Sote tunajua kuwa Mhe.Mariamu Ditopile ni Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Dodoma.
Kilichonisukuma kuandika uzi huu ni nguvu kubwa anayotumia kusaka ubunge Jimbo la Kondoa Mjini,kwa kweli anacheza...
Ofisi za HESLB -Mwanza wajirekebishe wanahudumia wateja kwa kujisikia na hawana haraka. Mfano mtu anataka statement ya deni lake tu inamchukua mtu masaa mawili hadi nane.
Hivi statement ya deni...
Niliwahi andika hili. Naomba niandike tean. Mheshimiwa huyu anatimiza ahadi yake lini? Pamoja na kwamba aliahidi mwenyewe hata hivyo upinzani unahitaji nguvu na mawazo ya mwenyekiti mwingine...
Huwa nacheka sana kuona wanasiasa wanavyohangaika kutetea ujira wao.
Inafika wakati wanataka hata kutuharibia amani na utulivu wa nchi hii, kila kitu wanajua wao, hata humu jamvini kuna watu...
MHE. ABDULAZIZ M. ABOOD (MB) ATAFANYA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA MOROGORO.
Mhe. Abdulaziz M. Abood Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini anataraji kufanya Ziara tarehe 29.12.2023 katika Hospitali ya...
Kuna mambo yanayoendelea mpaka unajiuliza, hivi nchi hii hatuna watu wenye akili, uwezo na dhamira safi ya kuendeleza Taifa?
Nimesafiri na kukaa kati ya wiki moja hadi mwezi mmoja kwenye mikoa ya...
Hasa kwa wale wenye ndoto za kuja kuwa viongozi wa nchi hii hasa 2025, mnisikie, please chukua kadi tawi lililo karibu na wewe sasa, ukisubiri utakuwa umechelewa. Yajayo ni matamu!...
Mchungaji ametuasa tunapowaombea viongozi wetu basi tuwe na hakika na matendo yao na si kufata Mkumbo tu
Ndio nauliza kama kuna Rasilimali yoyote ya nchi Shujaa aliuza?
Yesu akauliza " Itamfaa...
Naona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktari wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea.
Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo.
Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa...
Naomba niende direct kwenye point;-
Huwa nachukizwa na kupata uchungu sana kuona raia wanaharibu miundombinu ya umma kwa maksudi bila sababu yeyote ya msingi. Yaani si kwa bahati mbaya wala...
Duniani kuna taifa moja tu ambalo pasi na kushikiwa bunduki au mabomu wananchi wake pamoja na viongozi wake wameweka Sheria ya kukubali raia wa taifa jirani kuwa na haki ya kuwatawala.
So far...
Ndugu zangu Watanzania,
Haihitaji akili kubwa sana wala shahada ya chuo kikuu wala kusubiri kuambiwa wala kupewa ufunuo katika kutambua kuwa Dr Slaa Ni mtu ambaye kifua na moyo wake unaonyesha...
Hali ya Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kisiasa Jimboni Mtama imezidi kuwa mbaya baada ya Chadema kupitia kwa kijana msomi Stephen Kamillius Membe kufanya operesheni kila Kijiji na Sasa kila nyumba...
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika Mahafali ya Kumi na Tisa (19) ya Chuo Kikuu cha Taifa...
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuendelea kufanya...
Nchi ya Ethiopia imetangazwa kufilisika baada ya Kushindwa kuwalipa Madeni wadai wake deni linalofikia $1bln hivyo kujiunga na Ghana na Zambia kama Mataifa yaliyotangazwa kufilisika...
Wote tunajua Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni Makamu Mwenyekiti mwenza wa Muungano wa Vyama Vya Demokrasia Duniani
Hali kadhalika Spika wa Bunge la JMT mh Dr Tulia PhD ni Boss wa Muungano wa...
Wajuzi wa mambo naomba kuelemishwa tofauti ya utendaji kazi uliopo kati ya Waziri anayetokana na Wabunge wa Kuchaguliwa na Wananchi na Waziri anayetokana na kupewa Ubunge na Rais.
Kama utendaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.