Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mbunge wa Iringa, Mheshimiwa Chogga, enzi za Nyerere, aliwahi kusema kwamba China, kwa sababu ya uhusiano wake na Tanzania wakati ule, inafikiri kupeleka wanawake nchini Tanzania (aliwahi kusema...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Baraza la mawaziri maswali bado ni mengi TANZANIA DAIMA JANA Rais Jakaya Kikwete, alitangaza Baraza jipya la Mawaziri baada ya kulivunja la awali wiki iliyopita kutokana na aliyekuwa Waziri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakati wadau mbali mbali wanalalamika kuhusu wageni kupewa ajira za chee katika idara mbali mbali ,kuna wengine inaonyesha hawashituki kuhusu malalamiko haya na ndio wanaendelea kuleta ndugu ...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakati ule kikwete amefanikiwa kuchaguliwa na watanzania kwa zaidi ya asilimia 80 ya kura zote kila mtu alikuwa anajiuliza baraza la mawaziri litakuwaje lakini hakuna aliyekuwa anajiuliza waziri...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Watanzania wamepoteza kabisa imani na serikali iliyo madarakani kufuatia kashfa nyingi zinazowakabili watendaji wakuu wa awamu ya tatu na ya nne. Kashfa hizi zinahusiana na kusaini mikataba feki...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimetumiwa hiyo kwenye email yangu, Nikaona nishare na wana JF wenzangu ------------ --------- --------- --------- --------- --------- --------- --------- --------- --------- ---------...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nadhani mtakumbuka baada tu ya kuchaguliwa Urais alilihutubia Bunge..na kusema "tusije tukalaumiana baadae"...Habari nilizozipata zinasema kwenye hiki kikao ameonya na kuaasa wale wote ambao...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Privatisation: Good for foreigners, bad for Tanzanians By KARL LYIMO lyimok@gmail.com THE EAST AFRICAN In 1992/93, Tanzania undertook a privatisation programme that was expected to hand...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Finally, one of the longest serving politicians in the country Mr. Kingunge Ngombale Mwiru has retired from active politics. Mr. Kingunge has decided to retire on the eve of the announcement of...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Mmoja kati ya wale watu waliohusika na ile kashfa ya Ricmond , Mohamed Gire , amecontribute kiasi cha dola mia tano kwenye campaign ya John Mccain . Nilikuwa nafikiria ni jinsi gani tunaweza...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Akataa kuteta na wabunge *Ni mpaka atangaze Baraza la Mawaziri * Walikwenda kumwona warudi patupu Na Mwandishi Wetu, Dodoma RAIS Jakaya Kikwete jana amekataa kukutana na wabunge na baadhi ya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wiki iliyopita Tanzania imepitia katika mtihani mkubwa na kupiga hatua kubwa za kisiasa baada ya kushudia Ndege kubwa ya Uchumi iliyokuwa inapaa ikitunguliwa na Kasungura ketu hadi kufilia kuzimu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Source: Mwananchi Tunakoelekea matusi ya nguoni yatawatoka watu. hii inaonyesha jinsi watu walivyochukizwa na suala hiliPadri: Waliohusika Richmond si mafisadi bali mafisi maji Na Geofrey...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wananchi wagomea mkutano wa DC Source: Tanzania Daima na Ahmed Makongo, Magu WANANCHI wa Kijiji cha Yichobela, Kata ya Nyigogo, wilayani Magu, Mwanza, mwishoni mwa wiki waligoma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bw. Chacha Wangwe amedai kuwa kama angepata nafsi ya kumpa ushauri Rais basi angemshauri Rais "avunje bunge ili sote turudi kwa wananchi na kuwapa wananchi nafasi ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mheshimiwa Rais Kikwete, Ombi rasmi mkuu. Unapounda baraza lako jipya, tuachie wale Wabunge wetu maarufu kama bakibencha. Usiwa-Bangusilo na kuwapa Uwaziri. Twaomba wafuatao wasiwemo katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
..ndugu zangu wakati wa sakata la ripoti ya Dr.Mwakyembe likiendelea Raisi Kikwete alifanya uteuzi wa Jaji Kiongozi na Majaji wa Mahakama ya Rufaa. ..Jaji Kiongozi Amiri Manento amestaafa na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ni mtihani mzito kwa JK leo *Baraza kuibua au kuzamisha matumaini ya Watanzania Na Mwandishi Wetu RAIS Jakaya Kikwete leo anakabiliwa na mtihani mwingine mgumu katika kipindi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna nafasi tatu za kujaza, kama asipofanya recycle kuwarudisha mafisadi kwa kisingizio kwamba walijiuzulu wenyewe lakini bado 'taifa linawahitaji'. Kwa kuzingatia kwamba kamati nyingine mbili...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Kuanzia mwaka Jana yule Mungu wa maajabu , Mungu wa kutumainiwa na watoa vilio aliamua kupiga kambi rasmi hapa nyumbani kwetu Afrika Mashariki na hasa Kenya na Tanzania .Najua sababu ni wetu wetu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…