Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ingawa taarifa ninazopata zinaonyesha kuwa kinachoendelea ndani ya CHADEMA ni mjadala mkali na wala sio mgogoro kama magazeti ya Mwizi na mkoloni Rostam Aziz yanavyoripoti nyumbani, bado kuna...
0 Reactions
67 Replies
10K Views
Naam zifuatazo ni baadhi ya wuote ambazo nimezitoa katika vyombo viwili tofauti (gazeti la majira na tanzania daima la mbowe) "Binafsi sioni umuhimu wa kuundwa kwa kamati hii, kwa ajili ya...
0 Reactions
86 Replies
11K Views
MegaPyne
Kwa habari nilizozipata sasa hivyi zinasema Meneja mkuu wa Tanesco Dr. Rashid Idrisa kabadili msimamo wake na kwamba hata jiuzulu tena. Habari zaidi zitawajia baadaye Stay tuned!
0 Reactions
100 Replies
14K Views
Posted Date::11/23/2007 Matatizo ya Tanesco, serikali yatupiwa lawama Ramadhan Semtawa na Patricia Kimelemeta Mwananchi UAMUZI wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kuomba kupandisha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Posted Date::11/23/2007 Mkurugenzi Tanesco abadilisha uamuzi wa kujiuzulu * Aandika barua kwa bodi kubatilisha * Kuzungumza na waandishi wa habari Jumatatu Na Tausi Mbowe Mwananchi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Na Aristostariko Konga Raia Mwema. Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe anawaona wanaombeza uteuzi wake kwenye kamati ya kuchunguza mikataba ya madini wanacheza na uelewa wake wa mambo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Last updated : 14 Nov 2007, Kampala Museveni's witchdoctors cause embarrassment at State House Museveni believes and practices witchcraft and black magic and this is not new. We are told that on...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Ninataka niamini kuwa ni kweli kuwa CHADEMA kuna mgongano kuhusu uteuzi wa zitto kwenye kamati/tume/jinalolote ya JK ya madini. Kama hizi habari ni kweli, basi hii ni dalili nzuri sasa kuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wafanyakazi mgodi Bulyanhulu wagoma toka asubuhi ya leo
0 Reactions
74 Replies
11K Views
Uingereza waafrika kwa visa.Pesa zinatotumika katika huu mkutano zinaweza kujenga hospitali ngapi?Jee commonwealth inamsaidiaje raia wa kawaida Tanzania? Mini naona commonwealth ni opportunity...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Robin Szolkowy alizaliwa 17 Julai 1979 huko Greifswald, Mecklenburg-Vorpommern, Ujerumani. Yeye na patna wake Aljona Savchenko, ndio wanashikilia medali ya shaba ya dunia na mabingwa wa ulaya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mawaziri matumbo joto Mwandishi Wetu Novemba 14, 2007 Raia Mwema MABADILIKO katika Baraza la Mawaziri sasa ni suala la muda tu kwani wakati wowote Rais Jakaya Kikwete atatangaza timu...
0 Reactions
72 Replies
10K Views
Pongezi za CCM kwa Richard wa BBA 2 zimetushangaza Tahariri Tanzania Daima TUMESHANGAZWA na kitendo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuibuka haraka haraka kumpongeza mshindi wa shindano la Big...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Ni sehemu ya maneno ambayo Balozi Mmoja wa nchi za Magharibi alianza kuyatumia alipotaka kuonesha ni jinsi gani nchi wafadhili zimeanza kuwa na shaka na uwajibikaji wa serikali ya awamu ya nne...
0 Reactions
73 Replies
12K Views
MegaPyne
Katibu Mkuu wa wizara ya Utalii Tanzania Bibi Blandina Nyoni juzi alikesha katika banda la Tanzania akiuza utalii na kutoa huduma kwa watu mbalimbali waliofika katika banda hilo kwa kuwafahamisha...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
MegaPyne
SERIKALI YATENGA TSH BIL 3.4 KUNUNULIA KOROSHO Serikali imetenga shilingi bilioni 3.4 kwa ajili ya chama cha Ushirika cha Ilulu ili kumaliza tatizo la ununuzi wa korosho. Rais Jakaya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
Posted Date::11/17/2007 Wanafunzi waibana CCM viongozi kujilimbikizia madaraka *Wahoji iweje mtu awe na vyeo vitano *Walalamikia rushwa, matajiri kukiteka chama *Msekwa akiri chama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jengo refu kuliko yote jijini Dar es Salaam limepewa jina la rais mstaafu Benjamin William Mkapa kinyume na matarajio ya wengi kuwa jengo hilo lingeendelea kuitwa Mafuta House. Kwa wadadisi wa...
0 Reactions
50 Replies
8K Views
heshima yenu wana JF. ni maoni yangu kuwa JF ina watu wenye vipaji na proffessions mbalimbali. mimi siko kwenye uchumi kielimu. ila baada ya kupata maoni namna ambavyo BOT imechafuka, tukianza na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi jamani mimi natatizwa sana na utendaji kazi wa Bunge letu tukufu. Wakati Zito anatoa hoja ya Kuundwa Kamati ya Bunge juu ya buzwagi, wote tunafahamu walivyokuwa wanapondwa na...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…