Hii ATCL tuwape Waarabu wa Dubai waiendeshe. Hela za ndege tununue Meli za Uvuvi. Mtanishukuru baadaye

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Wakuu,

Kama mnavyojua, ATCL kila mwaka inapata hasara. Mfano mwaka uloisha 2022/2023 imepata hasara ya Bilioni 56.

Hii BIlioni 56 ni Madara au Hospital ngapi? Ingesambaza maji Vijiji vingapi? Tuache kung'ang'ania mambo tusiyo yaweza. Haya mambo tuwaachie Kenya. Kenya Airways imedai kupata faida ya shilingi bilioni 10.5 za Kenya hadi mwishoni mwa mwaka jana.

ATCL tangu Hayati Magufuli aifufue ni hasara tu.

Kuwa na ndege ni sifa, ila sifa za kijinga kama hakuna faida. Ndege zinaishiakusafirisha Viongozi wa CCM na Serikali tu.

Turudishieni Fastjet the ndege tuwape waarabu wa Dubai wazichanganye na Emirates zao Maisha yaendelee.

Tulikosea kuwekeza kwenye Ndege.

Hela za ndege tupeleke kwenye Meli za uvuvi tuwauzie Samaki wa Baharini Rwanda, Burundi, Uganda, Malawi, Angola, Zambia nk.

Natamani kuona Tanzania ikiwa kitovu cha Samaki East Africa, Ndege wabaki nazo Rwanda na Kenya. Kahawa waendelee nazo Burundi
 
hakuna kuwapa ila muhimu ni kubadilisha katiba,kuwapa wageni haimaanishi kuwa tunapata maendeleo wao ndiyo wakwepa kodi.
 
😅😅😅kila kitu hatuwezi au hizi hasara zinatangazwa makusudi ili watu wapate tenda.
 
ATCL inaendelea kupata hasara kila mwaka, ajabu ndege zinaendelea kuletwa kila siku, na kila zikipokelewa wajinga wanakata viuno!.
Hizo Ndege sio kwa Biashara ni za kupigiemo na kuhadaa WapigaKula.
 
Wakuu,

Kama mnavyojua, ATCL kila mwaka inapata hasara. Mfano mwaka uloisha 2022/2023 imepata hasara ya Bilioni 56.

Hii BIlioni 56 ni Madara au Hospital ngapi? Ingesambaza maji Vijiji vingapi? Tuache kung'ang'ania mambo tusiyo yaweza. Haya mambo tuwaachie Kenya. Kenya Airways imedai kupata faida ya shilingi bilioni 10.5 za Kenya hadi mwishoni mwa mwaka jana.

ATCL tangu Hayati Magufuli aifufue ni hasara tu.

Kuwa na ndege ni sifa, ila sifa za kijinga kama hakuna faida. Ndege zinaishiakusafirisha Viongozi wa CCM na Serikali tu.

Turudishieni Fastjet the ndege tuwape waarabu wa Dubai wazichanganye na Emirates zao Maisha yaendelee.

Tulikosea kuwekeza kwenye Ndege.

Hela za ndege tupeleke kwenye Meli za uvuvi tuwauzie Samaki wa Baharini Rwanda, Burundi, Uganda, Malawi, Angola, Zambia nk.

Natamani kuona Tanzania ikiwa kitovu cha Samaki East Africa, Ndege wabaki nazo Rwanda na Kenya. Kahawa waendelee nazo Burundi
Title inatosha kuunga mkono hoja.
 
Tuna ndege 14, tutengeneze colabo na Qatar airways, shirika ambalo lina ticket za bei chee, itafutwe namna ambayo tutakwenda kwa faida sisi tupate na Qatar wapate!
 
Wakuu,

Kama mnavyojua, ATCL kila mwaka inapata hasara. Mfano mwaka uloisha 2022/2023 imepata hasara ya Bilioni 56.

Hii BIlioni 56 ni Madara au Hospital ngapi? Ingesambaza maji Vijiji vingapi? Tuache kung'ang'ania mambo tusiyo yaweza. Haya mambo tuwaachie Kenya. Kenya Airways imedai kupata faida ya shilingi bilioni 10.5 za Kenya hadi mwishoni mwa mwaka jana.

ATCL tangu Hayati Magufuli aifufue ni hasara tu.

Kuwa na ndege ni sifa, ila sifa za kijinga kama hakuna faida. Ndege zinaishiakusafirisha Viongozi wa CCM na Serikali tu.

Turudishieni Fastjet the ndege tuwape waarabu wa Dubai wazichanganye na Emirates zao Maisha yaendelee.

Tulikosea kuwekeza kwenye Ndege.

Hela za ndege tupeleke kwenye Meli za uvuvi tuwauzie Samaki wa Baharini Rwanda, Burundi, Uganda, Malawi, Angola, Zambia nk.

Natamani kuona Tanzania ikiwa kitovu cha Samaki East Africa, Ndege wabaki nazo Rwanda na Kenya. Kahawa waendelee nazo Burundi
Ushauri wa kijinga kabisa, wakiufata watakuwa wajinga zaidi yako..hizo tarumbeta za kutaka kuongeza idadi ya watalii, nani atakuletea hao watalii? kenya airways..? au SAA..halafu kupata faida au hasara kwa shirika kama ATCL sidhani maana yake halisi inaishia kwenye collections zinazotokana na nauli za abiria na mizigo, kupima kwa mtizamo huo ni ufinyu wa kufikiri!
 
Wakuu,

Kama mnavyojua, ATCL kila mwaka inapata hasara. Mfano mwaka uloisha 2022/2023 imepata hasara ya Bilioni 56.

Hii BIlioni 56 ni Madara au Hospital ngapi? Ingesambaza maji Vijiji vingapi? Tuache kung'ang'ania mambo tusiyo yaweza. Haya mambo tuwaachie Kenya. Kenya Airways imedai kupata faida ya shilingi bilioni 10.5 za Kenya hadi mwishoni mwa mwaka jana.

ATCL tangu Hayati Magufuli aifufue ni hasara tu.

Kuwa na ndege ni sifa, ila sifa za kijinga kama hakuna faida. Ndege zinaishiakusafirisha Viongozi wa CCM na Serikali tu.

Turudishieni Fastjet the ndege tuwape waarabu wa Dubai wazichanganye na Emirates zao Maisha yaendelee.

Tulikosea kuwekeza kwenye Ndege.

Hela za ndege tupeleke kwenye Meli za uvuvi tuwauzie Samaki wa Baharini Rwanda, Burundi, Uganda, Malawi, Angola, Zambia nk.

Natamani kuona Tanzania ikiwa kitovu cha Samaki East Africa, Ndege wabaki nazo Rwanda na Kenya. Kahawa waendelee nazo Burundi
Midoli ya taifa hiyo itatugharimu vibaya!
 
Back
Top Bottom