Gen. David Bugozi Musuguri (103) rtd CDF amezawadiwa nini kwenye sherehe za miaka 62 ya uhuru? Miaka 44 ya vita ya Kagera? Miaka 46 ya utumishi jeshini (1942-1988)?
Vita alivyopigana:-
1. WW II...
Wanajamvi salaams
Naomba kuuliza hivi viongozi wa serikali wao hawapaswi kufata sheria mara watumiapo barabara?
Inasikitisha sana unapoona gari la kiongozi linavunja sheria ya usalama barabarani...
Alikuwepo Mkata utepe mmoja aliyetokea Magharibi mwa kisiwa cha Kusadikika alikuwa mpole, mnyenyekevu na asiye na makuu yeye alijua tu kufanya kazi katika wafalme mbali mbali wa kisiwa hicho...
Serikali iko katika mpango wa kuandaa dira au mpango wa maendeleo wa miaka 25 ijayo kwa nchi hii(2025-2050). Jambo hili halina tija kwa sababu nyi sana na hizi na baadhi tu.
1. Mipango ya muda...
NHIF mkoa wa Tabora wanasumbua sana wafanyakazi wanaongoza kwa kuomba rushwa, pia wanalazimisha na mwenza wake awe namba ya NIDA
Huu mfuko tunauchangia lakini masharti yamekuwa mengi lakini...
IMF Executive Board Completes Second Review Under the Extended Credit Facility Arrangement for the United Republic of Tanzania and Approves US$150.5 million Disbursement...
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas, bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na...
Mdau ameeleza kwamba licha ya mamlaka husika kutoa tangazo kuwa kuna hitilafu ya miundo mbinu nakutoa ratiba ya maji kutoka imekuwa kiini macho NI kivuli cha ratiba kuwa yanatoka huku hamna watu...
Mkuu wa Dawati la Uchunguzi (Investigative Desk) la JamiiForums, Mwandishi Mwandamizi, Simon Mkina amechaguliwa kushiriki mafunzo maalum ya mwaka mmoja ya kung'amua na kuzuia Utakatishaji Fedha...
Pope Francis has allowed priests to bless same-sex couples, a significant advance for LGBT people in the Roman Catholic Church.
The leader of the Roman Catholic Church said priests should be...
Ameandika Shehe Ponda katika ukurasa wake wa Mtandao wa X
Ila mimi sikumbuki Mashehe kukamatwa awamu ya 5 maana Magufuli alikuwa Rafiki wa Waislam
Mlale Unono 😀
Hivi CCM haina watu wengine? Kwanini inang'ang'ania watoto wa viongozi ambao hawana uwezo?
Huyu Zahara Michuzi amehamishiwa ifakara badala ya kufurumushwa kutokana na tuhuma lukuki zilizomkabili...
Bwana huyo ametumbuliwa hadharani Kwa kile kilichoelezwa kwamba ni Watumishi kwenye mojawapo ya hospital Mkoani Kagera kushikilia maiti ya Mtoto mdogo chini ya miaka 5 wakitaka malipo wakati...
Kamati za Kudumu za Bunge zimeitisha maoni ya wadau kuhusu miswada mitano iliyosomwa kwa mara katika mkutano wa 13 ukiwemo Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2023...
Nawakumbusha tuu kwamba maeneo ya vita sio salama Kwa kazi,waliokimbia sio wapumbavu Hadi Baadhi ya Vijana kujitoa ufahamu na kutaka kwenda huko maana mkitekwa kifuatacho ni kifo Cha kikatili...
13 December 2023
Dar es Salaam, Tanzania
SERIKALI YAKABIDHI ENEO LA KURASINI JIJINI DAR ES SALAAM KWA BANDARI YA DAR ES SALAAM BAADA YA MRADI WA EPZA KUFELI
Eneo lililokuwa maalum kwa uwekezaji...
Ndugu zangu Watanzania,
Mpaka sasa tumeona namna chama cha Mapinduzi kilivyofanya kazi kubwa ya uokozi na misaada kwa wananchi wa hanang. tumeona CCM ikitoa faraja kwa kushirikiana kwa ukaribu na...
Tido mzee wa watu katika utumishi wake alijenga CV nzuri ndani na kimataifa. Walipoona anafanikiwa na anazidi kupata jina Duniani wakamwita na kumkabidhi TBC. Akaweka mikakati kiwe chombo cha umma...
Naandika moyo wangu ukiwa unavuja damu juu ya vifo vya kikatili vilivyowatokea watanzania Clemence na Joshua.
Namuomba Mungu aendelee kuzikumbatia familia zao na kuwapa faraja kuu.
Nimemsikiliza...
https://m.youtube.com/watch?v=RWtUo0DVXD0
Sunday, December 17, 2023
WAZIRI MAKAMBA ABAINISHA MAFANIKIO YA SERIKALI KWA MWAKA 2023 KUPITIA UTEKELEZAJI WA SERA YA MAMBO YA NJE
Waziri wa Mambo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.