Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 235
Wakati ule kikwete amefanikiwa kuchaguliwa na watanzania kwa zaidi ya asilimia 80 ya kura zote kila mtu alikuwa anajiuliza baraza la mawaziri litakuwaje lakini hakuna aliyekuwa anajiuliza waziri mkuu atakuwa nani .
Kwa hakika waziri mkuu alikuwa ameshajulikana kutokana na historia yenyewe ya raisi na jamaa zake wa karibu , kila mtu alijua ni lowasa bila kubisha .
Lowasa na kikwete wametoka mbali kuanzia chuoni pale UDSM , jeshini , kushika nyadhifa zingine serikalini na katika chama na mambo mengine mengi ya ushirikiano wao ukijumuisha wakina makamba .
Urafiki wao uliendelea kwa muda mrefu mpaka ilipofikia siku ambapo wote kwa pamoja lowasa na kikwete walipoamua kufanya biashara ya kusafirisha ngombe kwenda katika nchi za komoro .
Inasemekana walikuwa na ngombe zaidi ya 7000 hawa ngombe walitakiwa kusafirishwa kwa njia ya maji mpaka visiwa vya komoro , wakafikia makubaliano jinsi ya kusafirisha na mambo mengine .
Kwa kuwa lowasa ndio mtendaji mkuu akaamua kutafuta meli ya bei rahisi kupeleka hawa ngombe , meli yenyewe ilikuwa mbovu baada ya kufanyiwa maangalizi katika bandari ya dare s salaam .
Waziri mkuu pamoja na kujua ile meli ni mbovu akalazimisha ngombe wapakiwe kupelekwa komoro , meli ikaenda komoro kufika njiani meli ikapata matatizo , sehemu yenye ilikuwa ni ngumu kufikiwa kwa njia za karibu za maji .
Wale ngombe wakaanza kufa mmoja mmoja mpaka walipobakia ngombe 1400 , wakati huo lowasa ndio akaanza kutafuta njia za kupeleka chakula katika meli hiyo kwa njia ya ndege lakini alikuwa ameshachelewa sana .
Na hapo ndipo kisa cha kikwete na lowasa kilipoanza ,kama unafuatilia vizuri utakumbuka kikwete alikataza wanasiasa kujihusisha katika siasa na biashara au sio ?
Wakati anasema vile alijua fika aliyekuwa anamwambia nae ni waziri mkuu wa wakati huo mh lowassa , lakini alisahau kitu kimoja kwamba na yeye pia ni mfanya biashara tena biashara yake ya mwisho ni hii ya ngombe kusafirishwa kupelekwa komoro hapa napo sijui raisi atueleze nini tumwelewe .
Pamoja na yote haya lowasa anaendesha biashara kadhaa kwa kutumia majina ya watoto wake akina fredy ambaye yuko jijini kwa sasa na richi ambaye yuko nchini afrika kusini kwa sasa .
Kwa hakika waziri mkuu alikuwa ameshajulikana kutokana na historia yenyewe ya raisi na jamaa zake wa karibu , kila mtu alijua ni lowasa bila kubisha .
Lowasa na kikwete wametoka mbali kuanzia chuoni pale UDSM , jeshini , kushika nyadhifa zingine serikalini na katika chama na mambo mengine mengi ya ushirikiano wao ukijumuisha wakina makamba .
Urafiki wao uliendelea kwa muda mrefu mpaka ilipofikia siku ambapo wote kwa pamoja lowasa na kikwete walipoamua kufanya biashara ya kusafirisha ngombe kwenda katika nchi za komoro .
Inasemekana walikuwa na ngombe zaidi ya 7000 hawa ngombe walitakiwa kusafirishwa kwa njia ya maji mpaka visiwa vya komoro , wakafikia makubaliano jinsi ya kusafirisha na mambo mengine .
Kwa kuwa lowasa ndio mtendaji mkuu akaamua kutafuta meli ya bei rahisi kupeleka hawa ngombe , meli yenyewe ilikuwa mbovu baada ya kufanyiwa maangalizi katika bandari ya dare s salaam .
Waziri mkuu pamoja na kujua ile meli ni mbovu akalazimisha ngombe wapakiwe kupelekwa komoro , meli ikaenda komoro kufika njiani meli ikapata matatizo , sehemu yenye ilikuwa ni ngumu kufikiwa kwa njia za karibu za maji .
Wale ngombe wakaanza kufa mmoja mmoja mpaka walipobakia ngombe 1400 , wakati huo lowasa ndio akaanza kutafuta njia za kupeleka chakula katika meli hiyo kwa njia ya ndege lakini alikuwa ameshachelewa sana .
Na hapo ndipo kisa cha kikwete na lowasa kilipoanza ,kama unafuatilia vizuri utakumbuka kikwete alikataza wanasiasa kujihusisha katika siasa na biashara au sio ?
Wakati anasema vile alijua fika aliyekuwa anamwambia nae ni waziri mkuu wa wakati huo mh lowassa , lakini alisahau kitu kimoja kwamba na yeye pia ni mfanya biashara tena biashara yake ya mwisho ni hii ya ngombe kusafirishwa kupelekwa komoro hapa napo sijui raisi atueleze nini tumwelewe .
Pamoja na yote haya lowasa anaendesha biashara kadhaa kwa kutumia majina ya watoto wake akina fredy ambaye yuko jijini kwa sasa na richi ambaye yuko nchini afrika kusini kwa sasa .