Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika pita pita zangu mitandaoni nilikutana na article moja ambayo ilivuta macho yangu, baada ya kuisoma na kutafakali niligundua udhaifu mwingi wa hoja zilizotolewa humo, japokuwa mwandishi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nominate credible aspirants for special seats. Steer away from the kind of patronage and influences which have exerted unecessary pressure to the extent of daring to consider UNELECTABLE...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
The family of a British doctor killed along with eight foreign aid workers in Afghanistan has rejected claims she was preaching Christianity to Muslims. Karen Woo was among 10 people shot...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Wazeee, ueshimiwa kazi kweli kweli, hadi sasa awaaamini kama kura za maoni zimewamwaga japo waligawa rushwa za kutosha source:HabariLeo | Wabunge waliobwagwa wapo Dodoma
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kule kwa Michuzi naona hawa watotio wamwvishwa T-shirt za JK wakiwa ziarani pamoja na amtron wao Rahma Al-Kharoos....hii ni sawa jameni?
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Na Maggid Mjengwa, HISTORIA ni mwalimu mzuri. Nimekumbushia hilo mara kwa mara. Kabla ya kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Winston Churchill alipata kuwa waziri wa masuala ya majini ( Marine...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete Miraji Kikwete(kushoto) akiwa na Mdau akionyesha kwa Mbwembwe Flana Maalum za Kikwete 2010 - PHOTO: Haki Ngowi Naona kampeni zimeanza rasmi, na familia inaonekana...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Na Maggid Mjengwa (Makala hii ilichapwa Raia Mwema majuma mawili yaliyopita) HISTORIA ni mwalimu mzuri. Ili tuweze kutafsiri na kuyaelewa yanayotokea sasa na kuyaelewa yatakayotokea kesho, tuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inapokuja maswala ya kitaifa na si jimbo wala chama,baada ya kura za maoni ndani ya CCM najisikia uchungu sana nikikumbuka yale yaliyowapata SELELII,LEMBELI, KIMARO nk(wenye kupigania haki kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
RAIA MWEMA UGHAIBUNI Maslahi ya umma ni zaidi ya vyote Evarist Chahali Agosti 11, 2010 MARA ya mwisho makala zangu kuonekana katika jarida hili ilikuwa katikati ya Juni mwaka 2008...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Propaganda: Katika mazingira ya kisasa, propaganda ni njia inayotumiwa na vyama kujipatia wafuasi kwa kuwaambia lolote linaweza kuwavuta hata kama ni uwongo. Je Tanzania tunahitaji idara za...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ndugu wana JF, Jana nilipata habari kupitia TV zetu kuwa Bw. Tambo hizza akikanusha kilichochapishwa na MwanaHalisi, Lakini pia Mwanahabari Mhariri wa gazeti la MwanaHalisi Said Kubenea akisema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa ufupi: Mzee Malecela amehakikishiwa nafasi na Lusinde katupwa nje vibaya sana na kudaiwa kuwa alidanganya suala la Elimu yake, Lusinde kakasirika sana kwa hali hii na huenda akachukua hatua...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Wadau, Leo gazeti la Mwanahalisi limeripoti ufisadi mkubwa wa mabilioni ya mapesa unaofanyika Ikulu ukimhusisha Salva Rweyemamu. Ni kuhusu mapesa ya serikali kutumika katika kampeni za JK katika...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa ratiba ya uchaguzi ya Chadema inaonyesha kesho trh. 12/8 kutafanyika Mkutano Mkuu wa chama hicho. Pamoja na mambo mengine tunategemea utampitisha mgombea wake wa urais Dr. Willibrod...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sina hakika ni kwa kiasi gani zitasaidia, lakini naamini kwa wakati huu hata silaha ndogo inahitajika katika mapambano. Siku hizi simu za mikononi zenye camera na uwezo wa kurekodi sauti na hata...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kubadilisha Chama au Wanasiasa si tija ya kuleta mabadiliko ya kweli nchini Tanzania. Kujipanga upya kupitia Vyama au kutafuta Wanasiasa wapya si njia bora ya kuleta mabadiliko nchini Tanzania...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kutoka katika vyanzo vya kuaminika inasemekana matokeo ya Kura za maoni huko Monduli bado ni kitendawili kwani zimesharudiwa lakini bado hazijatangazwa na inasemekana kesho jumatano wanarudia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika taarifa ya habari ya TBC1 saa mbili usiku huu, makamu mwenyekiti wa CCM bara Pius Msekwa amenukuliwa akisema kwamba Chadema wameanza kampeni kabla ya muda. Kutokana na hilo, katibu wa CCM...
0 Reactions
62 Replies
7K Views
Zanzibar Kuwa Nchi Na Hassan Shaaban, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inafanya marekebisho ya katiba ya mwaka 1984, ambayo yanaipa Zanzibar hadhi kamili kama nchi ndani ya Jamhuri...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Back
Top Bottom