Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Kwa mujibu wa ratiba ya uchaguzi ya Chadema inaonyesha kesho trh. 12/8 kutafanyika Mkutano Mkuu wa chama hicho. Pamoja na mambo mengine tunategemea utampitisha mgombea wake wa urais Dr. Willibrod Slaa na mgombea mwenza Said Mzee Said.
Natumaini Regia Mtema a.k.a Gender Sensitive na members wengine wa JF mtatujuvya yatakayojili huko..............Binafsi naitakia Chadema na wapenzi wote wa Chadema mkutano mwema utakaotupitishia huenda rais wetu wa awamu ya tano.
Nategemea sura hizi hazitakosekana
Natumaini Regia Mtema a.k.a Gender Sensitive na members wengine wa JF mtatujuvya yatakayojili huko..............Binafsi naitakia Chadema na wapenzi wote wa Chadema mkutano mwema utakaotupitishia huenda rais wetu wa awamu ya tano.
Nategemea sura hizi hazitakosekana