Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Zanzibar Kuwa Nchi Na Hassan Shaaban, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inafanya marekebisho ya katiba ya mwaka 1984, ambayo yanaipa Zanzibar hadhi kamili kama nchi ndani ya Jamhuri...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Yeah.... najua nimepotea sana mtu mzima lakini nitaanza kuonekana jamvini kwa sana katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi. Hadi sasa sijaamua kura yangu ya urais nimpe nani na so fa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa jinsi walivyoongea kwenye kongamano lao sikutegemea kama hawa jamaa wangekuwa kimya hivi. Mbaya zaidi walikuwa wanaongea fact, Mzee Makamba akawaita WEHU! Nilitegemea wangeshaonyesha msimamo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nitafurahi na kuwa na amani sana kama kila kwenye mikusanyiko ya ibada zetu za ijumaa,jumamosi na jumapili hasa mwaka huu wa uchaguzi viongozi wa dini zote kutenga muda maalum wa kutoa elkimu ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hoja ama swali langu linabase kwenye hii sera ya CHADEMA ya kuunga mkono serikali tatu, yaani ya Bara, Ya visiwani(Zanzibar) na ile ya Shirikisho (Umoja), sasa ikitokea Chadema wakachukua nchi na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
NI MWAKA WA MAPINDUZI MAKUBWA KWA KILA IDARA NA KUONDOKANA NA OMBWE LA UONGOZI LINALOSABABISHA KERO NA MATESO KWA WANANCHI,MAISHA NI MAGUMU KWA WAFANYAKAZI NA WATU WA KAWAIDA,TUCTA MTOE TAMKO KALI...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
TAMKO lina gharama, tamko la Jakaya Kikwete kwa wafanyakazi limemgharimu uwezo wake kiuongozi, tamko hilo limemgharimu heshima, tamko hilo sasa linamgaharimu kisiasa, pia tamko hilo linamgharimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vunjo ni jimbo lililopo mkoani Kilimanjaro, wilaya ya Moshi vijijini. Jimbo la Vunjo limewahi kuwa chini ya wabunge kutoka vyama mbalimbali vya siasa kwa nyakati tofauti. Anaye maliza mda wake ni...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
UKIACHILIA MBALI VYOMBO VINGINE VYA HABARI,HIVI VYA UMMA KILA SIKU VINAZIDI KUWA VITUKO KWA KUEGEMEA UPANDE MMOJA NA TENA PENGINE HATA KMSHAMBULIA MTU TISHIO KWAO KWA MTU WAO KAMA WALIVYOFANYA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kila nikiangalia, naona JK anashindwa, au anawaonea haya viongozi wanaotuhumiwa na ufisadi. Kwa maana nyingine, anaonekana anawalea. Swali ninalojiuliza ni jee, anaomba kura ili aendelee kuwalea...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Dr Slaa akiwa wodini Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Dk. Willibrod Slaa, amelazwa katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili. Blogu hii ilizungumza na Dk Slaa hospitalini hapo, akasema alilazwa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ndugu wadau, huyu mwanaharakati amekuwa kimya sana kuelekea uchaguzi mkuu. Kuna taarifa zozote juu ya ukimya huu au anavuta pumzi kwa ajili ya kampeni ili waunganishe nguvu na Marando?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ILE MISEMO YA KISWAHILI ISEMAYO "WA MBILI HAVAI MOJA" NA "HATA UKIOGA NA KUOGA VIZURI HATA MJINI HUENDI" IMEANZA KUJITOKEZA NDANI YA CCM BAADA YA HALMASHAURI ZAKE ZA WILAYA, MIKOA NA TAIFA KUANZA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba yeyote anayemfahamu first lady wetu ikiwa Lipumba anakuwa president wetu baada ya oct 31.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
MAANDAMANO, urudishwaji wa kadi na vurugu zimeendelea kutawala maeneo mbalimbali nchini kutokana na wanachama kupata taarifa kutoka ndani ya vikao vya kamati za siasa za mikoa za CCM zinazoonyesha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania(Tucta) umeamua kuingilia uhuru wa wafanyakazi kwa kupanga kuwashawishi kumchagua mtu unayemtaka awe Rais wa Tanzania. Kaimu Katibu Mkuu wa...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
nimesikia habari kuwa dr slaa leo anachukua fomu za urais toka NEC!! nimefuatilia nimeona kama ifuatavyo.... 7.7.10 Kazi za Mkutano Mkuu wa Taifa ni:- (a) ............. (b) ........ (c) Kuteua...
0 Reactions
81 Replies
7K Views
TUCTA to ask for briefing from all presidential candidates By ROSE ATHUMANI, Daily News 9th August 2010...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Nimekuwa nikifuatilia historia za nchi mbali mbali kuhusu njia mbali mbali walizotumia na ambazo wanaendelea kutumia ili kupambana na rushwa. Mojawapo ya nchi hizo ni uholanzi. Wanasema hata wao...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom