Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sote tunajua kuwa Mhe.Mariamu Ditopile ni Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Dodoma. Kilichonisukuma kuandika uzi huu ni nguvu kubwa anayotumia kusaka ubunge Jimbo la Kondoa Mjini,kwa kweli anacheza...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Ofisi za HESLB -Mwanza wajirekebishe wanahudumia wateja kwa kujisikia na hawana haraka. Mfano mtu anataka statement ya deni lake tu inamchukua mtu masaa mawili hadi nane. Hivi statement ya deni...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Niliwahi andika hili. Naomba niandike tean. Mheshimiwa huyu anatimiza ahadi yake lini? Pamoja na kwamba aliahidi mwenyewe hata hivyo upinzani unahitaji nguvu na mawazo ya mwenyekiti mwingine...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Huwa nacheka sana kuona wanasiasa wanavyohangaika kutetea ujira wao. Inafika wakati wanataka hata kutuharibia amani na utulivu wa nchi hii, kila kitu wanajua wao, hata humu jamvini kuna watu...
2 Reactions
3 Replies
409 Views
MHE. ABDULAZIZ M. ABOOD (MB) ATAFANYA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA MOROGORO. Mhe. Abdulaziz M. Abood Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini anataraji kufanya Ziara tarehe 29.12.2023 katika Hospitali ya...
0 Reactions
1 Replies
720 Views
Kuna mambo yanayoendelea mpaka unajiuliza, hivi nchi hii hatuna watu wenye akili, uwezo na dhamira safi ya kuendeleza Taifa? Nimesafiri na kukaa kati ya wiki moja hadi mwezi mmoja kwenye mikoa ya...
29 Reactions
90 Replies
5K Views
Hasa kwa wale wenye ndoto za kuja kuwa viongozi wa nchi hii hasa 2025, mnisikie, please chukua kadi tawi lililo karibu na wewe sasa, ukisubiri utakuwa umechelewa. Yajayo ni matamu!...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Mchungaji ametuasa tunapowaombea viongozi wetu basi tuwe na hakika na matendo yao na si kufata Mkumbo tu Ndio nauliza kama kuna Rasilimali yoyote ya nchi Shujaa aliuza? Yesu akauliza " Itamfaa...
1 Reactions
6 Replies
517 Views
Naona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktari wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea. Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo. Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa...
43 Reactions
171 Replies
8K Views
Naomba niende direct kwenye point;- Huwa nachukizwa na kupata uchungu sana kuona raia wanaharibu miundombinu ya umma kwa maksudi bila sababu yeyote ya msingi. Yaani si kwa bahati mbaya wala...
4 Reactions
12 Replies
893 Views
Duniani kuna taifa moja tu ambalo pasi na kushikiwa bunduki au mabomu wananchi wake pamoja na viongozi wake wameweka Sheria ya kukubali raia wa taifa jirani kuwa na haki ya kuwatawala. So far...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Haihitaji akili kubwa sana wala shahada ya chuo kikuu wala kusubiri kuambiwa wala kupewa ufunuo katika kutambua kuwa Dr Slaa Ni mtu ambaye kifua na moyo wake unaonyesha...
8 Reactions
191 Replies
8K Views
Hali ya Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kisiasa Jimboni Mtama imezidi kuwa mbaya baada ya Chadema kupitia kwa kijana msomi Stephen Kamillius Membe kufanya operesheni kila Kijiji na Sasa kila nyumba...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kujua juu ya hawa jamaa wawili nimesikia mara ya mwisho kangi alikuwa mkuu wa kituo cha magomeni dar es salaam akiwa na rank ya nyota 3
0 Reactions
43 Replies
11K Views
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika Mahafali ya Kumi na Tisa (19) ya Chuo Kikuu cha Taifa...
0 Reactions
0 Replies
321 Views
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kuendelea kufanya...
0 Reactions
0 Replies
304 Views
Nchi ya Ethiopia imetangazwa kufilisika baada ya Kushindwa kuwalipa Madeni wadai wake deni linalofikia $1bln hivyo kujiunga na Ghana na Zambia kama Mataifa yaliyotangazwa kufilisika...
15 Reactions
76 Replies
8K Views
Wote tunajua Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni Makamu Mwenyekiti mwenza wa Muungano wa Vyama Vya Demokrasia Duniani Hali kadhalika Spika wa Bunge la JMT mh Dr Tulia PhD ni Boss wa Muungano wa...
0 Reactions
4 Replies
514 Views
Wajuzi wa mambo naomba kuelemishwa tofauti ya utendaji kazi uliopo kati ya Waziri anayetokana na Wabunge wa Kuchaguliwa na Wananchi na Waziri anayetokana na kupewa Ubunge na Rais. Kama utendaji...
1 Reactions
7 Replies
676 Views
Back
Top Bottom