Zanzibar Kuwa Nchi
Na Hassan Shaaban, Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inafanya marekebisho ya katiba ya mwaka 1984, ambayo yanaipa Zanzibar hadhi kamili kama nchi ndani ya Jamhuri...
Yeah.... najua nimepotea sana mtu mzima lakini nitaanza kuonekana jamvini kwa sana katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi. Hadi sasa sijaamua kura yangu ya urais nimpe nani na so fa...
Kwa jinsi walivyoongea kwenye kongamano lao sikutegemea kama hawa jamaa wangekuwa kimya hivi.
Mbaya zaidi walikuwa wanaongea fact, Mzee Makamba akawaita WEHU!
Nilitegemea wangeshaonyesha msimamo...
Nitafurahi na kuwa na amani sana kama kila kwenye mikusanyiko ya ibada zetu za ijumaa,jumamosi na jumapili hasa mwaka huu wa uchaguzi viongozi wa dini zote kutenga muda maalum wa kutoa elkimu ya...
Hoja ama swali langu linabase kwenye hii sera ya CHADEMA ya kuunga mkono serikali tatu, yaani ya Bara, Ya visiwani(Zanzibar) na ile ya Shirikisho (Umoja), sasa ikitokea Chadema wakachukua nchi na...
NI MWAKA WA MAPINDUZI MAKUBWA KWA KILA IDARA NA KUONDOKANA NA OMBWE LA UONGOZI LINALOSABABISHA KERO NA MATESO KWA WANANCHI,MAISHA NI MAGUMU KWA WAFANYAKAZI NA WATU WA KAWAIDA,TUCTA MTOE TAMKO KALI...
TAMKO lina gharama, tamko la Jakaya Kikwete kwa wafanyakazi limemgharimu uwezo wake kiuongozi, tamko hilo limemgharimu heshima, tamko hilo sasa linamgaharimu kisiasa, pia tamko hilo linamgharimu...
Vunjo ni jimbo lililopo mkoani Kilimanjaro, wilaya ya Moshi vijijini. Jimbo la Vunjo limewahi kuwa chini ya wabunge kutoka vyama mbalimbali vya siasa kwa nyakati tofauti. Anaye maliza mda wake ni...
UKIACHILIA MBALI VYOMBO VINGINE VYA HABARI,HIVI VYA UMMA KILA SIKU VINAZIDI KUWA VITUKO KWA KUEGEMEA UPANDE MMOJA NA TENA PENGINE HATA KMSHAMBULIA MTU TISHIO KWAO KWA MTU WAO KAMA WALIVYOFANYA...
Kila nikiangalia, naona JK anashindwa, au anawaonea haya viongozi wanaotuhumiwa na ufisadi. Kwa maana nyingine, anaonekana anawalea. Swali ninalojiuliza ni jee, anaomba kura ili aendelee kuwalea...
Dr Slaa akiwa wodini
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Dk. Willibrod Slaa, amelazwa katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili. Blogu hii ilizungumza na Dk Slaa hospitalini hapo, akasema alilazwa...
Ndugu wadau, huyu mwanaharakati amekuwa kimya sana kuelekea uchaguzi mkuu. Kuna taarifa zozote juu ya ukimya huu au anavuta pumzi kwa ajili ya kampeni ili waunganishe nguvu na Marando?
ILE MISEMO YA KISWAHILI ISEMAYO "WA MBILI HAVAI MOJA" NA "HATA UKIOGA NA KUOGA VIZURI HATA MJINI HUENDI" IMEANZA KUJITOKEZA NDANI YA CCM BAADA YA HALMASHAURI ZAKE ZA WILAYA, MIKOA NA TAIFA KUANZA...
MAANDAMANO, urudishwaji wa kadi na vurugu zimeendelea kutawala maeneo mbalimbali nchini kutokana na wanachama kupata taarifa kutoka ndani ya vikao vya kamati za siasa za mikoa za CCM zinazoonyesha...
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania(Tucta) umeamua kuingilia uhuru wa wafanyakazi kwa kupanga kuwashawishi kumchagua mtu unayemtaka awe Rais wa Tanzania.
Kaimu Katibu Mkuu wa...
nimesikia habari kuwa dr slaa leo anachukua fomu za urais toka NEC!!
nimefuatilia nimeona kama ifuatavyo....
7.7.10 Kazi za Mkutano Mkuu wa Taifa ni:-
(a) .............
(b) ........
(c) Kuteua...
Nimekuwa nikifuatilia historia za nchi mbali mbali kuhusu njia mbali mbali walizotumia na ambazo wanaendelea kutumia ili kupambana na rushwa. Mojawapo ya nchi hizo ni uholanzi. Wanasema hata wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.