Nadhani mtakumbuka baada tu ya kuchaguliwa Urais alilihutubia Bunge..na kusema "tusije tukalaumiana baadae"...Habari nilizozipata zinasema kwenye hiki kikao ameonya na kuaasa wale wote ambao watakaozembea..na amewaambia wizara zao na kuwauliza kama wataweza..na kukazia kuwa kuboronga kazi zao sio tu kutavunja moyo wananchi bali kita icost chama ghalama kubwa sana maana wananchi wanamatumaini makuwa na serikali yao.
TEGENI SIKIO
TEGENI SIKIO