa Rais Dr. Philip Mpango kuwa ametangulia...
1 Reactions
35 Replies
2K Views
TISS ilitakiwa kuwa mbali zaidi kabla hata mkataba haujasainiwa. Idara ya usalama ilitakiwa iwe na wasomi wabobezi wa sheria, wenye roho za uzalendo na wenye uwezo wa kumwambia rais hapana, hili...
18 Reactions
57 Replies
4K Views
Waziri Mchengerwa na Ummy Mwalimu wamekuwa hodari wa kusimamisha na kufukuza kazi watumishi wadogo hata Kwa makosa ambayo ni dhahiri yamesababishwa na Sera au maagizo ngazi ya wizara. Lakini wao...
1 Reactions
1 Replies
358 Views
Serikali ya awamu ya Sita hivi karibuni ilijitutumua kuwa inao uwezo wa kulipia wanafunzi wote wanaoqualify kupata mikopo elimu ya juu ,ila pia ikaenda mbali na kupiga siasa kuwa itawakopesha...
0 Reactions
14 Replies
766 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba (Mb.) ameainisha mafanikio yaliyopatikana kwa Taifa kutokana na utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje yenye msisitizo...
1 Reactions
2 Replies
509 Views
Wakuu, Damu ya Mtanzania mwenzetu haiwezi kumwagwa kikatili na kihuni namna ile tukae kimya. Hawa tumelia nao kwenye magumu mengi waliyopitia alafu wanaua mwenzetu kama kuku? Tunaomba ubalozi wa...
6 Reactions
48 Replies
2K Views
NHC wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha. Nssf wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha. Watumishi housing wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha. TBA nao wanajenga nyumba. Hizi Taasisi...
30 Reactions
59 Replies
4K Views
Nimesoma Daily News kuwa Rais Samia amesikitishwa na kifo cha Emir wa Kuwait ambaye amekufa akiwa na umri wa miaka 86 lakini hajasikitishwa na watoto wa kitanzania waliouawa na HAMAS huko Gaza na...
14 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom