Salaam, Shalom!!!
I declare interest, Rabbon ni mdau wa watoto, nimekuwa katika kitengo hicho Kwa miaka mingi sasa katika Imani.
Viongozi wapo wa Kuzaliwa Toka tumboni, na wapo wa kufundishwa...
INTIMIDATION NI NINI?
INTIMIDATION ina maana na tafsiri mbalimbali hasa ukitegemea na muktadha Stahiki.
Intimidation ni kitendo cha kumfanya mtu aogope, yaani akuhofie kiasi kwamba...
Mwl Udadis, Nairobi
In November 2023, Kenyans are indeed feeling bewildered and frustrated by the consistent increase in oil prices within their country, especially when global oil prices have...
Huu ni ujumbe wa wazi ninaoupeleka kwa Dr Mpango , ambaye ni Makamu wa Rais wa Tanzania.
Tangu itokee sintofahamu ya kutoonekana kwake, Mh huyu alijitokeza kwa mara ya kwanza Kanisani , jambo...
Wadau nimeshangaa kuona watu wanaopiga picha linalojengwa pale kigongo busisi wanakamata na kunyanyaswa sana. Je shida nini?
Kwanini tulipe Kodi lakini kupiga picha ya kitu kinachojengwa na Kodi...
Kwa hali ya siasa za TANZANIA raisi hutoka chama tawala. Tunahitaji raisi mwendawazimu atakayeweza kuleta katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, raisi asiyeogopa mtu yeyote ndani au nje ya chama...
Kwanza nianze kumuombea dua Mungu amlipe kutokana na matendo yake mimi binafsi sikatai alikua na ubaya lakini na uzuri alikua nao miongoni mwa mabaya katika utawala wake.
Kwanza alikua mtemi kwa...
DANIEL Chongolo kujiuzulu ukatibu mkuu CCM, linaweza kuwa jambo lisilo na uzani mkubwa. Mguu ambao ameondokea, unaweza kuchora mstari wa ujio wa zama za tofauti kabisa.
Kwa uongo au usahihi wa...
Kila mmoja anajua kuwa Serikali, mashirika na makampuni yake, hawajawahi kuwa na ufanisi katika mambo karibia yote . Wanachoweza ni ulaghai, uwongo, kukamata watu, na mara nyingi kubambikia watu...
Binafisi tangu aingie mambo yamekuwa maguku sana kila kitu kimepaaa juu Sukari inachezea 4000/ mafuta hayashikiki,nauli zimepanda mara 2 ndani ya mwaka tu.Umeme ni mahangaiko tupu, Wafanya kazi wa...
Kiongozi wa chama cha upinzani kusafiri sana Nje ya nchi Ndio kunaweza kuzuwa maswali Labda kuna nia ovu
Rais wa JMT kusafiri ni sehemu ya Majukumu yake Ndio sababu kuna Ndege ya Rais
Hivi vyama...
Yaani watu wako radhi kukumbatia dhambi za ajabu sana ila papa kagusia tu kuwahurumia mashoga imekuwa nongwa. Waafrica ni wapuuzi wa kufikiri. Angalia hii:
Watu Hawa wanazini wazi wazi ila huwezi...
Wadau naomba ufafanuzi.Wakati wa utawala wa awamu ya 5 kesi za uhujumu uchumi na ufisadi zilimalizwa kwa mtindo wa plea bargaing tu
Na mtindo huu uliwafanya wahujumu uchumi na mafisadi...
USIKU KAMA MCHANA!, RUHORO AGAWA TV BUNGE LA KAHAWA - NGARA
Mbunge wa Jimbo la Ngara Mh. Ndaisaba George Ruhoro anapenda kuujulisha umma na Wananchi wa Jimbo la Ngara kuwa anaendelea na Zoezi la...
Bila kutafuna maneno, TANESCO ni shirika la umma lililoshindwa kabisa kufanya kazi zake ipasavyo.
Reforms za mashirika yote ya umma kwa sasa zipo chini ya Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu.
Hao...
Nimejaribu kutafuta watu walioitwa mafisadi, wezi na wapiga Dili walioitwa mbaroni na kuhukumiwa na ile waliita Mahakama ya mafisadi sijaona hata mmja.
Mataga na waimba Pambio wa Mwendazake...
Watanzania tunapenda sana kulishwa matango pori na watu wa hili lichama lizee la maccm na tukaamini...
Kuna hii story ya kila mara kwamba eti Watumishi wa TISS huwa hawastaafu(wengine wanaamini...
MBUNGE NGASSA: "MAAFISA USAFIRISHAJI POKEENI SALAM KUTOKA KWA RAIS DKT. SAMIA"
"... Mheshimiwa Rais Alifanya ziara ya Kikazi Jimbo la Igunga, Leo (Sikukuu ya Krismasi) Nimeona Tukutane Nitoe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.