Mbunge wa Iringa, Mheshimiwa Chogga, enzi za Nyerere, aliwahi kusema kwamba China, kwa sababu ya uhusiano wake na Tanzania wakati ule, inafikiri kupeleka wanawake nchini Tanzania (aliwahi kusema...
Baraza la mawaziri maswali bado ni mengi
TANZANIA DAIMA
JANA Rais Jakaya Kikwete, alitangaza Baraza jipya la Mawaziri baada ya kulivunja la awali wiki iliyopita kutokana na aliyekuwa Waziri...
Wakati wadau mbali mbali wanalalamika kuhusu wageni kupewa ajira za chee katika idara mbali mbali ,kuna wengine inaonyesha hawashituki kuhusu malalamiko haya na ndio wanaendelea kuleta ndugu ...
Wakati ule kikwete amefanikiwa kuchaguliwa na watanzania kwa zaidi ya asilimia 80 ya kura zote kila mtu alikuwa anajiuliza baraza la mawaziri litakuwaje lakini hakuna aliyekuwa anajiuliza waziri...
Watanzania wamepoteza kabisa imani na serikali iliyo madarakani kufuatia kashfa nyingi zinazowakabili watendaji wakuu wa awamu ya tatu na ya nne. Kashfa hizi zinahusiana na kusaini mikataba feki...
Nadhani mtakumbuka baada tu ya kuchaguliwa Urais alilihutubia Bunge..na kusema "tusije tukalaumiana baadae"...Habari nilizozipata zinasema kwenye hiki kikao ameonya na kuaasa wale wote ambao...
Privatisation: Good for foreigners, bad for Tanzanians
By KARL LYIMO lyimok@gmail.com
THE EAST AFRICAN
In 1992/93, Tanzania undertook a privatisation programme that was expected to hand...
Finally, one of the longest serving politicians in the country Mr. Kingunge Ngombale Mwiru has retired from active politics. Mr. Kingunge has decided to retire on the eve of the announcement of...
Mmoja kati ya wale watu waliohusika na ile kashfa ya Ricmond , Mohamed Gire , amecontribute kiasi cha dola mia tano kwenye campaign ya John Mccain . Nilikuwa nafikiria ni jinsi gani tunaweza...
Akataa kuteta na wabunge
*Ni mpaka atangaze Baraza la Mawaziri
* Walikwenda kumwona warudi patupu
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
RAIS Jakaya Kikwete jana amekataa kukutana na wabunge na baadhi ya...
Wiki iliyopita Tanzania imepitia katika mtihani mkubwa na kupiga hatua kubwa za kisiasa baada ya kushudia Ndege kubwa ya Uchumi iliyokuwa inapaa ikitunguliwa na Kasungura ketu hadi kufilia kuzimu...
Source: Mwananchi
Tunakoelekea matusi ya nguoni yatawatoka watu. hii inaonyesha jinsi watu walivyochukizwa na suala hiliPadri:
Waliohusika Richmond si mafisadi bali mafisi maji
Na Geofrey...
Wananchi wagomea mkutano wa DC
Source: Tanzania Daima
na Ahmed Makongo, Magu
WANANCHI wa Kijiji cha Yichobela, Kata ya Nyigogo, wilayani Magu, Mwanza, mwishoni mwa wiki waligoma...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bw. Chacha Wangwe amedai kuwa kama angepata nafsi ya kumpa ushauri Rais basi angemshauri Rais "avunje bunge ili sote turudi kwa wananchi na kuwapa wananchi nafasi ya...
Mheshimiwa Rais Kikwete,
Ombi rasmi mkuu. Unapounda baraza lako jipya, tuachie wale Wabunge wetu maarufu kama bakibencha. Usiwa-Bangusilo na kuwapa Uwaziri.
Twaomba wafuatao wasiwemo katika...
..ndugu zangu wakati wa sakata la ripoti ya Dr.Mwakyembe likiendelea Raisi Kikwete alifanya uteuzi wa Jaji Kiongozi na Majaji wa Mahakama ya Rufaa.
..Jaji Kiongozi Amiri Manento amestaafa na...
Ni mtihani mzito kwa JK leo
*Baraza kuibua au kuzamisha matumaini ya Watanzania
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete leo anakabiliwa na mtihani mwingine mgumu katika kipindi...
Kuna nafasi tatu za kujaza, kama asipofanya recycle kuwarudisha mafisadi kwa kisingizio kwamba walijiuzulu wenyewe lakini bado 'taifa linawahitaji'.
Kwa kuzingatia kwamba kamati nyingine mbili...
Kuanzia mwaka Jana yule Mungu wa maajabu , Mungu wa kutumainiwa na watoa vilio aliamua kupiga kambi rasmi hapa nyumbani kwetu Afrika Mashariki na hasa Kenya na Tanzania .Najua sababu ni wetu wetu...