Sina hakika ni kwa kiasi gani zitasaidia, lakini naamini kwa wakati huu hata silaha ndogo inahitajika katika mapambano.
Siku hizi simu za mikononi zenye camera na uwezo wa kurekodi sauti na hata muvi zimeenea sana miongoni mwa wananchi.
Naamini kuwa wakati wa kampeni na upigaji kura kutakuwa kuna faulu za hapa na pale. Nawashauri wananchi, wagombea, mawakala na wasimamizi wa uchaguzi, watumie mbinu zote ikiwezekana hata simu za mikononi kurekodi maongezi, picha, muvi n.k kwenye matukio ambayo wanaamini yanaashiria vitendo vya rafu...
Pia matumizi ya simu kurekodi sauti za wakuu wa vituo wakitangaza matokeo ya vituo husika, na kupiga picha karatasi za matokeo kwenye kila kituo ili kuwa sehemu ya kumbukumbu. Camera za kawaida zitasaidia zaidi kama zitapatikana...
Pia wenye vifaa kama iPod ni rahisi kutumia bila hata kuonekana kirahisi kurekodia sauti na picha...
Siku hizi simu za mikononi zenye camera na uwezo wa kurekodi sauti na hata muvi zimeenea sana miongoni mwa wananchi.
Naamini kuwa wakati wa kampeni na upigaji kura kutakuwa kuna faulu za hapa na pale. Nawashauri wananchi, wagombea, mawakala na wasimamizi wa uchaguzi, watumie mbinu zote ikiwezekana hata simu za mikononi kurekodi maongezi, picha, muvi n.k kwenye matukio ambayo wanaamini yanaashiria vitendo vya rafu...
Pia matumizi ya simu kurekodi sauti za wakuu wa vituo wakitangaza matokeo ya vituo husika, na kupiga picha karatasi za matokeo kwenye kila kituo ili kuwa sehemu ya kumbukumbu. Camera za kawaida zitasaidia zaidi kama zitapatikana...
Pia wenye vifaa kama iPod ni rahisi kutumia bila hata kuonekana kirahisi kurekodia sauti na picha...