Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone . Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia...
11 Reactions
62 Replies
7K Views
Mwenyekiti wa UWT inayodaiwa kuwa ni Jumuiya ya Wanawake ya CCM , Marry Chatanda ameingizwa Mkenge huko Ngara , baada ya kukusanyiwa watu wa soko la Ngara na kuelezwa kwamba ni Wanachama wa...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
1. Jeshi la Polisi - trafic na CID wanakula vitu vinono. Kila kona ya nchi kuna trafic na wapo radhi kusimama akusanye buku buku akifika jioni apeleke nyama home. Uchunguzi hasa case za kuibiwa...
11 Reactions
32 Replies
4K Views
Binafsi ni mwana CCM kindakindaki tokea ilipobuniwa 1977, kabla ya hapo nilikuwa TANU Youth League. Ingawa ni mwana CCM lakini si kila jambo la serikali linaniridhisha, kuna ambayo tukipata...
9 Reactions
93 Replies
3K Views
Mwalimu ana jukumu muhimu katika kuunda haiba ya vijana na kuwatayarisha kuwa raia wazalendo na wanaowajibika. Kando na kazi za kufundisha darasani, mwalimu pia anatarajiwa kuchukua nafasi ya...
5 Reactions
24 Replies
4K Views
Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri...
14 Reactions
151 Replies
15K Views
Ndugu zangu Watanzania, Katika kuelekea uchaguzi wa kumchagua Rais wa 31 wa umoja wa mabunge Duniani yaani IPU katika mkutano wa 147 utakaofanyika nchini Angola katika mji wa Luanda kuanzia...
5 Reactions
103 Replies
8K Views
Nawaandikia wanachama wenzangu wa ccm popote pale mlipo! Kuna ka tabia kame zuka ka hovyo sana ka kuwapigia kampeni viongozi waliopo kabla ya muda wa uchaguzi wakati bado hawajatimiza KAZI...
3 Reactions
5 Replies
644 Views
2010 tarehe 17 December ndio ilikuwa mda rasmi nchi ya Tunisia ikijikuta wananchi wanaongea lugha Moja. Kisa kinaanza hivi. Ugumu wa maisha kuwa mkubwa,rushwa ndani ya serikali kukisiri,ukosefu...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni. Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa. Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza...
39 Reactions
100 Replies
5K Views
#PICHA Rais @samia_suluhu_hassan akizungumza na mke wa aliyekuwa Mfalme wa Qatar Sheikh Hamad Bin Khalifa Al- Thani, Sheikha Moza Bint Nasser Al-Missned wakati alipomtembelea Jijini Doha nchini...
7 Reactions
75 Replies
10K Views
Jeshi la polisi ni Moja ya taasisi muhimu sana katika ustawi wa nchi yoyote duniani. Ulinzi wa raia na mali zao ndo kiini cha amani na maendeleo kwa ujumla wake. Wasiwasi nilioupata Juu ya Jeshi...
2 Reactions
5 Replies
972 Views
Ni mji mzuri uliozungukwa na miamba. Wanapaita "Rock City". Hilo ndilo jiji la Mwanza. Nakubali, ni jiji zuri, lakini pangeweza kuwa pazuri zaidi. Kuna maeneo yaliyopangiliwa vizuri, kwa namna...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Fakii Lulandala, Katibu Mkuu Uvccm amesema kuwa "CCM ni chama kikubwa chenye watu wengi wenye sifa na uwezo na karama za uongozi, hakina historia ya kuruhusu ung'ang'anizi kwenye nafasi za uongozi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Chaguzi kuu za 2024 na 2025 kama zitafanyika na kwa taratibu za haki na uwazi nauona mpambano mkali wa kimkakati kati ya mwanamitindo JOKETI MWEGELO na CPA CATHERINE RUGE. Wanawake hao ndio...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Prof.Mkenda amefungua Dirisha la mikopo Kwa wanafunzi wa Diploma huku kapu lao likianza na Bilioni 48. Kwa kuanzia wanafunzi zaidi ya 8,000 kunufaika.Kazi...
10 Reactions
47 Replies
5K Views
Inasemekana huyu ndio Mkurugenzi wa kwanza kuwahi kuwepo kwenye Manispaa ya jiji la DSM na kutokomea na Viapo vya mawakala wa chama cha siasa walioapa kihalali ili kusimamia chama chao kwenye...
12 Reactions
104 Replies
25K Views
Watanzania mchangamkie fulsa za mbogamboga na matunda. https://twitter.com/DIONIZKIPANYA25/status/1709048646375805055?t=HyUFD88LmFNZDr0eAmNBSQ&s=19
3 Reactions
95 Replies
9K Views
Asalam, Tukumbushane, 20% wanataka vyama vingi, 80% wanaitaka CCM kama Chama Pekee. Hapajakuwa tena na kura za maoni tofauti na hizo. Matokeo ya Uchaguzi Mkuu hayajawahi kushinda huu utafiti wa...
0 Reactions
2 Replies
563 Views
Kanisa Katoliki Jimbo la Songea limepinga na kulaani maagizo ya Serikali kuvitaka vituo vya huduma vya kanisa viwe na leseni za biashara na vilipe kodi. Askofu wa Jimbo Mhashamu Damiani Dallu...
25 Reactions
137 Replies
18K Views
Back
Top Bottom