Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KONGAMANO la siku mbili lililoandaliwa na asasi ya Concern for Development Initiative in Africa (ForDIA) lilimalizika jana (Ijumaa 8 Mei 2009) jijini Dar es Salaam...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Listi ya mafisadi ilikuwa bado mbichi na serikali ilikuwa bado inatafakari ifanye nini, ikaingia Richmond. Serikali ikachanganyikiwa kwa kuanza kujitokeza kwa dalili za wazi za wananchi kukosa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Picked this up from Daily News website: The Director of Public Prosecution (DPP), Mr Eliezer Feleshi, said yesterday that his office has started to scrutinise reports of graft, tax evasion and...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mates, let's talk about politics. Tanzanian politics to be specific. Having taken a passive role in Tanzanian politics, most of us have witnessed the once mighty CCM going into a downward spiral...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Je, Tanzania yahitaji kubadili mfumo wake wa uchaguzi kuepukana na yaliyoikuta Kenya na Zimbabwe? Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania ni kama mifumo itumikayo Kenya na Zimbabwe. Tunatumia mfumo uitwao...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tanzania claims $58m war debt from Uganda Yasiin Mugerwa Parliament It may be 30 years since the war ended but Tanzanian authorities who came to Uganda as liberators still want the pay check for...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Ningeweza kukuambia alichosema na kukuandikia alichotaka kusema but then sitakutendea haki; bora usikilize mwenyewe. CLICK HERE TO LISTEN
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tanzania kwa upande wangu ingefanya vizuri zaidi kama tusingekuwa na vyama. Hii model ya vyama tunaiga kutoka kwa Europe lakini kwa upande wangu Tanzania ingekuwa mbali kama ingekuwa na wagombea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu vipi mawazo yenu, kwamba labda rais ajaye wa Tanzania akitokea bara (nje na mikoa yote iliyo pwani mwa bahari ya hindi), nchi yetu inaweza kuendeshwa vyema zaidi kupelekea maendeleo na...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Mara nyingi najiuliza umuhimu wa siasa lakini bado sijapata jibu. Tena nahitaji msaada wa kujulishwa kama siasa ni lazima katika kuendesha nchi. Naona siasa kama porojo zinazopingana na...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Mafisadi papa: Si ubaguzi ni masilahi ya taifa Padri Privatus Karugendo Raia Mwema – Muungwana ni Vitendo Mei 6, 2009 SIKUSUDII katika makala hii kumtetea Reginald Mengi, na wala siandiki...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau kuna jamaa wamenitonya hapa watakutana na JK mchana huu hapa DK. Mimi nipo mbali kidogo na Copenhagen so kama kuna maswali mnadhani ni muhimu akaulizwa mnaweza kunipenyezea kabla ya 11:30am...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Spika Sitta alia na mafisadi wa bara la Afrika Na Leon Bahati Mwananchi UCHUNGUZI uliofanyika hivi karibuni umebaini kuwa mafisadi barani Afrika wanaiba fedha nyingi za serikali ambazo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAMKO LA CHADEMA IRINGA MJINI KUHUSU MSIMAMO WA DR. SLAA (MB) NA KATIBU MKUU WA CHADEMA KATIKA MASUALA YA MASLAHI YA WABUNGE NA VITA DHIDI YA UFISADI. 1.CHADEMA...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
NO WONDER THE INFLATION RATE IN ZIMBABWE IS 2.5 MILLION % When they were deliberating on energy and power, they were sleeping. When they were deliberating on economic...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Serikali yavunja wodi ya Raza Z'bar Tuesday, 05 May 2009 16:45 Na Said Mwishehe HATUA ya kuvunjwa jengo la wodi ya wazazi ya Hospitali ya Kivunge iliyoko Mkoa wa Kaskazini 'A'...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Vita dhidi ya Mafisadi inahitaji nguvu ya wananchi sasa. Maana mpaka sasa wananchi wamekuwa wasikilizaji na watazamaji tu. Umefika wakati ambapo tunahitaji kutambua kama hii vita ya mafisadi...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Mods, hii inaweza kuunganishwa na main thread baadaye. waendesha mashitaka leo wamekiri mahakamani Kisutu kuwa mashitaka waliyomfungulia Liyumba na mwenzake yana makosa. Kwa hiyo wameiomba...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
MegaPyne
Hotuba by Wagosi wakaya http://www.jambovideos.com/bongos/HOTUBA-WAGOSI-WA-KAYA.mp3
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Sophia Simba zao la mafisadi? Na Mbasha Asenga MwanaHALISI~Maslahi ya Taifa Mbele SOPHIA Simba, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Utawala Bora, amemtuhumu Mwenyekiti Mtendaji...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Back
Top Bottom