Vifo vya Watanzania wenzetu Joshua na Clemence vya acha maswali mengi yenye kuhitaji ufafanuzi toka pande zote nne:- 1. Serikali ya Tanzania
2. Serikali ya Israel
3. Serikali ya Palestine
4. Chama...
CHADEMA kama mnalenga kushika madaraka kwa kura kuna mambo viongozi wenu hawapaswi kuyaongelea kabisa katika umma kwa sababu yanawagawa raia.
Suala kama vita vya Ukraine na Urusi viongozi wa...
Mhe. Ummy naona kama umepanic sana, au wasaidizi wako wamepanic sana. Waambie barua zinatosha .
Issue ya ubovu wa miundombinu ya vituo vya Afya kwa ulimwengu na hali ya uchumi wa Tanzania haina...
Barua ya kwazi kwako Ndugu JK rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . Nchi tajiri sana Duniani ina mbunga kibaoo, maziwa yenye kutoa samaki hadi Sauper akaja kupatia jina huko,Nchi yenye...
Inawezekana yasemwayo ni ya ukweli kuwa Maharage aliondolewa Tanesco na Siasa za wafanyakazi wa ndani, ambapo mifumo ya Maharage ilirahisisha kupata huduma na kupunguza bureaucracy hivyo kufanya...
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuwa, mradi wa maporomoko ya umeme wa Rusumo wa megawati 80 unaotekelezwa kwa pamoja na nchi za Tanzania, Rwanda na Burundi umefikia...
Watanzania wameombwa kupaza sauti zao kulaani mashambulizi yanayofanywa na Taifa la Israel kwenye Ukanda wa Gaza eneo la Palestina.
Rai hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam na Balozi wa Palestina...
Ingekua ni zile nchi za ustaarab basi Nape, Makamba na Maharage sahivi wangekua jela au kunyongwa kabisa
Hatuwezi kuishi na wasaliti nchini hata kidogo
Kitendo cha kufungulia bwawa la Mtera maji...
Japo niliaga wiki kadhaa na hiyo bado ni nia yangu hila dunia imesogea sana.
Binafsi sina shida ya kukosolewa, but also nimechoka kusoma ujinga.
Asilimia kubwa ya watu awawezi kuandika hoja; it...
ZIARA ITAGUSA MIRADI IFUATAYO
KATA YA MAVANGA: MRADI WA MAJI KIJIJI CHA MAVANGA
• Gharama za mkataba (Mkandarasi): Tsh. 1,340,809,578.
• Mradi utahudumia wakazi: 5,249
• Mradi umetekelezwa kwa...
Hivi ule Uzi wangu GENTAMYCINE niliouandika hapa JamiiForums mapema mwaka huu hamkuuelewa au ni Jeuri na Dharau zenu tu?
Nilisema kuwa CHADEMA na Watu wengine acheni Kuhangaika na hii Kesi ya...
Waziri mwenye dhamana Nape Nauye hili jukumu lipo mikononi mwako kama unaweza kuwakamata watu waliozusha/kurusha maudhui ya uongo kwa kusema kuwa Makamo wa Rais Dr. Philip Mpango kuwa ametangulia...
TISS ilitakiwa kuwa mbali zaidi kabla hata mkataba haujasainiwa. Idara ya usalama ilitakiwa iwe na wasomi wabobezi wa sheria, wenye roho za uzalendo na wenye uwezo wa kumwambia rais hapana, hili...
Waziri Mchengerwa na Ummy Mwalimu wamekuwa hodari wa kusimamisha na kufukuza kazi watumishi wadogo hata Kwa makosa ambayo ni dhahiri yamesababishwa na Sera au maagizo ngazi ya wizara. Lakini wao...
Serikali ya awamu ya Sita hivi karibuni ilijitutumua kuwa inao uwezo wa kulipia wanafunzi wote wanaoqualify kupata mikopo elimu ya juu ,ila pia ikaenda mbali na kupiga siasa kuwa itawakopesha...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba (Mb.) ameainisha mafanikio yaliyopatikana kwa Taifa kutokana na utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje yenye msisitizo...
Wakuu,
Damu ya Mtanzania mwenzetu haiwezi kumwagwa kikatili na kihuni namna ile tukae kimya. Hawa tumelia nao kwenye magumu mengi waliyopitia alafu wanaua mwenzetu kama kuku?
Tunaomba ubalozi wa...
NHC wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha.
Nssf wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha.
Watumishi housing wanajenga nyumba na kuuza na kupangisha.
TBA nao wanajenga nyumba.
Hizi Taasisi...
Nimesoma Daily News kuwa Rais Samia amesikitishwa na kifo cha Emir wa Kuwait ambaye amekufa akiwa na umri wa miaka 86 lakini hajasikitishwa na watoto wa kitanzania waliouawa na HAMAS huko Gaza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.