Zivaeni huko huko. Msizilete kwenye maeneo yangu ya kujidai.
Kwa kweli sijaona familia limbukeni kama hii, haya hatukuyaona wakati wa Nyerere na Mwinyi hata wakati wa Mkapa, nasikia mtoto wa Nyerere pale UD alikuwa hataki kuitwa sirname(Nyerere) alikuwa hataki kujulikana kuwa ni mtoto wa rais leo hawa wenzetu utadhani ni urithi wao wa Taifa.
Kwa kweli sijaona familia limbukeni kama hii, haya hatukuyaona wakati wa Nyerere na Mwinyi hata wakati wa Mkapa, nasikia mtoto wa Nyerere pale UD alikuwa hataki kuitwa sirname(Nyerere) alikuwa hataki kujulikana kuwa ni mtoto wa rais leo hawa wenzetu utadhani ni urithi wao wa Taifa.
Kwa kweli sijaona familia limbukeni kama hii, haya hatukuyaona wakati wa Nyerere na Mwinyi hata wakati wa Mkapa, nasikia mtoto wa Nyerere pale UD alikuwa hataki kuitwa sirname(Nyerere) alikuwa hataki kujulikana kuwa ni mtoto wa rais leo hawa wenzetu utadhani ni urithi wao wa Taifa.
Tatizo si ushindi, huo wana uhakika nao. Kinachotafutwa ni kuvunja rekodi ya ushindi wa asilimi 80 ya mwaka 2005Sijajua kwa nini JK hajiamini kiasi hiki!
Hivi hao watoto wa JK mama yao ni mmoja? yaani Salma.
Mana naona ana watoto wengi.
Kwa kweli sijaona familia limbukeni kama hii, haya hatukuyaona wakati wa Nyerere na Mwinyi hata wakati wa Mkapa, nasikia mtoto wa Nyerere pale UD alikuwa hataki kuitwa sirname(Nyerere) alikuwa hataki kujulikana kuwa ni mtoto wa rais leo hawa wenzetu utadhani ni urithi wao wa Taifa.