Mushobozi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2007
- 543
- 102
heshima yenu wana JF.
ni maoni yangu kuwa JF ina watu wenye vipaji na proffessions mbalimbali. mimi siko kwenye uchumi kielimu. ila baada ya kupata maoni namna ambavyo BOT imechafuka, tukianza na kashfa ya Balali, ikaja ya kuajiri vihiyo na watoto wa wakubwa wenye Hisa benki za biashara, na hii kashfa ya karibuni ya ela za BOT kutumika wakati wa uchaguzi kiolela, nimekuwa na dukuduku la kutaka kujua kutoka kwenu.
ninaelewa kuwa BOT ni chombo pekee cha kudhibiti na kurekebisha banki zote zikiwemo za biashara.
pia ninaelewa kuwa BOT ndiyo inayoshauri serikali lipi la kufanya ili yawepo mazingira safi kwa ajiri ya benki zote kwa usawa, na kuvuta benki mpya.
pia ni chombo kinachoweza kufuta kuadhibu na /kusimamisha benki yoyote itakayokiuka maadili ya benki, ikiwemo kuajiri vihiyo n.k
ndugu wanauchumi je kashfa hizi haziwezi kusababisha itilafi katika maswala ya benki za biashara hapa tanzania?
nitashukuru hata mtu akija na data au source, si unajua sisi sio uwanja zake
ni maoni yangu kuwa JF ina watu wenye vipaji na proffessions mbalimbali. mimi siko kwenye uchumi kielimu. ila baada ya kupata maoni namna ambavyo BOT imechafuka, tukianza na kashfa ya Balali, ikaja ya kuajiri vihiyo na watoto wa wakubwa wenye Hisa benki za biashara, na hii kashfa ya karibuni ya ela za BOT kutumika wakati wa uchaguzi kiolela, nimekuwa na dukuduku la kutaka kujua kutoka kwenu.
ninaelewa kuwa BOT ni chombo pekee cha kudhibiti na kurekebisha banki zote zikiwemo za biashara.
pia ninaelewa kuwa BOT ndiyo inayoshauri serikali lipi la kufanya ili yawepo mazingira safi kwa ajiri ya benki zote kwa usawa, na kuvuta benki mpya.
pia ni chombo kinachoweza kufuta kuadhibu na /kusimamisha benki yoyote itakayokiuka maadili ya benki, ikiwemo kuajiri vihiyo n.k
ndugu wanauchumi je kashfa hizi haziwezi kusababisha itilafi katika maswala ya benki za biashara hapa tanzania?
nitashukuru hata mtu akija na data au source, si unajua sisi sio uwanja zake