Ingawa taarifa ninazopata zinaonyesha kuwa kinachoendelea ndani ya CHADEMA ni mjadala mkali na wala sio mgogoro kama magazeti ya Mwizi na mkoloni Rostam Aziz yanavyoripoti nyumbani, bado kuna...
Naam zifuatazo ni baadhi ya wuote ambazo nimezitoa katika vyombo viwili tofauti (gazeti la majira na tanzania daima la mbowe)
"Binafsi sioni umuhimu wa kuundwa kwa kamati hii, kwa ajili ya...
Kwa habari nilizozipata sasa hivyi zinasema Meneja mkuu wa Tanesco Dr. Rashid Idrisa kabadili msimamo wake na kwamba hata jiuzulu tena.
Habari zaidi zitawajia baadaye
Stay tuned!
Posted Date::11/23/2007
Matatizo ya Tanesco, serikali yatupiwa lawama
Ramadhan Semtawa na Patricia Kimelemeta
Mwananchi
UAMUZI wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kuomba kupandisha...
Posted Date::11/23/2007
Mkurugenzi Tanesco abadilisha uamuzi wa kujiuzulu
* Aandika barua kwa bodi kubatilisha
* Kuzungumza na waandishi wa habari Jumatatu
Na Tausi Mbowe
Mwananchi...
Na Aristostariko Konga
Raia Mwema.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe anawaona wanaombeza uteuzi wake kwenye kamati ya kuchunguza mikataba ya madini wanacheza na uelewa wake wa mambo...
Last updated : 14 Nov 2007, Kampala
Museveni's witchdoctors cause embarrassment at State House
Museveni believes and practices witchcraft and black magic and this is not new. We are told that on...
Ninataka niamini kuwa ni kweli kuwa CHADEMA kuna mgongano kuhusu uteuzi wa zitto kwenye kamati/tume/jinalolote ya JK ya madini. Kama hizi habari ni kweli, basi hii ni dalili nzuri sasa kuwa...
Uingereza waafrika kwa visa.Pesa zinatotumika katika huu mkutano zinaweza kujenga hospitali ngapi?Jee commonwealth inamsaidiaje raia wa kawaida Tanzania?
Mini naona commonwealth ni opportunity...
Robin Szolkowy alizaliwa 17 Julai 1979 huko Greifswald, Mecklenburg-Vorpommern, Ujerumani. Yeye na patna wake Aljona Savchenko, ndio wanashikilia medali ya shaba ya dunia na mabingwa wa ulaya...
Mawaziri matumbo joto
Mwandishi Wetu Novemba 14, 2007
Raia Mwema
MABADILIKO katika Baraza la Mawaziri sasa ni suala la muda tu kwani wakati wowote Rais Jakaya Kikwete atatangaza timu...
Pongezi za CCM kwa Richard wa BBA 2 zimetushangaza
Tahariri
Tanzania Daima
TUMESHANGAZWA na kitendo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuibuka haraka haraka kumpongeza mshindi wa shindano la Big...
Ni sehemu ya maneno ambayo Balozi Mmoja wa nchi za Magharibi alianza kuyatumia alipotaka kuonesha ni jinsi gani nchi wafadhili zimeanza kuwa na shaka na uwajibikaji wa serikali ya awamu ya nne...
Katibu Mkuu wa wizara ya Utalii Tanzania Bibi Blandina Nyoni juzi alikesha katika banda la Tanzania akiuza utalii na kutoa huduma kwa watu mbalimbali waliofika katika banda hilo kwa kuwafahamisha...
SERIKALI YATENGA TSH BIL 3.4 KUNUNULIA KOROSHO
Serikali imetenga shilingi bilioni 3.4 kwa ajili ya chama cha Ushirika cha Ilulu ili kumaliza tatizo la ununuzi wa korosho.
Rais Jakaya...
Jengo refu kuliko yote jijini Dar es Salaam limepewa jina la rais mstaafu Benjamin William Mkapa kinyume na matarajio ya wengi kuwa jengo hilo lingeendelea kuitwa Mafuta House.
Kwa wadadisi wa...
heshima yenu wana JF.
ni maoni yangu kuwa JF ina watu wenye vipaji na proffessions mbalimbali. mimi siko kwenye uchumi kielimu. ila baada ya kupata maoni namna ambavyo BOT imechafuka, tukianza na...
Hivi jamani mimi natatizwa sana na utendaji kazi wa Bunge letu tukufu.
Wakati Zito anatoa hoja ya Kuundwa Kamati ya Bunge juu ya buzwagi, wote tunafahamu walivyokuwa wanapondwa na...